Ipi ni 'sexual fantasy' yako?
Jf oyeee.

Its my love's b'day.

Leo nimeamisha vikoro koro vyote chumbani, nimem suprise ila kuna hii suprise ya pili ambayo haijui.
Leo hii usiku wa saa 8+, namwaga bia chumbani mwote na kitandani,,,

Nimemuambia avae dera ila hajajua ninamaanisha nini. Na nikamuambia alale nalo. Bia nazifungua usiku wa leo saa 6+ na hajajua bado lengo langu,,

Nataka tuoge bia leo nataka nipat ladha ya tofauti nataka kum f#ck her hilariously,,,
Na inagine itakavyokuwa.

Pia nimeongea na jamaa nimeagiza mende wa kutosha na nimekodi madogo wanitafutie mijusi wa kutosha(wawe hai lakini)kwa ajili ya kuwamwaga chumbani baada ya siku kama 3 hivi la zoezi la usiku huu wa leo,,,

Utakuwa ni usiku wa kutisha na kuogofya,,,
Tutashiriki tendo huku tukisikiliza wimbo wa sixty nine 'gummo'.

Hakutokua na neno lolote. Zoezi litakua ni kimya kimya, hakuna kuongea chochote.

Haya!
Ukitaka na nyoka wanapatikana chap
 
Jf oyeee.

Its my love's b'day.

Leo nimeamisha vikoro koro vyote chumbani, nimem suprise ila kuna hii suprise ya pili ambayo haijui.
Leo hii usiku wa saa 8+, namwaga bia chumbani mwote na kitandani,,,

Nimemuambia avae dera ila hajajua ninamaanisha nini. Na nikamuambia alale nalo. Bia nazifungua usiku wa leo saa 6+ na hajajua bado lengo langu,,

Nataka tuoge bia leo nataka nipat ladha ya tofauti nataka kum f#ck her hilariously,,,
Na inagine itakavyokuwa.

Pia nimeongea na jamaa nimeagiza mende wa kutosha na nimekodi madogo wanitafutie mijusi wa kutosha(wawe hai lakini)kwa ajili ya kuwamwaga chumbani baada ya siku kama 3 hivi la zoezi la usiku huu wa leo,,,

Utakuwa ni usiku wa kutisha na kuogofya,,,
Tutashiriki tendo huku tukisikiliza wimbo wa sixty nine 'gummo'.

Hakutokua na neno lolote. Zoezi litakua ni kimya kimya, hakuna kuongea chochote.

Haya!
Bangi mbaya sana
 
Kumekucha wakuu[emoji38]
JamiiForums-1994665192.jpg
 
Kwanini usipige magoti na kumshukuru hata shetwain kwa kuchelewa kukutoa roho kuliko huo upuuzi unaoenda kuufanya ?
 
Back
Top Bottom