Ipi ni 'sexual fantasy' yako?
natamani nipata demu wa kunisafoketi hivi
20221019_104401.jpg
 
Na kwa nini tukuue wakati u apenda dushe, wee tunatakiwa tukuoe raha tuu.
Mzee wa kupambania mrembo anapenda dushe sasa kazi kwetu kumpa kile moyo unapenda
🤣🤣🤣 ana ile fantasy yake ya kupelekewa moto while others watch. Tuanzie hapo inabidi apelekewe dushe la kwenda ili atimiziwe hiyo fantasy yake kwanza
 
Na kabla ya tendo mnaanza na sala kabisa na mkimaliza mnashukuru Mungu tena kwa sala , niliwahi kupata mlokole ile kuanza kidogo nikaambiwa subiri kwanza tusali nikasema leo kumekucha
Ha haa ulipatikana
 
Toa mada kuhusu hili ila ni kweli zamani nilipokuwa napiga pamba wanaokuja ni vifaru ila kwa sasa wanakuja akina depond , mzab zab , mlevi mmoja na wengine [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuja wapi Tena unique[emoji16]
 
Daaah,huu uzi una maajabu mengi kweli kweliii

Kuna mtu ana fantasy kutyomba dolaa na magwanda yake uku akipigiwa saluti

Mara kuna mtu anataka kutyomba sister wa makanisani kikatoliki

Sijui kuna mtu anataka kutyomba threesome mara foursome

Mwingine nae anataka kutyomba zeruzeru,mara wahispaniora,mara waarabu [emoji1787]
Ndo ujue nchi Ina vijana wa namna gani[emoji16]
 
Back
Top Bottom