Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee besty yangu ila hii mambo ya kuondoka bila neno kwa kweli unaniumiza moyo🚶🚶🚶
Kumbe nawe uliachwa 🤣🤣🤣🤣🤣 kha sasa pa.oja na uno lote bado unabwagwa🤣 Aah wap nisingeachwa kama ndio hivyo
Kusema kweli more nliuona kabisa kabisa nkasema nipite ntarudi lkn nkajisahauKongole kwao
Hivi sophy27 Lovelovie Unique Flower ndo kusema hawajauona huu uzi au wanapitia kimyakimya 🙄
Bahati nzuri katibu kashajiondoa duniani.Usipomfanyia katibu atamfanyia
😂 Nipo bwanaWee besty yangu ila hii mambo ya kuondoka bila neno kwa kweli unaniumiza moyo
Haya mwaga ushwetani wako hapa kufikishe 1k comments kabla ya mwisho wa sikuKusema kweli more nliuona kabisa kabisa nkasema nipite ntarudi lkn nkajisahau
Uno wapi, kiuno kama jiwe 😂 hapa nimetafuta mtu arekebishe makosa yanguKumbe nawe uliachwa 🤣🤣🤣🤣🤣 kha sasa pa.oja na uno lote bado unabwagwa
Ngoja nakuja hapa nipo kweny daladala Kuna lijitu linasoma mambo yanguHaya mwaga ushwetani wako hapa kufikishe 1k comments kabla ya mwisho wa siku
Hahaha atakuweka sawa huyo sii hela ipo. Uzuri wenye hela hawanaga mambo mengi...wakipiga viwili vimetosha. Shida utapate sie majobless mbona mbususu itawaka motoUno wapi, kiuno kama jiwe 😂 hapa nimetafuta mtu arekebishe makosa yangu
🤣🤣🤣🤣🤣 Andika "una sura mbaya" ili aisome vizuriNgoja nakuja hapa nipo kweny daladala Kuna lijitu linasoma mambo yangu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ngoja nakuja hapa nipo kweny daladala Kuna lijitu linasoma mambo yangu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daah kumbee
Pole sophy27 wangu kwa kupitia kipindi kigumu, hayana formula
Na yeye alipigwa na kitu kizito kichwani nini??🤣🤣🤣Amuulize mwenzie Kelsea alishajifuna mapenzi ya kifilipino bongo hamna
Alikuwa anaona nyota nyotaNa yeye alipigwa na kitu kizito kichwani nini??🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Alikuwa anaona nyota nyota
Khaaa 😂😂😂 dunia hiinani kawahi sex na nguruwe ?
Malizia na akifilisika akiwq anajpoza kwa stressSiku ukianza familia unadaiwa Ada, pango ya nyumba na Una mkopo bank ya crdb milion 100 huku biashara zinasuasua utajua kwanini missionary position bila kuongea ni style kongww!
Ila kama uko chuo na unakula Kwa wazazi hi ruksa kunyonya Hadi visigino kabla hujaanza najukumu
Mwamba upo?