Ipi siri ya kanisa Katoliki kujimilikisha ardhi kubwa kwa jina la Vatican?

Hongera kwa kuwa umekwishaokoka hapa duniani na hauna dhambi, hivyo utamwona Mungu!
ukiokoka sio kwamba hautakuwa na dhambi, maana yake umeingia mkataba na Mungu wa kumfuata kwa njia ya Yesu Kristo, ili nguvu za Mungu zikusaidie kushida dhambi na ukitenda dhambi bado unakuwa na mwombezi kwa Baba Yesu Kristo anayesimama kama wakili wetu. tunampokea wakili/advocate wetu kutuombea kwa Baba ambaye bila huyo hautamwona Mungu. wasiookoka hawana advocate hivyo wapo chini ya laaana na mauti kwasababu hawajampokea mkombozi wa maisha yao katika mioyo yao. hio ndio maana ya kuokoka. tunaposema muiokoke ni kwamba mumkiri Yesu Kristo kuwa Bwana na mwokozi, na muamini mioyoni mwenu kwamba Mungu alimfufua katika wafu na kwamba yeye pekee ndiye njia kweli na uzima wa milele. baada ya hapo mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu ambaye ndiye Mungu huyohuyo mwenyewe, ili akikaa ndani yenu muishi maisha ya kiroho ya kuongozwa naye.

maandiko yanasema "awaye yote asiyekuwa na huyo Roho wa Kristo, huyo sio wake", maana yake kama huna Roho Mtakatifu wewe sio mali ya Mungu, ni mali ya Shetani. na tunajua kama tunaye Roho pale tutakapomwona anajidhihirisha maishani mwetu physically, na ishara mojawapo ni kunena kwa lugha mpya au lugha ya malaika, pale anapokuwa anakusaidia kuomba kwasababu kwa akili zetu hatuwezi kuomba ipasavyo, ila Roho mwenyewe hulia kwa kuugua ndani yetu akisema "aba" yaani Baba, na huweza kupresent mambo ambayo kwa akili yetu tusingeweza. nyote mnaoomba kwa akili siku zote huomba kwa kufuata tamaa zenu za mwili tu, magari, nyumba, mke watoto n.k, wakati Roho anajua mnahitaji zaidi ya hivyo. Mungu akusaidie.
 
Akisoma shule au akienda hospitali za kanisa hasemi chohote
 
Sababu ni rahisi kuwa kanisa hili ndilo lililowezesha ukoloni kutamalaki duniani. Hivyo, wakoloni waliolitumia waliona ni vizuri kulizawadia ardhi ili liendelee na ukabaila wake wa kimfumo kama kawa. Kanisa nalo ni taasisi ya kikoloni ambayo wengi walishindwa kuistukia kwa hasara yao.
 
Sidhani kama tafsiri ya hayo maneno yapo direct hivyo
 
Mtu mzima unataka mwanaume akutafunie data wakati unaziona?[emoji38][emoji38],huamini kua palipo Catholics umasikini unanukia kwa kasi ya ajabu......maaana wao wapo kuchuma mali
True
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…