Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Hebu mshauri mTanzania huyu anaekusudia kununua usafiri wake wa gari dogo sasa hivi. Ipi njia rahisi kwake kununua gari kwa urahisi, kwa unafuu wa fedha na muda na kwa usalama zaidi kati ya kuagiza kutoka ng'ambo na kwenda kuchagua tu sehemu mbalimbali yanapuuzwa magari nchini?
Kwa niaba ya mstaafu moja na wadau wengine wenye nia na malengo ya kununua magari hapo mbeleni 🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Kwa niaba ya mstaafu moja na wadau wengine wenye nia na malengo ya kununua magari hapo mbeleni 🐒
Mungu Ibariki Tanzania