Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa kukaziaNext time nikichane mwenyewe nikiwa nataka mzigo😂😂
Tupo ila ni wachache sana kua Makini![emoji23]Hebu bana chukua wazo. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimba itaharibu Raha yani saivi tu tuanze kulizana na Litoto?[emoji23]Unaweza ukampa Mimba au kama vipi hata Stress, nazo pia ni zawadi.
Mtoto ana raha yake since unampenda huyo bibie basi hapo mambo yanakuwa bomba ..Mimba itaharibu Raha yani saivi tu tuanze kulizana na Litoto?[emoji23]
Aje kwa mipango sasa tena kwa makubaliano yenu wote wawili sio wewe mmoja unapania kumpa mwenza wako mimba au wewe wa kike unategesha pasipo nyie kukubaliana.Mtoto ana raha yake ila since unampenda huyo bibie basi hapo mambo yanakuwa bomba ..
Upo sahihi kabisa [emoji817]Aje kwa mipango sasa tena kwa makubaliano yenu wote wawili sio wewe mmoja unapania kumpa mwenza wako mimba au wewe wa kike unategesha pasipo nyie kukubaliana.
Mtoto sawa aje sio kwa mipangoa ua kwa kupanga bado ni mtoto ila tunataka tuishi kwa Raha na Mtoto afurahie maisha sio mtoto una mzaa akikuaaa anaanza kusema wazazi wangu walikua wapi sijui hadi Bakhresa anakua tajiri?[emoji23][emoji23]
I once did this to someone, nilijitoa sana, nilijitahidi macho yangu yasijaribu hata kutazama mtu mwingine but still things didnt work out (that ungrateful b****).Hebu mwache atoe zawadi
Love is a beautiful thing ..
Mungu akusaidie ukutane na mwanamke wakoI once did this to someone, nilijitoa sana, nilijitahidi macho yangu yasijaribu hata kutazama mtu mwingine but still things didnt work out (that ungrateful b****).
Nikimuona mtu anajiangaisha na zawadi kwa dada zetu hawa waswahili nasemaa hiiiiiiii.
There is no such thing as love, bali kuna personal interests tu.
Hakuna mtu aliyekuja hapa duniani sababu ya mtu mwingine hizo ni fairy tales. Kila mtu anazaliwa akiwa mbinafsi na interests zake.Mungu akusaidie ukutane na mwanamke wako
Hakika utaenjoy ..
Watu wengine wanakuja maishani kutufundisha tu hivyo inabidi tuyavumilie yote .
Aisee naona umegive up kwenye mapenzi kabisaHakuna mtu aliyekuja hapa duniani sababu ya mtu mwingine hizo ni fairy tales. Kila mtu anazaliwa akiwa mbinafsi na interests zake.
Huku sio kukata tamaa bali kunaitwa "realizing the facts". Naamini hata wewe deep inside unaujua ukweli japo unajitahidi kuufunika[emoji28][emoji28][emoji28]Aisee naona umegive up kwenye mapenzi kabisa
Naomba Mungu akusaidie katika hilo
Anyway love is still a beautiful thing ..
Hapana give yourself a chance to love someone ,Weh mimi hata niumizwe kamwe siachi kupenda aisee .. ya nini kujitesa wakati tunaishi mara moja tu .Huku sio kukata tamaa bali kunaitwa "realizing the facts". Naamini hata wewe deep inside unaujua ukweli japo unajitahidi kuufunika[emoji28][emoji28][emoji28]
U can love being around people but that it doesn't mean you love them, it only means most of your interests are fulfilled kwa wakati huo ndio maana unafuraha wakiwa around.Hapana give yourself a chance to someone ,Weh mimi hata niumizwe kamwe siachi kupenda aisee .. ya nini kujitesa wakati tunaishi mara moja tu .
NB. mapenzi matamu asikuambie mtu
U can love being around people but that it doesn't mean you love them, it only means most of your interests are fulfilled kwa wakati huo ndio maana unafuraha wakiwa around.
Interests za mtu zinabadilika, ipo siku furaha itaisha sababu interests zako mpya hazitimizwi and u'll no longer think u love them.
wamebaki wachache sana [emoji23]wanaume kama nyie mpo mkoa gani jamani....hata masalia yenu tu basi
Pochi, saa, perfume, viatu, Lotion nzuri, simu