Mimi sio mkristo mkuu hiki kitabu sikuletewa mimi wpae wahusika.
 
Kupenda na kutii vitu viwili tofauti, mimi nampenda Mungu ila si lazima awe Mungu wako wewe Mkuu.

Mungu nampenda kwa sababu nyingi ikiwemo ya kunifanya binaadamu na kuumba hawa viumbe adhimu sana ambao tunakula kimasikhara
 
Hahaha yule mwenye matako nitamtafuta kwa ajili ya kutifua mtaro

Sawa sasa hebu nambie shoo ya Muncy ikoje? Niandae kama kiasi gani asee?
 
Ni kweli kabisa kuwa MUNGU anakupenda na atakusamehe kabisa dhambi zako, lakini, ni pale tu utakapo tubu na kuziacha kabisa.
Mkuu wewe ndo unaesamehe dhambi au? Mbona unaweka weka masharti na kumsemea Mungu?

Au wewe ndiye mwenye funguo za ufalme wa mbingu,?
Usipoacha dhambi zako na ukifa katika dhambi zako za zinaa na sexual fantasies basi jua kwamba hakutakuwa tena na msamaha siku ya hukumu.
Mkuu wewe ni Mungu? Au una usafi gani wa kunihukumu?
Imani yako isikupe mamlaka ya uongo kujiona msafi sana

And btw nani kasema sexual fantasy ni kitu kibaya
Tena mbaya zaidi, wewe unalijua NENO la MUNGU. Mafundisho yake, Amri zake na maagizo yake yote unayajua lakini kwa makusudi kabisa unafanya zinaa na kujitahidi kwa bidii ili kutimiza sexual fantasies zako.
Ofkoz najitahidi kuzitimiza na hili sitaacha,
Hebu nambie mkuu huna dhambi weye?😂
Ukifa lazima uende kwenye ufalme wa Mungu weye?
Unachokifanya wewe ni kumdhihaki MUNGU na kudharau Amri zake na mafundisho yake kwako.
Wewe ni nani kufafanua ninachokifanya? Wew ni nani kumsemea Mungu?
Wewe unajua yaliyo moyoni mwangu Mkuu ? Unajua Mungu ana mipango gani na mimi?

Mbona unajifanya msemaji wa serikali ya Mungu una shida gani Mkuu?
Anyways, it's your decision to make. If you repent and change your behavior, you'll be forgiven of your sins. If you don't, you'll surely perish.
Sasa this is not ur call to make, hebu niache mimi na Mungu wangu na sexual fantasy zangu
Hiki kitabu sikuletewa mimi.

Next time unapotangaza neno lako hakikisha unalifikisha kwa waliokusudiwa.

Nikikwambia mimi nimeletewa verda hiki ulicholrta kitakuwa na mamlaka gani?

Haya mkuu tupe fantay yako basi, hujawahi hata kumuwazia sister? Tupe kidogo mkuu
 
Hahaha yule mwenye matako nitamtafuta kwa ajili ya kutifua mtaro

Sawa sasa hebu nambie shoo ya Muncy ikoje? Niandae kama kiasi gani asee?
yule mwenye tako ni mseleleko sana usiumize kichwa, siku hizi anakuja winds m.city ukikaa pale mangos anatokeo tokea sana anakujaga chakula.. na mitego..

Munch hamna ujuzi hakuna maajabu ni kama kuku wa kizungu tu.. ila jenzake lile utafaidi sana..

Wale hela inategemea na location na ume mvuta vipi, siku ile nakumbuka nilikuwa na hela , bili na matumizi mengine nikaja mpoza around 350k, ila matumizi yalikuwa juu tayari na nilimla kama kisera sio ile kibiashara.. ukitaka ku cut cost fanya kisera out mtoko ila ukienda straight atakusumbua na hivi sasa hivi wamekuwa na umaarufu zaidi.. ila jenzake nenda straight maana hata lenyewe lipo straight mzee
 
Asante kwa mwongozo mkuu

Siku hiyo ulimg'oa location ilikuwa wapi?

Wanapiga hela saivi kafungua hadi duka la nguo na vipodozi
 
Unakera... afu nacheka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…