Ipi top 3 yako ya nyama tamu?

Hapo kwenye kuku tupo pamoja
Namba 2 ni kitimoto then cow

Ila nyie kuku ni mtamu asee
Kuku hawalingani ladha.
Ukitaka kustaajabia ladha ya nyama tamu ya kuku, kula broiller aliyekomaa wa miezi 6 ama 8.
Nilikuwaga mbishi kwa kuwa mlaji wa broiller pre mature za mwezi mmoja mmoja ambao test yao haisomeki sawa sawa mdomoni.

Sasa nilipoletewa "gift" ya broiller aliyepea, mkubwa nyama yake kg4, kuja kumla, dah!
 
Ngiri wa kukausha, sungura mwitu na digidigi.
Nyama zao ni tamu sana na ni laini kutafuna.
 
Kitimoto roast
Kitimoto roast
Mbuzi choma
 
1. Samaki sato wa limao asiungwe

2. Kondoo vyovyote vile

3. Kitimoto we acha tu

4. Kuku anasa
 
Kuna watu hawajala nyama pori
1)Kware
2)Digidigi
3)Ndo huyu kuku wenu anafuata
 
Kitimoto imepita bila kupingwa. Mungu anatupenda Sana kutupa mnyama mtamu.
 
Sijaona watu wakiandika ile aliyosema Hayati Mwl. J. K. Nyerere kuwa ukiila huwezi kuiacha
 
Kwenye kiboko umeleta stori za kusadikika usitudanganye kama hvo ww kiboko mkubwa ana kilo 800 mpka tani moja sasa vitongoji 10 na zaidi kijiji kina watu wa ngapi na walipata kilo ngapi ngapi.

Ikumbukwe kuwa wanaopigana na kufukuzana kwenye eneo ni madume wanaokua kugombania sehemu ya kupanda majike sasa huyo dume kwa makadirio anakuwa na kg800 wale waliokomaa kabisa ndo wanasogea mpka 1tn hebu weka stor yako sawa isje ikawa chai ya maziwa mgando

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…