Kanisa Katoliki kwa miaka nenda rudi wamekuwa na utamaduni wa kujilimbikizia maeneo makubwa ya ardhi nchi mbalimbali, na ardhi hiyo huwa inasauiliwa Vatican kama milki yao halali.
Kanisa limekuwa likifundisha kwamba tusijiwekee akiba duniani, lakini lenyewe ndio kinara wa kujilimbikizia ardhi.
Mathayo 6:19-20
“Msijiwekee hazina hapa duniani ambako nondo na kutu huharibu, na wezi huingia na kuiba. Jiwekeeni hazina mbinguni ambako nondo na kutu hawawezi kuiharibu, wala wezi hawaingii wakaiba."
Haya mafundisho naona yanakinzana na kile ambacho kanisa linakifanya. Sasa ningependa kujua nini dhamira ya kanisa kumiliki haya maeneo makubwa? Kijijini ni mfano tu, kanisa linamiliki zaidi ya heka mia mbili, za nini zote hizi kama sio ulafi tu na ubinafsi?
Hebu tujulishane nyuma ya mpango huu kuna nini kilichojificha?
Kwanini ardhi isajiliwe kama ni mali ya Serikali ya Vatican?
Fedha na dhahabu ni mali ya Bwana, Bwana ndiye aliyezitandaza mbingu na ardhi.
1.Nehemiah 9:6
Verse Concepts
“You alone are the Lord.
You have made the heavens,
The heaven of heavens with all their host,
The earth and all that is on it,
The seas and all that is in them.
You give life to all of them
And the heavenly host bows down before You
2.
Psalm 8:3-8
When I consider Your heavens, the work of Your fingers,
The moon and the stars, which You have ordained;
What is man that You take thought of him,
And the son of man that You care for him?
Yet You have made him a little lower than God,
And You crown him with glory and majesty!
You make him to rule over the works of Your hands;
You have put all things under his feet,
All sheep and oxen,
And also the beasts of the field,
The birds of the heavens and the fish of the sea,
Whatever passes through the paths of the seas.
3.
Isaiah 42:5
Verse Concepts
Thus says God the Lord,
Who created the heavens and stretched them out,
Who spread out the earth and its offspring,
Who gives breath to the people on it
And spirit to those who walk in it,