National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
😀😀😀😀 chumbani huwa kuna mambo yanayofanyika ukitoka hadi unahisi haukuwa wewe.. na ukiona watu wanazungumzia unapinga, ndio maana ni vyema kukaa kimya kila mtu abaki na yake.. but kuna crazy stuff zinafanyikaaa .. ila ndio raha zenyewe .. hakuna namna🤣🤣🤣 sio poa babu kuta zinaficha mengi sana. Namwambiaga Kelsea hayo mambo ndo utamu wenyewe yeye anaita makoro koro, ananisikitisha sana