Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Ndio maana tunazo mahakama, na ndio maana Gekul ameshikwa. Swali ni je, Salaah anatofauti gani na Gekul? Au yeye ni hakimu na anaruhusiwa kugawa hukumu za kutesa na kubinya watu kwa pliers?Sumu ni hearsay.
Ndio, kwani nani kabisha, ni halali yake kukamtwa. Hapa tunaongelea double standards.Gekul alitakiwa kuwapeleka Polisi basi. Sio kuwakamata na kuwafungia huku akiwatesa.
Salaah aliapishwa lini kuwa hakimu wa mahakama?Acha kujitoa fahamu ww! Kwa Salah wale madogo wenyewe walikiri na walisema kbs hela wamepeleka wapi lakn la gekul unafanya ukatili kisa unahis kijana anachota mchanga ili upelekwe kwa mganga? Unahisi anaweka sumu? Pro mwendakuzimu fanyeni kuupdate hzo software zenu kichwani
Salaah hapaswi kufuata sheria , sio?Amekamatwa maana yeye ni Naibu Waziri wa Katiba na Sheria alitakiwa kuwa mfano. Alitakiwa kufuata Sheria maana yeye ndiye Naibu Waziri wake.
Raia wanaruhusiwa kuminya watu makende na kuwatesa wakiwa mateka? Kwa katiba ipi hiyo?Ukiwa Waziri unakuwa responsible ndugu yangu. Huwezi kuwa weka Raia na Waziri kundi moja.
Wacha tushike hapa, maana siku 2 hizi sina kazi ya kufanya, wacha tunyimane usingizi tu, hakuna namnaSalah analinda maslahi ya wenyewe madaraka, ikimaanisha kwenye makampuni yake kuna shares za kutosha za wenyewe mamlaka. Kumuadhibisha Salah ni kutia dosari maslahi yao.
Paulina ni mganga njaa alieweza kupata vijipesa kupitia siasa na akahisi na yeye ni mmoja ya wanakikundi cha CCM hivyo kuhisi serikali ipo mikononi mwake.
Ila kifupi Salaah na Paulina wote majangili tu.
Katiba ndio inasema anaeingizia watu mizigo abinye watu makende kwa pliers? Katiba ya lini hiyo?Saalah anamiliki hela, na kodi inawezekana analipa nyingi sana, ametoa ajira kwa wabongo wengi sana, anatulete mizigo yetu kutoka china sisi wazee wa kariakoo na kodi tunalipa kiduchu sana, amesababisha maisha yetu yamekuwa rahisi hatuendi china tena..
Huyu Gekul, ni kada tu wa CCM ambaye hana msaada wowote ule na inawezekana anatia hasara tu watanzania na kuwepo kwake hapo inawezekana pia kukawa na mushkeli..
Salaah ni mafia wa kimataifa.
Lamsingi ni NCHI INAPASWA KUENDESHWA KWA MISINGI NA SHERIA HUKU WATU WAKIHESHIMIANA.
Kukamtwa Sio ishu mbona sabaya ,kigwangala,walikamatwaVipi kuhusu ‘Innocent until proben guilty in a court of law’? , Serikali imeruhusu na kubariki ‘extra Judicial’ torture?
If so then, Why ‘Gekul’ akamatwe kwa kumuingiza chupa makalioni mtu ambaye yeye anaamini alitaka kumuua kwa sumu?
Sawa ila angalau inatuma meseji flani kwa wengine, ila mtu hata kutajwa tu na polisi hajatajwaKukamtwa Sio ishu mbona sabaya ,kigwangala,walikamatwa
Tamko la polisi lipo humu ngoja nitafute link ila wanasema hawakamati mtu maarufu wala tajiri- Wote walijichukulia sheria mkononi kwa wale waliowatuhumu kuwafanyia makosa katika biashara zao. Salaah aliteka vijana wawili, Eliud na mwenzake, na kuwapa mateso makali sana hadi wataje walipopeleka pesa zake. Hakuna hatua aliyochukuliwa, hata tamko tu la polisi, hakuna.
Tofauti ni kwamba mmoja ni Gabachori na mwingine ni MzawaPaulina Gekul, alifanya ukatili wa kumuingizia Chupa kijana Ally Hashim kwa tuhuma za kutaka kumuwekea sumu. Amekamatwa tayari.
Nini tofauti kuu ya hawa wawili, kiasi mmoja anashughulikiwa na mwingine hata kutajwa tu na vyombo vya dola hakutajwa?
Labda mmoja ni kafiri mwingine ni muisiharamu- Paulina Gekul na Salaah wa Silent ocean wote ni watu wenye nguvu na ushawishi katika jamii kwa kadiri ya kada zao za kimajukumu.
- Wote ni wana CCM kindaki ndaki
- Wote walijichukulia sheria mkononi kwa wale waliowatuhumu kuwafanyia makosa katika biashara zao. Salaah aliteka vijana wawili, Eliud na mwenzake, na kuwapa mateso makali sana hadi wataje walipopeleka pesa zake. Hakuna hatua aliyochukuliwa, hata tamko tu la polisi, hakuna.
Paulina Gekul, alifanya ukatili wa kumuingizia Chupa kijana Ally Hashim kwa tuhuma za kutaka kumuwekea sumu. Amekamatwa tayari.
Nini tofauti kuu ya hawa wawili, kiasi mmoja anashughulikiwa na mwingine hata kutajwa tu na vyombo vya dola hakutajwa?
Sasa kama mjuavyo, jinai haina expiry date. Sitaki kuingiza udini, na sina nia hiyo. Serikali haipaswi kuwa na double standards, wahalifu wote dhidi ya ubinadamu washughulikiwe. Jinai haina expiry date, nimerudia.
1.) Salaah: Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72
Kwamba kuna suala la udini katika kushughulikia magaidi?Labda mmoja ni kafiri mwingine ni muisiharamu
Mcheki polepole anavyo pelekeshwa ila wapo waisiharamu wakisema awaguswi ..mcheki ndugaiKwamba kuna suala la udini katika kushughulikia magaidi?