Ipi ni 'sexual fantasy' yako?
Mi ilikuwa kusex na ngoz mzungu nikafanikiwa mgermany....Kuwa mwanajeshi nikaishia kudate na mjeshi....Lakini katika yote ndoto yangu Kuu ni kuolewa na mwanaume anayejimudu kiuchumi Ili Watoto tutakaopata wasipitie shida nilizopitia maishani katika malez toka Kwa baba na mama....naamini litatimia haijalishi napitia magumu mangapi njiani🙏
genius_ 🥴
 
Back
Top Bottom