Ipi ni zawadi nzuri ya kumpatia mpendwa wako hasa wa kike?

Ipi ni zawadi nzuri ya kumpatia mpendwa wako hasa wa kike?

Mungu akusaidie ukutane na mwanamke wako
Hakika utaenjoy ..

Watu wengine wanakuja maishani kutufundisha tu hivyo inabidi tuyavumilie yote .
Yeah umemwambia real unawrza muona huyu kakusaliti kumbe hakua wako kutoka kwa Mungu huyohuyo msaliti ukadhani atakua danga akapata wake wakapendana wakaishi.

Kwahio nikuombea upate Chaka lako tu sio kuforce mambo [emoji120]
 
Yeah umemwambia real unawrza muona huyu kakusaliti kumbe hakua wako kutoka kwa Mungu huyohuyo msaliti ukadhani atakua danga akapata wake wakapendana wakaishi.

Kwahio nikuombea upate Chaka lako tu sio kuforce mambo [emoji120]

Oh yeah muda mwingine tunaforce mambo yasiyo na msingi,sasa usipende mtu mwingine kisa umeumizwa .. maisha ni haya haya tu yaani kujitakia stress za bure .

Ni vizuri sana kumuomba Mungu atukutanishe na watu sahihi ambao watakuwa mibaraka katika maisha yetu na sio mikosi ..
 
oi mnene Nipe area code nije tuanze kutumia ka sehem ka Mali zetu wakat tunamsubili kijana tuje tuiteketeza iyo pesa ya zawaid ambayo kesho itakuja kumpa stress akiachwa

Mayday mayday..... ☣️
Nimekupata kamanda we njoo tu tabata huku, uza kila kitu uje tutumbue comrade.
 
Nikitaka Mtoto kampani yangu watanizalia?
Daah we kweli ni dogo, hivi hujui kua mtoto anazaliwa na mwanamke, kampani yangu mi ni wanaume tu.

Ukitaka mtoto atakuzalia huyohuyo dem wako hiyo ndo kazi yake aliyoumbwa nayo. Zawadi haitafanya akuzalie dogo, utampa zawadi nae atakupa mtoto wa mwanaume mwenzio.
 
Yeah umemwambia real unawrza muona huyu kakusaliti kumbe hakua wako kutoka kwa Mungu huyohuyo msaliti ukadhani atakua danga akapata wake wakapendana wakaishi.

Kwahio nikuombea upate Chaka lako tu sio kuforce mambo [emoji120]
Kama umeamua kutoa kitu ili upate kitu ni sawa otherwise don't be fooled, people only care about themselves.
 
Mapenzi ni ngono tu wewe, kama atamtunuku basi ampe zawadi kama hakutakua na turufu aje tunywe balimi.
Hahahaha! Hawa madogo watajifunza lini. Kawaida mwanamke anatumia masaa kujiangalia kwenye kioo kisaikolojia inamaanisha ile image anayoiona ni muhimu kuliko kitu chochote kile na muda wote atafanya maamuzi kufavor ile image anayofurahia kuiona.

Hiyo pesa akutafute mkanywe balimi tu maana lazima atakuja kuijutia akifanya huo upuuzi.
 
Back
Top Bottom