Na vile jamaa ulimi katoa nje km kaona embe mbichi na jicho alivyolegeza lazima ucheke tu!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Manzese sio sehemu ya kuishi na familia aloo
Yote hio mpaka tabata,tabata kwenye majumba ya watu wameweka mabango kabisa ya kupiga marufuku malaya kukaa nje ya mageti yao
 
Hadi hapo wewe ulitakiwa kuwa Segera huku ukiwa na hukumu ya miaka 400,kwa kuwala kimasihara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…