ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Hem nipe maujanja Eve🤣🤣🤣🤣Ukiomba omba hawakubali mie nilifanya harakati za pimbi hadi nikakata tamaa.....siku niliofanikiwa nilifanya hivi....
Tuma kwanza ya beer nkupe mbinu 😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hem nipe maujanja Eve🤣🤣🤣🤣Ukiomba omba hawakubali mie nilifanya harakati za pimbi hadi nikakata tamaa.....siku niliofanikiwa nilifanya hivi....
Tuma kwanza ya beer nkupe mbinu 😹
Maujanja yanauzwa 🤣🤣🤣Hem nipe maujanja Eve🤣🤣🤣🤣
Ni hatariHuu uzi bwana, ukiwa huna cha kufanya upitie tu japo kidogo..🤣🤣
Lini tunaenda?
Weeee kuna uzi wa HIV huko hamu zimekata na sijakuona ukitia neno😹Lini tunaenda?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Maujanja yanauzwa 🤣🤣🤣
Hii mbwinu nkikupa inatiki mapema sanaa
kwan si mnapimana kabla ya kuanza kazi, ebu njoo kwanza inbobo unambie uko wpWeeee kuna uzi wa HIV huko hamu zimekata na sijakuona ukitia neno😹
Ha haaa umenichekesha. Bado sijauona ngoja niutafuteWeeee kuna uzi wa HIV huko hamu zimekata na sijakuona ukitia neno😹
Kwahiyo tuje?😹Wewe na Demi basi, mie domo zege sijui hata naanzaje🤣
Eeenh mkuje, nikimalizana na nyie natundika daluga🤣Kwahiyo tuje?😹