Ipi siri ya kanisa Katoliki kujimilikisha ardhi kubwa kwa jina la Vatican?

Ipi siri ya kanisa Katoliki kujimilikisha ardhi kubwa kwa jina la Vatican?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Kanisa Katoliki kwa miaka nenda rudi wamekuwa na utamaduni wa kujilimbikizia maeneo makubwa ya ardhi nchi mbalimbali, na ardhi hiyo huwa inasauiliwa Vatican kama milki yao halali.

Kanisa limekuwa likifundisha kwamba tusijiwekee akiba duniani, lakini lenyewe ndio kinara wa kujilimbikizia ardhi.

Mathayo 6:19-20​

“Msijiwekee hazina hapa duniani ambako nondo na kutu huharibu, na wezi huingia na kuiba. Jiwekeeni hazina mbinguni ambako nondo na kutu hawawezi kuiharibu, wala wezi hawaingii wakaiba."

Haya mafundisho naona yanakinzana na kile ambacho kanisa linakifanya. Sasa ningependa kujua nini dhamira ya kanisa kumiliki haya maeneo makubwa? Kijijini ni mfano tu, kanisa linamiliki zaidi ya heka mia mbili, za nini zote hizi kama sio ulafi tu na ubinafsi?

Hebu tujulishane nyuma ya mpango huu kuna nini kilichojificha?

Kwanini ardhi isajiliwe kama ni mali ya Serikali ya Vatican?
 
Sio kweli kwamba ardhi ya katoliki huwa mali ya vatican. mali miliki ya vatican ni pale tu kwenye embassy yao, na hiyo ni diplomatically. kwingien kote kanisa hili limesajiliwa na hadhi sawa tu kama makanisa mengine na wanapomiliki humiliki kama NGOs zingine tu. isipokuwa, ujanja wao huwa wanafanya ni kwenda pembezoni mwa mji mapema kabisa wanawekak mission huko na baadaye mji huwa unawafuata ndio maana unaweza kuona kama wanamiliki maeneo makubwa, ni kwamba wanakuwa waliyapata mapema maeneo ambayo ninyi mlikuwa mnayadharau na kuyaona ni bush. wanajenga kanisa, shule n.k. mimi sio mkatoliki lakini kati ya makanisa yanayoleta maendeleo ya kweli wakatoliki ni namba moja. pamoja na kwamba hawajaokoka na hawatakuja kumwona Mungu hadi waache kuabudu sanamu na maria.
 
Kanisa lina Katoliki ni serikali kamili, Lina jeshi, Polisi, kitengo Cha Intelligence na mambo mengi ambayo yako kimwili zaidi kuliko kiroho.

Dini ni mwavuli tu wa watu kupumbaza ili watawalike kikirahisi.

Mama Samia Suluhu Hassan alifichua siri kubwa sana, kwamba wakiongea viongozi wa dini maneno yao huwekwa moyoni na waumini wao, na wanapo ongea wanasiasa wananchi huyaweka kichwani maneno ya wanasiasa, hivyo huyasahau kirahisi zaidi.
Kwa hiyo kanisa na Dini vinatumika kupumbaza watu ili serikali iweze kutawala kirahisi.

Na serikali zote duniani huwekwa na Vatican, ili kuufanya utawala wa kirumi uweze kutawala milele.

Mtu anaweza sema Korea Kaskazini mbona haiko chini ya Vatican? Unachokiona kwa macho yako Ni tofauti kabisa na kilichochongwa nyuma, ambacho ndio kina nguvu zaidi.

Vatican wanatumia akili kubwa Sana kughiribu dunia na kujificha ili watu waendelee kuishi gizani
 
Sio kweli kwamba ardhi ya katoliki huwa mali ya vatican. mali miliki ya vatican ni pale tu kwenye embassy yao, na hiyo ni diplomatically. kwingien kote kanisa hili limesajiliwa na hadhi sawa tu kama makanisa mengine na wanapomiliki humiliki kama NGOs zingine tu. isipokuwa, ujanja wao huwa wanafanya ni kwenda pembezoni mwa mji mapema kabisa wanawekak mission huko na baadaye mji huwa unawafuata ndio maana unaweza kuona kama wanamiliki maeneo makubwa, ni kwamba wanakuwa waliyapata mapema maeneo ambayo ninyi mlikuwa mnayadharau na kuyaona ni bush. wanajenga kanisa, shule n.k. mimi sio mkatoliki lakini kati ya makanisa yanayoleta maendeleo ya kweli wakatoliki ni namba moja. pamoja na kwamba hawajaokoka na hawatakuja kumwona Mungu hadi waache kuabudu sanamu na maria.
 
OMH - These are the 5 biggest landowners in the world
 
Hujamuelewa hilo andiko Kaka.
Sahihi kabisa mkuu. Mtoa mada hajaelewa hilo andiko. Biblia Takatifu siyo kama gazeti la Kiu kwamba kila unachokisoma kinabeba maana ambayo unaielewa kwa mara ya kwanza. Wakati flani tunahitaji Roho Mtakatifu atufunulie maana iliyokusudiwa.

Ukisoma Luka 19: kuanzia mstari wa 11 na kuendelea utagudua kwamba pamoja na kuutafuta Ufalme wa Mbinguni hapa duniani, bado tunapaswa kufanya kazi kwa bidii ili ikiwezekana tupate hizo mali (ikiwemo ardhi).

Halafu hayo maeneo kanisa likichukua hayaachwi kama yalivyo, yanajenga Mashule, vituo vya afya, Mahospitali n.k, ambavyo vinawahudumia watu wa Mungu.
 
Mleta mada kanisa ni taasisi, waliojenga Vatican pia wameshatangulia mbele za haki lakini bado Vatican ipo.

Ardhi wanayomiliki huiendeleza kwa miradi ya maendeleo kama kilimo, shule na hospital. Vatican Ina majengo katika miji yote mikubwa ya dunia na pango la majengo ndiyo inaifanya inatumika kujenga hospital na shule kwenye uhitaji.
 
Sio kweli kwamba ardhi ya katoliki huwa mali ya vatican. mali miliki ya vatican ni pale tu kwenye embassy yao, na hiyo ni diplomatically. kwingien kote kanisa hili limesajiliwa na hadhi sawa tu kama makanisa mengine na wanapomiliki humiliki kama NGOs zingine tu. isipokuwa, ujanja wao huwa wanafanya ni kwenda pembezoni mwa mji mapema kabisa wanawekak mission huko na baadaye mji huwa unawafuata ndio maana unaweza kuona kama wanamiliki maeneo makubwa, ni kwamba wanakuwa waliyapata mapema maeneo ambayo ninyi mlikuwa mnayadharau na kuyaona ni bush. wanajenga kanisa, shule n.k. mimi sio mkatoliki lakini kati ya makanisa yanayoleta maendeleo ya kweli wakatoliki ni namba moja. pamoja na kwamba hawajaokoka na hawatakuja kumwona Mungu hadi waache kuabudu sanamu na maria.
Wewe umeokokaje mkuu wakati bado haujafa? Unawezaje kuokoka hukumu kabla siku yako kuhukumiwa bado? Duniani inaitwa kuongoka sio kuokoka
 
Sio kweli kwamba ardhi ya katoliki huwa mali ya vatican. mali miliki ya vatican ni pale tu kwenye embassy yao, na hiyo ni diplomatically. kwingien kote kanisa hili limesajiliwa na hadhi sawa tu kama makanisa mengine na wanapomiliki humiliki kama NGOs zingine tu. isipokuwa, ujanja wao huwa wanafanya ni kwenda pembezoni mwa mji mapema kabisa wanawekak mission huko na baadaye mji huwa unawafuata ndio maana unaweza kuona kama wanamiliki maeneo makubwa, ni kwamba wanakuwa waliyapata mapema maeneo ambayo ninyi mlikuwa mnayadharau na kuyaona ni bush. wanajenga kanisa, shule n.k. mimi sio mkatoliki lakini kati ya makanisa yanayoleta maendeleo ya kweli wakatoliki ni namba moja. pamoja na kwamba hawajaokoka na hawatakuja kumwona Mungu hadi waache kuabudu sanamu na maria.
Ni kweli kabisa.
Na hili liwe funzo kwa wengine, Ardhi ufuatwa na kuiwekeza sio kuhodhi bila uendelezaji.
 
Nadhan lengo la toka mwanzo walitaka wawe na nchi yao katika kila nchi DUNIANI.

Mkanganyiko wa kiimani ukazalisha maelfu ya imani tofauti tofauti ndani ya ukristo
(WALOKOLE, K.K.K.T, kekundu, Gwaji, agape, E.A.GT, Protestants, wasabato, mwamposa, masanja n.k)

Wakatifuana tofuana na kupingana Sana,
Kila kitu kikawa vurugu vurugu, waumini na viongozi wakagawanyika.

Nguvu yao ikadhoofika sana,
MPAKA Sasa wamebaki kumiliki mapori kibao ya akiba.
Ila uundelezaji wake Ni sifuri.
 
Sahihi kabisa mkuu. Mtoa mada hajaelewa hilo andiko. Biblia Takatifu siyo kama gazeti la Kiu kwamba kila unachokisoma kinabeba maana ambayo unaielewa kwa mara ya kwanza. Wakati flani tunahitaji Roho Mtakatifu atufunulie maana iliyokusudiwa.

Ukisoma Luka 19: kuanzia mstari wa 11 na kuendelea utagudua kwamba pamoja na kuutafuta Ufalme wa Mbinguni hapa duniani, bado tunapaswa kufanya kazi kwa bidii ili ikiwezekana tupate hizo mali (ikiwemo ardhi).

Halafu hayo maeneo kanisa likichukua hayaachwi kama yalivyo, yanajenga Mashule, vituo vya afya, Mahospitali n.k, ambavyo vinawahudumia watu wa Mungu.
Kizuri zaidi,
Bei zenyewe za matibabu Kwenye HOSPITALI, Vituo vya afya na shule za KANISA KATOLIKI Ni sawa na BURE Kabisa.

Yaani zimekaa kizalendo Zaidi kwa ajili ya watu Wanyonge wa Mungu[emoji4]
 
Hujawahi kuona uzuri wa Kanisa Katoloki toka nasoma mabandiko yako. Siku zote unaliona Kanisa Katoliki kama Adui wa kufaulu kwako. Sasa ni hivi: Ardhi ni Mali aliyeiumba. Aliyeumba ni Mungu ambaye ni Nafsi tatu. Kanisa Katoliki ni la Yesu Kristu, Nafsi ya Pili ya Mungu aliyetwaa ubinadamu na kuja kukaa na wanadamu.

Kwa hiyo, Kanisa Katoliki hawajaiba chochote bali wanachukua au kupokea kila wanachopewa. Wanatumia kile walichopewa na Mwenye Mali ili kutimiza majukumu waliyopewa.
 
Kanisa lina Katoliki ni serikali kamili, Lina jeshi, Polisi, kitengo Cha Intelligence na mambo mengi ambayo yako kimwili zaidi kuliko kiroho.

Dini ni mwavuli tu wa watu kupumbaza ili watawalike kikirahisi.

Mama Samia Suluhu Hassan alifichua siri kubwa sana, kwamba wakiongea viongozi wa dini maneno yao huwekwa moyoni na waumini wao, na wanapo ongea wanasiasa wananchi huyaweka kichwani maneno ya wanasiasa, hivyo huyasahau kirahisi zaidi.
Kwa hiyo kanisa na Dini vinatumika kupumbaza watu ili serikali iweze kutawala kirahisi.

Na serikali zote duniani huwekwa na Vatican, ili kuufanya utawala wa kirumi uweze kutawala milele.

Mtu anaweza sema Korea Kaskazini mbona haiko chini ya Vatican? Unachokiona kwa macho yako Ni tofauti kabisa na kilichochongwa nyuma, ambacho ndio kina nguvu zaidi.

Vatican wanatumia akili kubwa Sana kughiribu dunia na kujificha ili watu waendelee kuishi gizani
Conspiracy at work
 
Back
Top Bottom