Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui kwanini wanazi na vijana wa chama chake wamemnunia na wanamsimnga kila konaOgopa sana kuwa na Rais ambaye hata wapinzani kama CHADEMA na ACT wanamsifia kila kukicha kwenye mitandao.
Rais anayesifiwa na kupongezwa na "wapinzani" ni Rais asiyejua majukumu yake.
Mfano, akitokea Rais Marekani akiwa ni kutoka Republican halafu Democrats wakawa wanamsifia kila siku na kumpongeza basi huo utakuwa ndiyo mwisho au kifo cha siasa Marekani.
Hilo linatokea Tanzania, siasa ndiyo zinakufa sasa. Wapinzani wote wana mahaba na mama.
Jibu ni dogo sana :Sijui kwanini wanazi na vijana wa chama chake wamemnunia na wanamsimnga kila kona
Sijakwelewa kijana...ww unamuonaje mama,acha kusemea watu mawazo yao mana huyajuiJibu ni dogo sana :
"hajui kazi aliyopewa".
Mama Anakin's ndoa za watu. Wanawake siku hizi viburi saana.. kisa wanaongoza nchiMama katimiza siku 100 madarakani baada ya kifo cha Magufuli
Ukiachana na kicheko kwa wafanyakazi weka tathmini yako ya haki hapa
Weka projection yako na ushauri wako kwake. Anatusoma a ametuasa tusikosoe tu na kujibishana mitandaoni bali tushauri kwa weledi na tutoe ushauri wa kujenga
- Alikopatia
- Alikokosea
- Alikochapia
- Alikozembea
- Alikokurupuka
Waliofungwa kisiasa sasa wanafidiwa fine walizolipishwaNdani ya muda mfupi wa utawala wa Mama yetu kipenzi SSH tumeshuhudia yafuatayo;
Mama SSH ni chaguo la Mungu, huyu ni 'Easter' ktk Biblia takatifu.
- Ushetani unatoweka
- Uonevu, uharamia na ujambazi wa kisiasa unakosa nguvu.
- Demokrasia inaanza kutamalaki.
- Ukabila na ukanda unakwenda kupungua.
- Sifa, majigambo, umimi umetoweka
- Ubinafsi nao unakosa nguvu
- Kupotea na kuuawa nako kunakuwa historia.
Umeongea vizuri sanaKwangu naweza kusema huyu Mama ndio Mama wa Taifa haswa.
Nchi ipo shwari kabisa kwa sasa!
Hata CCM tunajivunia Kwa kweli.
Nachomshauri awatafutie watu ajira wamechoka sana mtaani. Anaweza kuanzia zile pdf za Bwana yule naona zina logic ukitulia. Atakuwa ameweka historia moja tamu sana.
Mungu na aendelee kumbariki zaidi na zaidi.