Ipi tofauti kati ya Paulina Gekul na Salaah wa Silent Ocean?

Ipi tofauti kati ya Paulina Gekul na Salaah wa Silent Ocean?

Acha kujitoa fahamu ww! Kwa Salah wale madogo wenyewe walikiri na walisema kbs hela wamepeleka wapi lakn la gekul unafanya ukatili kisa unahis kijana anachota mchanga ili upelekwe kwa mganga? Unahisi anaweka sumu? Pro mwendakuzimu fanyeni kuupdate hzo software zenu kichwani
 
Salah analinda maslahi ya wenye madaraka, ikimaanisha kwenye makampuni yake kuna shares za kutosha za wenye mamlaka. Kumuadhibisha Salah ni kutia dosari maslahi yao.

Paulina ni mganga njaa alieweza kupata vijipesa kupitia siasa na akahisi na yeye ni mmoja ya wanakikundi cha CCM hivyo kuhisi serikali ipo mikononi mwake.

Ila kifupi Salaah na Paulina wote majangili tu.
 
Acha kujitoa fahamu ww! Kwa Salah wale madogo wenyewe walikiri na walisema kbs hela wamepeleka wapi lakn la gekul unafanya ukatili kisa unahis kijana anachota mchanga ili upelekwe kwa mganga? Unahisi anaweka sumu? Pro mwendakuzimu fanyeni kuupdate hzo software zenu kichwani
Salaah aliapishwa lini kuwa hakimu wa mahakama?
 
Salah analinda maslahi ya wenyewe madaraka, ikimaanisha kwenye makampuni yake kuna shares za kutosha za wenyewe mamlaka. Kumuadhibisha Salah ni kutia dosari maslahi yao.

Paulina ni mganga njaa alieweza kupata vijipesa kupitia siasa na akahisi na yeye ni mmoja ya wanakikundi cha CCM hivyo kuhisi serikali ipo mikononi mwake.

Ila kifupi Salaah na Paulina wote majangili tu.
Wacha tushike hapa, maana siku 2 hizi sina kazi ya kufanya, wacha tunyimane usingizi tu, hakuna namna
 
Saalah anamiliki hela, na kodi inawezekana analipa nyingi sana, ametoa ajira kwa wabongo wengi sana, anatulete mizigo yetu kutoka china sisi wazee wa kariakoo na kodi tunalipa kiduchu sana, amesababisha maisha yetu yamekuwa rahisi hatuendi china tena..

Huyu Gekul, ni kada tu wa CCM ambaye hana msaada wowote ule na inawezekana anatia hasara tu watanzania na kuwepo kwake hapo inawezekana pia kukawa na mushkeli..

Salaah ni mafia wa kimataifa.

Lamsingi ni NCHI INAPASWA KUENDESHWA KWA MISINGI NA SHERIA HUKU WATU WAKIHESHIMIANA.
 
Saalah anamiliki hela, na kodi inawezekana analipa nyingi sana, ametoa ajira kwa wabongo wengi sana, anatulete mizigo yetu kutoka china sisi wazee wa kariakoo na kodi tunalipa kiduchu sana, amesababisha maisha yetu yamekuwa rahisi hatuendi china tena..

Huyu Gekul, ni kada tu wa CCM ambaye hana msaada wowote ule na inawezekana anatia hasara tu watanzania na kuwepo kwake hapo inawezekana pia kukawa na mushkeli..

Salaah ni mafia wa kimataifa.

Lamsingi ni NCHI INAPASWA KUENDESHWA KWA MISINGI NA SHERIA HUKU WATU WAKIHESHIMIANA.
Katiba ndio inasema anaeingizia watu mizigo abinye watu makende kwa pliers? Katiba ya lini hiyo?
 
Vipi kuhusu ‘Innocent until proben guilty in a court of law’? , Serikali imeruhusu na kubariki ‘extra Judicial’ torture?

If so then, Why ‘Gekul’ akamatwe kwa kumuingiza chupa makalioni mtu ambaye yeye anaamini alitaka kumuua kwa sumu?
Kukamtwa Sio ishu mbona sabaya ,kigwangala,walikamatwa
 
- Wote walijichukulia sheria mkononi kwa wale waliowatuhumu kuwafanyia makosa katika biashara zao. Salaah aliteka vijana wawili, Eliud na mwenzake, na kuwapa mateso makali sana hadi wataje walipopeleka pesa zake. Hakuna hatua aliyochukuliwa, hata tamko tu la polisi, hakuna.
Tamko la polisi lipo humu ngoja nitafute link ila wanasema hawakamati mtu maarufu wala tajiri
 
Paulina Gekul, alifanya ukatili wa kumuingizia Chupa kijana Ally Hashim kwa tuhuma za kutaka kumuwekea sumu. Amekamatwa tayari.

Nini tofauti kuu ya hawa wawili, kiasi mmoja anashughulikiwa na mwingine hata kutajwa tu na vyombo vya dola hakutajwa?
Tofauti ni kwamba mmoja ni Gabachori na mwingine ni Mzawa
 
- Paulina Gekul na Salaah wa Silent ocean wote ni watu wenye nguvu na ushawishi katika jamii kwa kadiri ya kada zao za kimajukumu.

- Wote ni wana CCM kindaki ndaki

- Wote walijichukulia sheria mkononi kwa wale waliowatuhumu kuwafanyia makosa katika biashara zao. Salaah aliteka vijana wawili, Eliud na mwenzake, na kuwapa mateso makali sana hadi wataje walipopeleka pesa zake. Hakuna hatua aliyochukuliwa, hata tamko tu la polisi, hakuna.

Paulina Gekul, alifanya ukatili wa kumuingizia Chupa kijana Ally Hashim kwa tuhuma za kutaka kumuwekea sumu. Amekamatwa tayari.

Nini tofauti kuu ya hawa wawili, kiasi mmoja anashughulikiwa na mwingine hata kutajwa tu na vyombo vya dola hakutajwa?

Sasa kama mjuavyo, jinai haina expiry date. Sitaki kuingiza udini, na sina nia hiyo. Serikali haipaswi kuwa na double standards, wahalifu wote dhidi ya ubinadamu washughulikiwe. Jinai haina expiry date, nimerudia.

1.) Salaah: Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72
Labda mmoja ni kafiri mwingine ni muisiharamu
 
Back
Top Bottom