Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
atakua kabaki mmoja tu, huyu alieleta hii thread....😁wamebaki wachache sana [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atakua kabaki mmoja tu, huyu alieleta hii thread....😁wamebaki wachache sana [emoji23]
atakua kabaki mmoja tu, huyu alieleta hii thread....
Yeah umemwambia real unawrza muona huyu kakusaliti kumbe hakua wako kutoka kwa Mungu huyohuyo msaliti ukadhani atakua danga akapata wake wakapendana wakaishi.Mungu akusaidie ukutane na mwanamke wako
Hakika utaenjoy ..
Watu wengine wanakuja maishani kutufundisha tu hivyo inabidi tuyavumilie yote .
Yeah umemwambia real unawrza muona huyu kakusaliti kumbe hakua wako kutoka kwa Mungu huyohuyo msaliti ukadhani atakua danga akapata wake wakapendana wakaishi.
Kwahio nikuombea upate Chaka lako tu sio kuforce mambo [emoji120]
Hata kama Ma-Role Model wangu wote wakubwa Dunian hawajawahi Mpatia Demu zawadi kama Hio.Mpe Gari.
Unampotosha dogo, atapigwa na kitu kizito ataijutia hiyo zawadi yake.Hebu mwache atoe zawadi
Love is a beautiful thing ..
Nimekupata kamanda we njoo tu tabata huku, uza kila kitu uje tutumbue comrade.oi mnene Nipe area code nije tuanze kutumia ka sehem ka Mali zetu wakat tunamsubili kijana tuje tuiteketeza iyo pesa ya zawaid ambayo kesho itakuja kumpa stress akiachwa
Mayday mayday..... ☣️
Mapenzi ni ngono tu wewe, kama atamtunuku basi ampe zawadi kama hakutakua na turufu aje tunywe balimi.Mapenzi yana nafasi yake kubwa sana acha ujinga
Daah we kweli ni dogo, hivi hujui kua mtoto anazaliwa na mwanamke, kampani yangu mi ni wanaume tu.Nikitaka Mtoto kampani yangu watanizalia?
😂😂😂 Amna naupenda tu, huwa haunisaliti na napata kile nilicholipia.Mzee baba inaonekana una kiu sana ya ugimbi..
Aisee mwache enjoy mapenzi kwa muda huo . Hakuna kitu kizuri kama kumjali mpenzi wako kwa vitu vidogo kabisa ..Unampotosha dogo, atapigwa na kitu kizito ataijutia hiyo zawadi yake.
Nataka vitu vidogovidogo vinavyo Matter sana.
Kama umeamua kutoa kitu ili upate kitu ni sawa otherwise don't be fooled, people only care about themselves.Yeah umemwambia real unawrza muona huyu kakusaliti kumbe hakua wako kutoka kwa Mungu huyohuyo msaliti ukadhani atakua danga akapata wake wakapendana wakaishi.
Kwahio nikuombea upate Chaka lako tu sio kuforce mambo [emoji120]
Asante kwaresma Njema Mkuu🙏Kama umeamua kutoa kitu ili upate kitu ni sawa otherwise don't be fooled, people only care about themselves.
IST kwani nayo gari?😂😂😂Mkuu kwani Gari ni kitu kikubwa..?? Kagari ndogo tu kama IST katamfaa
Hahahaha! Hawa madogo watajifunza lini. Kawaida mwanamke anatumia masaa kujiangalia kwenye kioo kisaikolojia inamaanisha ile image anayoiona ni muhimu kuliko kitu chochote kile na muda wote atafanya maamuzi kufavor ile image anayofurahia kuiona.Mapenzi ni ngono tu wewe, kama atamtunuku basi ampe zawadi kama hakutakua na turufu aje tunywe balimi.
😂😂😂😂Unanisahau mm yule braza wa miaka 40 niliyemshauri huyo Mleta uzi atafute zawadi.