Wapo, ila mie nawafahamu 3, m1 kwa sasa yuko Nairobi, ila wawili wako hapa Dsm.mkuu... eti Bongo kuna shemales... au fix tu
Mie nipooo.Ulipotelea wap mam
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kwan shida iko wapi? Hata akiwa bottom, wee tatizo nn?Mwanaume aliyekamilika hawezi kuwa na mawaz ya kifala kama huyo jamaa
Shemale Yuko ubungo pale kama msomali hiviNamtaka shemale
Sasa hao Wana shiriki vp ngono?? [emoji848]Wapo, ila mie nawafahamu 3, m1 kwa sasa yuko Nairobi, ila wawili wako hapa Dsm.
Tunawafahamu sisi ambao tuko ktk cycle yao, maana wabongo kwa ubaguzi hamjambooo.
Kwan vipii?
Shemale Yuko ubungo pale kama msomali hivi
Hahahah wasimbe mshamvua nguo[emoji119]Yule sio shemale ni shoga kanywa madude ngozi imekuwa laini na vichuchu vimetoka.
Ubungo ipi?Shemale Yuko ubungo pale kama msomali hivi
Kwa maana ya kuwasaidia au kwa maana ya circle yao? Sorry kama swali langu litaleta shida ya tafsiri.Wapo, ila mie nawafahamu 3, m1 kwa sasa yuko Nairobi, ila wawili wako hapa Dsm.
Tunawafahamu sisi ambao tuko ktk cycle yao, maana wabongo kwa ubaguzi hamjambooo.
Kwan vipii?
Nipe connection yakeShemale Yuko ubungo pale kama msomali hivi
Hilo ni suala lao, wee halikuhusu.Sasa hao Wana shiriki vp ngono?? [emoji848]
Kwani comment angu c iko wazi kabisaa? Labda urudie tena kuuliza, au weka swali lako vizuri ili nikujibu kwa ufasaha.Kwa maana ya kuwasaidia au kwa maana ya circle yao? Sorry kama swali langu litaleta shida ya tafsiri.
sasa akimuona James wa Banana, ndo atasema shemale huyu hapa, kumbe ni bottom aliyeota chuchu, amekua km mdada, na ile lifestyle yake, anawapiga wengi balaaa.Yule sio shemale ni shoga kanywa madude ngozi imekuwa laini na vichuchu vimetoka.
KUna grupu la telegram yupo ni mwembamba aiseee na yale macho sasa unasema ni demu kabisaaaaShemale Yuko ubungo pale kama msomali hivi
NipmNapenda kuchezewa ndogo
sasa akimuona James wa Banana, ndo atasema shemale huyu hapa, kumbe ni bottom aliyeota chuchu, amekua km mdada, na ile lifestyle yake, anawapiga wengi balaaa.
Mwenyewe anajiiita Jennifer Lopez (JLO)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Dunia jamani, woiiiiiih
wana download picha mtandaoni na kujifanya ndiyo wao ....Ndio unakuta Watu wanapigwa wanaambiwa shemale [emoji23][emoji23][emoji23]hapa mjini usipokuwa makini kitu cha 100 Unauziwa million.
Pole ukute na jamaa yako ameandika yake humu hahahaha! Life is too short to be serious mamaaa we mwenyewe lazima unayo ya kwako unaitamani tofauti ya wewe na sisi ni kwamba wewe huna guts za kuiandika hapa na sisi tumetiririka kile kitu moyo unatamani na tutafanya juu chini tufanikiwe maana hizo nazo ni ndoto kama ndoto zingine zinatakiwa kutimiaKuna mtu alisema simu/mitandao inachangia kuongeza magonjwa ya afya ya akili, upweke na hofu ya maisha, hilo ni kweli kabisa, Tujitahidi kila mwaka kukaa nje ya mitandao yote japo kwa miezi mitatu, muda huo tuwe busy na vitabu tu itatujenga sana (Ambao tumesikitishwa na comments za humu).
Ninayoona mitandaoni hasa hapa kwenye hii post daah! yaani vijana tumekuwa wa hovyo kuliko kawaida, uzinzi ndio talk of town tena watu wako very proud nao na comfortable kabisa, ushoga kuporomoka maadili ndio usiseme, ndoa hazina thamani tena na walio ndani yake ndio mawakala wa kutoa siri zao za ndani na kuziponda, unajiuliza hivi watoto wetu tutakaozaa wakifikia umri wetu wa sasa watakuta kuna hali gani?
Nimepata hofu kubwa sana baada ya kupitia comments zote za huu uzi, nimetetemeka mno, najiuliza mengi sana, ni kipi bora kati ya kuolewa au kutoolewa? Yarabi tunusuru kizazi chako, nionavyo hapa Tanzania imeisha tayari kama wanaume tunaowategemea kuwa waume ndio hawa basi yaani basi.
Hawa hawa ndio utawakuta kwenye nyuzi za single mother hivi single mother vile, mademu wa kibongo hivi mademu wa kibongo vile, serikali hivi serikali vile, wakati kikubwa wanachokijua ni kulala na wanawake malaya kama wanavyobadili nguo, wanawatia mimba wanawakataa au kuwatafutia vijisababu baadae wanaanza kuwaponda na kujisifu kwa ushetani wao,
Mungu yupo na atawalipa mnachostahili, nyie endeleeni tu na ufirauni wenu ipo siku Mungu atasikia kelele mnazompigia si mnajaribu kumuamsha ili mthibitishe kama yupo kweli.!