Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Kuku hawalingani ladha.Hapo kwenye kuku tupo pamoja
Namba 2 ni kitimoto then cow
Ila nyie kuku ni mtamu asee
Ngiri wa kukausha, sungura mwitu na digidigi.Salam!
Wale wazee wa misosi ipi top 3 yako ya nyama tamu. Ya kwangu hii hapa:
1. Kuku
Asee huyu ndege hadi leo binafsi naona nyama yake haina mpinzani yani hana mbadala yani nyama iwe mchemsho rosti choma au ya kukaanga nitamu zote nadhani sote tunafahamu jinsi supu ya kuku ilivyo tamu
2. Ng'ombe
Akitoka kuku anafata ng'ombe huyu myama nae yupo vizuri lakini huyu utamu wa nyama yake una depend na maufundi ya mpishi. laini na yeye nyama yake iwe mchemsho rosti choma au ya kukaanga nitamu zote
3 Kitimoto
kwangu huyu namba yake inashika namba 3 kwasababu tu nyama yake inanoga tu kwa rosti na kukaanga lakini mchemsho wake hahaha hapana asee
hiyo ndo top 3 yangu ya nyama tamu Je, ya kwako ni ipi?
NB: Kuku anautamu wa asili tu yeye haitaji ata ufundi wa mpishi.
Wagala wanapenda sana Kitimoto kuliko kutoa sadaka madhabahuniUzi huu utapata wachangiaji wachache, Wagalatia tuu.
Samaki ni nyama mkubwaSamaki ni nyama?
Hapa inafaa kuorodhesha ni samaki gani,isike ikawa KIBUA [emoji23]1. Samaki
2. Samaki
3. Samaki
Khaaa!!!...[emoji120][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Panya
Mbwa
Kenge
View attachment 2382637Kwenu studio
Mwanza na Lindi, Kilwa wanakuja kukujibuSamaki ni nyama?
Mkuu upo Nyanda za Juu Kusini mtaa gani tuitaneSungura wazee
Simbilisi wazeee
Kwenye kiboko umeleta stori za kusadikika usitudanganye kama hvo ww kiboko mkubwa ana kilo 800 mpka tani moja sasa vitongoji 10 na zaidi kijiji kina watu wa ngapi na walipata kilo ngapi ngapi.Kuna siku kiboko kafariki huku kwetu,nasikia alipigwa na ndugu zake wakimfukuza kwenye ukoo,ile nyama tuliigawana karibia kijiji kizima na vitongoji vyake kama 10 na zaidi,kwenye familia yangu tulichelewa kuipata hii nyama tulipewa kidogo tu lakin cha kushangaza ikipikwa inaongezeka ni tamu balaa tuliitumia karibia siku tatu na list yangu itakuwa hivi
1.Nyama ya kiboko
2.kuku
3.Ng'ombe ikipata fundi unaweza hisi ina sukari