Mamserenger
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,156
- 2,092
Nikweli Japo nimechukua A12 Sum ina gonga vizuri kazi zangu na inasimika sana na chargeHata mm ni mpenzi wa samsung lakini simshauri mtu ananue samsung yoyoye chini ya A51 bora ununue xiaomi tu...
yah kiasi fulani ila zote tatu ni simu ambazo unakaa nazo siku nzima bila kucharge, kwenye test za gsmarena
-A52 endurance 105h
-realme 8 pro 116h
-redmi note 10 pro 118h
ila ufahamu jambo moja realme inakuja na kioo cha 60hz, samsung 90hz na Xiaomi 120hz, hivyo xiaomi na Samsung wana display za kisasa zaidi zinazokula umeme mwingi zaidi, pamoja na hilo zimeweza kutoa matokeo mazuri kwenye ukaaji chaji.
ukicompare simu kama redmi note 9s (ina soc moja na realme 8 pro sd 720) utaona kuwa realme amepitwa ukaaji chaji, 9s in 127H enudrance yake vs 116H ya realme 8 pro.
Siwezi kufahamu hayo mkuu, na pia usiangalie matatizo ya simu comments za Gsmarena.Sawa kaka shukrani
Nimecheki reviews za Samsung m51
Naona watu wamelalamika zina matatizo mengi
Ikiwemo kuacha kuchajisha simu na network signal reception iko chini sana
Hasa ukiupgrade kwenda android 11
Hii kwako imekaaje??
Okay mkuuSiwezi kufahamu hayo mkuu, na pia usiangalie matatizo ya simu comments za Gsmarena.
Na m51 pia ni ya soko la India, mfano Hilo suala la poor reception mpaka ujue ni mtandao gani na ni band ipi imesababisha. Kwa Tanzania hata utembee na Antenna Halotel 4g itakuwa na reception mbovu, si Sababu ya simu ama mtandao Bali band husika, ambayo hutoa speed kubwa sana ukiwa covered lakini ukiwa mbali ama umezibwa kidogo hupati signal vizuri.
Pia most of time matatizo yanayokuja na updates baadae hutolewa updates nyengine kuyatatua.
Inategemea na matumizi, kama Una matumizi ya kawaida si mbaya, ila matumizi makubwa haitafanya.Mkwawa hii A12 Sum mbona iko vyemaa
Pia ina kaa na charg sanaa.
Pia sijajua kasoro kuu ni zip kwa Budget yangu ya 350k
Unlocked hazina shida, locked ndio zina shida, unless muuzaji kasema ni unlocked hali ya kuwa sio.Okay mkuu
Halafu kuna kitu kma kinanivuruga
Unakuta simu inasupport bands zote za network za Tanzania
Ila unakuta iko network unlocked huko inakouzwa
Na humu jamvin ilishawah jadiliwa kwamba hzi unlocked phones huwaga zina shida zake
Je ni kweli hata kma zina freq bands zote za mitandao husika hapa bongo??
Nashukuru lakini maduka mengi hizo simu wauzaji hawazijui na hata upatikanaji wake ni wa shidaInategemea na matumizi, kama Una matumizi ya kawaida si mbaya, ila matumizi makubwa haitafanya.
Kwa budget ya 350k Xiaomi redmi 9T ni simu nzuri.
Bongo naweza ipata wapi kwa sh ngaapiOveral ni Samsung galaxy A52, maana perfomance zote zinafanana, kwenye mambo mengine ya simu A52 ipo juu kama uhakika wa updates miaka 3, ubora wa display, camera, waterproof etc.
sema kama unataka perfomance ya ukweli angalia POCO x3 pro, hii ndio bora kushinda zote tatu hapo juu na bei zinafanana ama unaweza ipata rahisi zaidi, yenyewe ina snapdragon 860 ambayo ni flagship level soc, nguvu kama GAlaxy S10.
Poco ya kuagizishia tu mkuu, kama hujui muone Mwl.RCTBongo naweza ipata wapi kwa sh ngaapi
Wapi naipataInategemea na matumizi, kama Una matumizi ya kawaida si mbaya, ila matumizi makubwa haitafanya.
Kwa budget ya 350k Xiaomi redmi 9T ni simu nzuri.
Poco ya kuagizishia tu mkuu, kama hujui muone Mwl.RCT
Tafuta bei sehemu nzuri kwenye ofa itacover hela ya usafiri
- mtume wawatu anzia hapa chagua model unayohitaji: Search for POCO - GSMArena.comBongo naweza ipata wapi kwa sh ngaapi
Mkuu sikuwa mimi ila nimeahawishika kupitia hapo.... Mbona naona simu za milion...au sijaona poa?- mtume wawatu anzia hapa chagua model unayohitaji: Search for POCO - GSMArena.com
- Kisha utanijulisha tuende hatiua inayofuata
View attachment 1742153
Kha!kha!, Kwa hiyo sisi tunaotumia infinix tunatumia simu za kijinga??.Oppo ipo juu sana..haifai kulinganisha na vimeo vya infinix
Kuwa na akiba ya manenoinfinix sio simu, ni takataka
Remote ya simuNapitia baadhi ya simu kama poco f3 naona haina heaphone jack pia ina infared. Hii infared ya kazi gani kwa wakati huu.?
Kenya hii unapata.Wapi naipata
Mkuu shukrani kiongozi- mtume wawatu anzia hapa chagua model unayohitaji: Search for POCO - GSMArena.com
- Kisha utanijulisha tuende hatiua inayofuata
View attachment 1742153
Sio za kijinga tu ni ..ZA KIJINGA SANAKha!kha!, Kwa hiyo sisi tunaotumia infinix tunatumia simu za kijinga??.