Boli linatembea
Member
- Dec 21, 2022
- 66
- 167
- Thread starter
- #21
Hii nzur Bank labda hao Absa lakin hao wanafilisika kila siku kubadili majina bado siwaamini aisee.Fuata Ushauri huu murua kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nzur Bank labda hao Absa lakin hao wanafilisika kila siku kubadili majina bado siwaamini aisee.Fuata Ushauri huu murua kabisa
Weee hii hapana aisee kwenye hela?hata mke hii hatajua i trust no body.Ukiwa na mtu unayemwamini Tanzania ni rahisi sana.
unajua ata maana ya scam weww🚮🚮Hii ni scam.
Huwezi kufanikiwa maishani kama huwezi kumuamini mtu.Weee hii hapana aisee kwenye hela?hata mke hii hatajua i trust no body.
Dini ni scam.unajua ata maana ya scam weww🚮🚮
Hii sitafanya kamwe watu wamelizwa na ndugu zao na huwezi hta kumfunga, hii ni kama final stage ninakaribia 40 siwez kufanya huo ujinga, pesa ilimsaliti hadi Yesu aaah we big no.Huwezi kufanikiwa maishani kama huwezi kumuamini mtu.
Kama upo kweli Marekani mchakato wako mpaka kufika hapo uliwaamini kwenye pesa na wao walikuamini, i know ninachokiandika.
Kheeeee sawaDini ni scam.
Siwezi kukushauri zaidi, nina mwana kila mwaka anakuja kupumzika Bongo na appartment zake alijengewa na mshkaji tu.Hii sitafanya kamwe watu wamelizwa na ndugu zao na huwezi hta kumfunga, hii ni kama final stage ninakaribia 40 siwez kufanya huo ujinga, pesa ilimsaliti hadi Yesu aaah we big no.
Hii imekaaje?kuna mtu anatumia hii?unaweza kufungua ukiwa huku?Crdb wana Tanzanite account kwa ajili ya Diaspora.
Umekomalia kishenzi mshikaji atume hela ya kununua viwanja.Siwezi kukushauri zaidi, nina mwana kila mwaka anakuja kupumzika Bongo na appartment zake alijengewa na mshkaji tu.
Huwezi kukwepa mtu asipate hata vijiela kusimamia miradi yako, wewe ni mchoyo na una roho mbaya, subiri ujichanganye kwa demu wa Kimarekani akupukutishe saving yako yote uwe kichaa tutakuchangia nauli.
Kwani huko hakuna bank usage uko uko?Hii sitafanya kamwe watu wamelizwa na ndugu zao na huwezi hta kumfunga, hii ni kama final stage ninakaribia 40 siwez kufanya huo ujinga, pesa ilimsaliti hadi Yesu aaah we big no.
Jamaa mmoja alikuwa anamtumia kakaake hela bro anamtumia mapicha ya mjengo, kaja kukuta ni banda la mbao,, hawajaongea miongo miwiliSiwezi kukushauri zaidi, nina mwana kila mwaka anakuja kupumzika Bongo na appartment zake alijengewa na mshkaji tu.
Huwezi kukwepa mtu asipate hata vijiela kusimamia miradi yako, wewe ni mchoyo na una roho mbaya, subiri ujichanganye kwa demu wa Kimarekani akupukutishe saving yako yote uwe kichaa tutakuchangia nauli.
Ushauri na comment ya ovyo niliyoiona katika huu uziSiwezi kukushauri zaidi, nina mwana kila mwaka anakuja kupumzika Bongo na appartment zake alijengewa na mshkaji tu.
Huwezi kukwepa mtu asipate hata vijiela kusimamia miradi yako, wewe ni mchoyo na una roho mbaya, subiri ujichanganye kwa demu wa Kimarekani akupukutishe saving yako yote uwe kichaa tutakuchangia nauli.
Ushauri na comment ya ovyo niliyoiona katika huu uzi.mleta mada ukifuata huu ushauri inabidi tukupime akili kama ziko sawa au la!!Siwezi kukushauri zaidi, nina mwana kila mwaka anakuja kupumzika Bongo na appartment zake alijengewa na mshkaji tu.
Huwezi kukwepa mtu asipate hata vijiela kusimamia miradi yako, wewe ni mchoyo na una roho mbaya, subiri ujichanganye kwa demu wa Kimarekani akupukutishe saving yako yote uwe kichaa tutakuchangia nauli.
ThanxFungua account ktk bank hizi kubwa NMB ,CRDB ,NBC then uanze Ku-deposit pesa zako .
Nadhani ungefungua fixed account ingekuwa vizuri zaidi.
Usimwamini MTU kwenye mambo ya hela maana wewe unaoneka haujasettle mil 40 ni hela ndogo ni bora ujitunzie mwenyewe.
Ushauri mwingine sehemu uliyopo jaribu kuwa na MTU mnaye-share the same dreams ili muwe mnaongea na kupeana hamasa na mkawa na "saving challenge'
Big No.Ushauri na comment ya ovyo niliyoiona katika huu uzi.mleta mada ukifuata huu ushauri inabidi tukupime akili kama ziko sawa au la!!
Hii imekaaje?kuna mtu anatumia hii?unaweza kufungua ukiwa huku?