dyudyuJF Mahusiano๐
Nipo hapa kuuliza swali dogo tu.
Ipi ni zawadi nzuri ambayo unaweza mpatia mpenzi wako akafurahi Mainly Mwanamke hasa katika siku zao Maalumu kama Birthday?
Nina Jambo langu hapa๐๐
NOTE:Toa ushauri pasipo kuangalia swala la uchumi let's assume wote tuna kitu.
iwe macho matatu
Hayo fanyeni huko ulaya hiyo candlelight atapigwa na mshumaa usoni hadi ashangae [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hayo fanyeni huko ulaya hiyo candlelight atapigwa na mshumaa usoni hadi ashangae [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hajui vitu adimu hivyoHuwezi elewa ahaha ndio nasema mambo mageni
Navijulia wapi huku mwananyamala? Kama unabisha njoo jaribu hayu mamishumaa yako kama hujachomwa moto wa msumaa usoni, huku njoo na hela tu ila kama mpo huko kwa wadosi sawa maoni yangu ni kutokana na eneo ninaloishiHajui vitu adimu hivyo
Usijisumbue sana kumnunulia vidude dude......Mpatie tu cash 1m au 2m basi
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Hujawahi pendwa au?
๐๐๐ Hongera kwa kupendwaHujawahi pendwa au?[emoji23][emoji23]
Aah sawaPesa sio zawadi, ikiisha tu hukumbukwi.
Nikitaka Mtoto kampani yangu watanizalia?
Aiseee hadi hapo ni kama 50k hivi๐๐๐Bajeti yako ni kama kiasi gani? Mnunulie perfume,saa na misindikizie na cake flani hivi ya chocolate yenye umbo la love akii hata ukichepuka akakubamba anakusamehe๐
Aiseee napendwa we hujui tu๐๐Penzi jipya lina mbwembwe sana.
Aiseee ushawahi kwanza hata wewe kumpa zawad ka hii?๐๐Iphone 13 ukiweza agiza 14 kabisa direct kutoka kiwandani.
Next time nikichane mwenyewe nikiwa nataka mzigo๐๐Kachupi kamoja tu ka keupe kanamtosha
Aiseee ushawahi kwanza hata wewe kumpa zawad ka hii?๐๐