Ipi siri ya kanisa Katoliki kujimilikisha ardhi kubwa kwa jina la Vatican?

Ipi siri ya kanisa Katoliki kujimilikisha ardhi kubwa kwa jina la Vatican?

Nadhan lengo la toka mwanzo walitaka wawe na nchi yao katika kila nchi DUNIANI.

Mkanganyiko wa kiimani ukazalisha maelfu ya imani tofauti tofauti ndani ya ukristo
(WALOKOLE, K.K.K.T, kekundu, Gwaji, agape, E.A.GT, Protestants, wasabato, mwamposa, masanja n.k)

Wakatifuana tofuana na kupingana Sana,
Kila kitu kikawa vurugu vurugu, waumini na viongozi wakagawanyika.

Nguvu yao ikadhoofika sana,
MPAKA Sasa wamebaki kumiliki mapori kibao ya akiba.
Ila uundelezaji wake Ni sifuri.
MPAKA Sasa wamebaki kumiliki mapori kibao ya akiba.
Ila uundelezaji wake Ni sifuri.""


My reply:, labda kuna MAANA nyingine ya neno UENDELEZAJI unayoijua wewe tofauti NA wanayoijua wengine.

Ukisema kanisa katoliki LINAUENDELEZAJI SIFURI :, basi, makanisa na dini zingine hazijawahi kufanya chochote kabisa katika UENDELEZAJI.
 
Mleta mada kanisa ni taasisi, waliojenga Vatican pia wameshatangulia mbele za haki lakini bado Vatican ipo.

Ardhi wanayomiliki huiendeleza kwa miradi ya maendeleo kama kilimo, shule na hospital. Vatican Ina majengo katika miji yote mikubwa ya dunia na pango la majengo ndiyo inaifanya inatumika kujenga hospital na shule kwenye uhitaji.
Heka zaidi ya mia mbili kijijini, unajenga shule gani?
 
Hao jamaa ukiona wamechukua ardhi kubwa jua hiyo ardhi ina madini au mali kale walizoacha wajerumani wa zamani. Yaani wako afta mali/money dini ni geresha tu!.
 
pamoja na kwamba hawajaokoka na hawatakuja kumwona Mungu hadi waache kuabudu sanamu na maria.

Mpishi wa chai ya Mungu naona umemaliza barrbara kabisa,yeah mkuu kaza wewe pepo yako kabisa nakuona ukiuingia ule mlango.
 
Sio kweli kwamba ardhi ya katoliki huwa mali ya vatican. mali miliki ya vatican ni pale tu kwenye embassy yao, na hiyo ni diplomatically. kwingien kote kanisa hili limesajiliwa na hadhi sawa tu kama makanisa mengine na wanapomiliki humiliki kama NGOs zingine tu. isipokuwa, ujanja wao huwa wanafanya ni kwenda pembezoni mwa mji mapema kabisa wanawekak mission huko na baadaye mji huwa unawafuata ndio maana unaweza kuona kama wanamiliki maeneo makubwa, ni kwamba wanakuwa waliyapata mapema maeneo ambayo ninyi mlikuwa mnayadharau na kuyaona ni bush. wanajenga kanisa, shule n.k. mimi sio mkatoliki lakini kati ya makanisa yanayoleta maendeleo ya kweli wakatoliki ni namba moja. pamoja na kwamba hawajaokoka na hawatakuja kumwona Mungu hadi waache kuabudu sanamu na maria.

Kwanini unafikiri wakatoliki hawatamuona Mwenyezi Mungu???😂😂😂😂😂
 
Sio kweli kwamba ardhi ya katoliki huwa mali ya vatican. mali miliki ya vatican ni pale tu kwenye embassy yao, na hiyo ni diplomatically. kwingien kote kanisa hili limesajiliwa na hadhi sawa tu kama makanisa mengine na wanapomiliki humiliki kama NGOs zingine tu. isipokuwa, ujanja wao huwa wanafanya ni kwenda pembezoni mwa mji mapema kabisa wanawekak mission huko na baadaye mji huwa unawafuata ndio maana unaweza kuona kama wanamiliki maeneo makubwa, ni kwamba wanakuwa waliyapata mapema maeneo ambayo ninyi mlikuwa mnayadharau na kuyaona ni bush. wanajenga kanisa, shule n.k. mimi sio mkatoliki lakini kati ya makanisa yanayoleta maendeleo ya kweli wakatoliki ni namba moja. pamoja na kwamba hawajaokoka na hawatakuja kumwona Mungu hadi waache kuabudu sanamu na maria.
Research | Fitzgerald Institute for Real Estate | University of Notre Dame... Church owns roughly,land owner in the world.
 
Kanisa Katoliki kwa miaka nenda rudi wamekuwa na utamaduni wa kujilimbikizia maeneo makubwa ya ardhi nchi mbalimbali, na ardhi hiyo huwa inasauiliwa Vatican kama milki yao halali.

Kanisa limekuwa likifundisha kwamba tusijiwekee akiba duniani, lakini lenyewe ndio kinara wa kujilimbikizia ardhi.

Mathayo 6:19-20​

“Msijiwekee hazina hapa duniani ambako nondo na kutu huharibu, na wezi huingia na kuiba. Jiwekeeni hazina mbinguni ambako nondo na kutu hawawezi kuiharibu, wala wezi hawaingii wakaiba."

Haya mafundisho naona yanakinzana na kile ambacho kanisa linakifanya. Sasa ningependa kujua nini dhamira ya kanisa kumiliki haya maeneo makubwa? Kijijini ni mfano tu, kanisa linamiliki zaidi ya heka mia mbili, za nini zote hizi kama sio ulafi tu na ubinafsi?

Hebu tujulishane nyuma ya mpango huu kuna nini kilichojificha?

Kwanini ardhi isajiliwe kama ni mali ya Serikali ya Vatican?
Kuna uhusiano wa nchi tawaliwa na kanisa katoliki na umasikini uliotopea kwa raia wake..,.hutumia mwamvuli wa dini kuwakandamiza watu.....katoliki ipo sana Africa na latin America....huko ndio kwenye masikini wenyewe sasa.
Europe katoliki ipo Italy sana tena wengi ni non believer.......ushawahi ona mission ya katoliki ipo U.S.A,U.k,china,Japan ama nchi za kiarabu?[emoji16][emoji16]
 
Kanisa lina Katoliki ni serikali kamili, Lina jeshi, Polisi, kitengo Cha Intelligence na mambo mengi ambayo yako kimwili zaidi kuliko kiroho.

Dini ni mwavuli tu wa watu kupumbaza ili watawalike kikirahisi.

Mama Samia Suluhu Hassan alifichua siri kubwa sana, kwamba wakiongea viongozi wa dini maneno yao huwekwa moyoni na waumini wao, na wanapo ongea wanasiasa wananchi huyaweka kichwani maneno ya wanasiasa, hivyo huyasahau kirahisi zaidi.
Kwa hiyo kanisa na Dini vinatumika kupumbaza watu ili serikali iweze kutawala kirahisi.

Na serikali zote duniani huwekwa na Vatican, ili kuufanya utawala wa kirumi uweze kutawala milele.

Mtu anaweza sema Korea Kaskazini mbona haiko chini ya Vatican? Unachokiona kwa macho yako Ni tofauti kabisa na kilichochongwa nyuma, ambacho ndio kina nguvu zaidi.

Vatican wanatumia akili kubwa Sana kughiribu dunia na kujificha ili watu waendelee kuishi gizani
Sio kweli. Take time to understand Catholism well. Kitu cha muhimu ambacho wengi tunasahau ni kuwa kanisa limeweza kuji re invent for decades. Ndio maana lipo mpaka leo. Limepitia misukosuko mikubwa sana ambayo ingeweza kabisa kulimaliza.
Unajua kuna wakati ndio lilikuwa linaongoza dunia...linaweka kings na kuweka sheria. Democrasy took all that away from them. And especially French Revolution, came up with a different operational model, which could succumb the church. Ila wapi bwana. Kina Napoleon waliteka mpaka Vatican. Ila mpaka leo kanisa lipo. Na utajiri wake umeanza toka enzi zile wanachangia kodi, gold na kadhalika.
Take time to understand catholism
 
Kuna uhusiano wa nchi tawaliwa na kanisa katoliki na umasikini uliotopea kwa raia wake..,.hutumia mwamvuli wa dini kuwakandamiza watu.....katoliki ipo sana Africa na latin America....huko ndio kwenye masikini wenyewe sasa.
Europe katoliki ipo Italy sana tena wengi ni non believer.......ushawahi ona mission ya katoliki ipo U.S.A,U.k,china,Japan ama nchi za kiarabu?[emoji16][emoji16]

Aisee!!!
 
Sio kweli. Take time to understand Catholism well. Kitu cha muhimu ambacho wengi tunasahau ni kuwa kanisa limeweza kuji re invent for decades. Ndio maana lipo mpaka leo. Limepitia misukosuko mikubwa sana ambayo ingeweza kabisa kulimaliza.
Unajua kuna wakati ndio lilikuwa linaongoza dunia...linaweka kings na kuweka sheria. Democrasy took all that away from them. And especially French Revolution, came up with a different operational model, which could succumb the church. Ila wapi bwana. Kina Napoleon waliteka mpaka Vatican. Ila mpaka leo kanisa lipo. Na utajiri wake umeanza toka enzi zile wanachangia kodi, gold na kadhalika.
Take time to understand catholism
Huo mfumo una faida gani kwa nchi masikini zilizokumbatia ukatoliki kama D.R.C,Mozambique na Latin America countries?[emoji16][emoji16].....
 
Huo mfumo una faida gani kwa nchi masikini zilizokumbatia ukatoliki kama D.R.C,Mozambique na Latin America countries?[emoji16][emoji16].....
Afrika dini imekuja baadae sana. Bahati mbaya waafrika hatujaweza kujikomboa kifikra. Dini inaongoza maisha ya kiroho. Ila maisha ya kimwili yapo na yana namna yake ya kuishi. Tukiweza kuunganisha haya mambo yote yakawa na msukumo chanya, tutafanikiwa. Shida yetu ni kutumia dini kuendeleza uvivu wa kutenda na kufikiri. Tunataka miujiza.
Ndio maana sio DRC na Mozambique tu, bali Africa nzima tuna matatizo makubwa. labda kidogo Tunisia, Moroco na Egypt.
 
Afrika dini imekuja baadae sana. Bahati mbaya waafrika hatujaweza kujikomboa kifikra. Dini inaongoza maisha ya kiroho. Ila maisha ya kimwili yapo na yana namna yake ya kuishi. Tukiweza kuunganisha haya mambo yote yakawa na msukumo chanya, tutafanikiwa. Shida yetu ni kutumia dini kuendeleza uvivu wa kutenda na kufikiri. Tunataka miujiza.
Ndio maana sio DRC na Mozambique tu, bali Africa nzima tuna matatizo makubwa. labda kidogo Tunisia, Moroco na Egypt.
Shida ni dini......kuna uhusiano wa nchi zilizotawaliwa na wakatoliki na umasikini uliotopea......hizi nchi ulizotaja ni nchi za kiarabu,ambazo zinapinga sana na hazitaki sera za ukatoliki.
 
Shida ni dini......kuna uhusiano wa nchi zilizotawaliwa na wakatoliki na umasikini uliotopea......hizi nchi ulizotaja ni nchi za kiarabu,ambazo zinapinga sana na hazitaki sera za ukatoliki.
Haaahaaa...kwahiyo Chad is much better than DRC? Kwahiyo Mali is much better than DRC? Kwahiyo Sudan is much better than DRC?
Anyway, hayo ni maoni yako. Ila waafrika tunafanana sababu ya kufikiria kidogo sana. Mozambique, waislamu wako wangapi? DRC waislamu wako wangapi? Congo Brazaville waislamu wako wangapi?
 
Haaahaaa...kwahiyo Chad is much better than DRC? Kwahiyo Mali is much better than DRC? Kwahiyo Sudan is much better than DRC?
Anyway, hayo ni maoni yako. Ila waafrika tunafanana sababu ya kufikiria kidogo sana. Mozambique, waislamu wako wangapi? DRC waislamu wako wangapi? Congo Brazaville waislamu wako wangapi?
Hilo mbona linajulikana,na wala si mawazo yangu,hii ni fact kabisa............
Ona hapo nchi ya kwanza hadi ya sita Afrixa zinazoongoza kwa umasikini ni Catholic empire
Screenshot_20210617-130533.jpg
 
Hilo mbona linajulikana,na wala si mawazo yangu,hii ni fact kabisa............
Ona hapo nchi ya kwanza hadi ya sita Afrixa zinazoongoza kwa umasikini ni Catholic empire View attachment 1821563
Burundi, Mozambique, DRC, Congo Brazaville, Afghanstan...hawa hawana waislamu eeh? Anyway, mimi ninavyojua kutafuta excuse ni kujifariji nafsi ila sio dawa ya tatizo.
Na Tanzania je? Kenya? Rwanda? Hii mada unavyoiweka inaonyesha tatizo lile lile linalotusumbua...ufinyu wetu wa fikra. Na kufikiri dawa ni kubadilisha wananchi wote tuwe dini moja ya kiislamu.
Hilo halitakaa kutokea. Maendeleo tuamue tuyatafute kwa nguvu kama raia. Tukianza kuendekeza inferiority complexes zetu, tutakuwa tunajidanganya nafsi.
By the way, hizi dini zipo toka karne na karne na wamepigana vita kama vyote na hakuwahi kutokea mshindi. Unafikiri ni kwanini? Fanya kazi ndio msingi wa maendeleo. Muabudu mwenyezi Mungu ndio chanzo cha hekima na maarifa. Nyingine hizi hadithi ambazo hazina mbele wala nyuma
 
hizi dini zimeletwa na mzungu na mwarabu kwa hapa huwezi kupata ukweli halisia kila mmoja anaona imani yake ndio sahihi. la msingi tuendelee kuvumiliana tu mradi maisha yanasonga.
 
Burundi, Mozambique, DRC, Congo Brazaville, Afghanstan...hawa hawana waislamu eeh? Anyway, mimi ninavyojua kutafuta excuse ni kujifariji nafsi ila sio dawa ya tatizo.
Na Tanzania je? Kenya? Rwanda? Hii mada unavyoiweka inaonyesha tatizo lile lile linalotusumbua...ufinyu wetu wa fikra. Na kufikiri dawa ni kubadilisha wananchi wote tuwe dini moja ya kiislamu.
Hilo halitakaa kutokea. Maendeleo tuamue tuyatafute kwa nguvu kama raia. Tukianza kuendekeza inferiority complexes zetu, tutakuwa tunajidanganya nafsi.
By the way, hizi dini zipo toka karne na karne na wamepigana vita kama vyote na hakuwahi kutokea mshindi. Unafikiri ni kwanini? Fanya kazi ndio msingi wa maendeleo. Muabudu mwenyezi Mungu ndio chanzo cha hekima na maarifa. Nyingine hizi hadithi ambazo hazina mbele wala nyuma
Weka data.......70% ya nchi masikini duniani ni Catholic in origin.....tubishane kwa data,maneno mengi bila document ni ujinga
Screenshot_20210617-130533.jpg
 
Back
Top Bottom