Ipi top 3 yako ya nyama tamu?

Mdudu
 
Bila picha huu Uzi ni batili 😊🤓🤓
 
Hapo kwenye kuku tupo pamoja
Namba 2 ni kitimoto then cow

Ila nyie kuku ni mtamu asee
Ukitaka kujua huyu ndege kashindikana
Nimeshasikia nyama zote zinaunguzwa

Ila ulishawahi sikia mtu anaunguza kuku?
Hata kumpika watu huwa wapo makini😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…