Ipi ni 'sexual fantasy' yako?
Kukuna kissme usoni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu mna maajabu sana.
 
Siku naenda mbinguni, eti namkuta huyu jamaa wa kuitwa Mzabzab nae yupo. Asee nitafanya fujo mpaka malaika waite difenda manina!


Nilikua najiona niko na dhambi sana. Ila baada ya kupitia huu uzi, nimegundua mimi peponi ni lazima asee. Yani Musa na Yakobo wanakaa hapa, mimi nafuatia.


Kuna washenzi wako na dhambi kali alafu mpya mpya. Hata shetani anashangaa "hii dhambi mbona sikuivumbua mimi, hawa wasenge wameitoa wapi?"
 
Siku naenda mbinguni, eti namkuta huyu jamaa wa kuitwa Mzabzab nae yupo. Asee nitafanya fujo mpaka malaika waite difenda manina!


Nilikua najiona niko na dhambi sana. Ila baada ya kupitia huu uzi, nimegundua mimi peponi ni lazima asee. Yani Musa na Yakobo wanakaa hapa, mimi nafuatia.


Kuna washenzi wako na dhambi kali alafu mpya mpya. Hata shetani anashangaa "hii dhambi mbona sikuivumbua mimi, hawa wasenge wameitoa wapi?"
Hahahahahahah...

Ukimkuta unamuitia Panya road sio
 
Siku naenda mbinguni, eti namkuta huyu jamaa wa kuitwa Mzabzab nae yupo. Asee nitafanya fujo mpaka malaika waite difenda manina!


Nilikua najiona niko na dhambi sana. Ila baada ya kupitia huu uzi, nimegundua mimi peponi ni lazima asee. Yani Musa na Yakobo wanakaa hapa, mimi nafuatia.


Kuna washenzi wako na dhambi kali alafu mpya mpya. Hata shetani anashangaa "hii dhambi mbona sikuivumbua mimi, hawa wasenge wameitoa wapi?"
Wee alafu hapa jf nimeshaona watu wanataka kujitafutia njia ya kwenda mbinguni kwa kunisingizia mie mabaya yote ya mambo ya kugegedana.

Mboma wapo wengi tuu wamefunguka mavituzi hapa hamuwasemi🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom