Ipi njia sahihi ya kumlea mtoto akiwa na mzazi mmoja?

Ipi njia sahihi ya kumlea mtoto akiwa na mzazi mmoja?

Me too

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2015
Posts
7,388
Reaction score
9,333
Wakuu ili wazazi waishi miaka mingi bila presha za makwaruzano wao kwa wao zinazopelekea kufa mapema,

Njia rahisi ni kutengana kila mtu aishi kivyake, lakini utengano, huu unashindikana sababu ya watoto mliozaa kukosa malezi ya wazazi wawili.

Je, tufanyaje Watoto hawa tuwaleeje ikiwa wapo na mzazi mmoja ili kukidhi mahitaji sahihi na bila kumharibu mtoto kuwa?

NB: Hii ni kwa wale wenye pesa na uwezo kimalezi bila kumtegemea mwenza..

Karibuni kwa michango.
 
Ni kuwa na wazazi wawili
kuna mitafaruki hutokea inafikia mzazi analala chini mwingine juu unazani ni haki? yupo mmoja anajifanya bwege ila ndani ya hayo mtu huyo lazma atakufa mapema kwa presha na msongo wa mawazo huku akiwaacha watoto hawajajitegemea kisa mitafaruki yenu.


hebu onesha njia ya kumnyoosha mtoto alelewe vizuri bila kumuathiri kisaikolojia
 
Mkishatengana hata kama kuna pesa lazima kutakuwa na shida kwenye malezi ya Mtoto.
mama hufanikiwa asilimiia 90

lakini


baba yeye ni asilimia 45


sasa tufanyeje?
 
Back
Top Bottom