Ipi top 3 yako ya nyama tamu?

Ipi top 3 yako ya nyama tamu?

Salam!

Wale wazee wa misosi ipi top 3 yako ya nyama tamu. Ya kwangu hii hapa:

1. Kuku
Asee huyu ndege hadi leo binafsi naona nyama yake haina mpinzani yani hana mbadala yani nyama iwe mchemsho rosti choma au ya kukaanga nitamu zote nadhani sote tunafahamu jinsi supu ya kuku ilivyo tamu

2. Ng'ombe
Akitoka kuku anafata ng'ombe huyu myama nae yupo vizuri lakini huyu utamu wa nyama yake una depend na maufundi ya mpishi. laini na yeye nyama yake iwe mchemsho rosti choma au ya kukaanga nitamu zote

3 Kitimoto
Kwangu huyu namba yake inashika namba 3 kwasababu tu nyama yake inanoga tu kwa rosti na kukaanga lakini mchemsho wake hahaha hapana asee

Hiyo ndo top 3 yangu ya nyama tamu Je, ya kwako ni ipi?

NB: Kuku anautamu wa asili tu yeye haitaji ata ufundi wa mpishi.
Wengi hapa naona hawajawah kula sungura na swala ndo maana wanasema kuku,

Mimi ni hivi
1)Sungura
2)Swala
3)Kuku
 
Kuku namba Moja nyama ya kondoo ya foil kizazi sana kwenye ng'ombe ni Nundu tu.
 
Kwakuwa umesema "YAKO", the everybody is entitled to his or her opinion, lakini as the world is concerned Pork holds #1 as the most consumed meat, that being so, then its obvious the sweetest meat is PORK...
 

Attachments

  • IMG_20230618_154956.jpg
    IMG_20230618_154956.jpg
    302.9 KB · Views: 18
Kwakuwa umesema "YAKO", the everybody is entitled to his or her opinion, lakini as the world is concerned Pork holds #1 as the most consumed meat, that being so, then its obvious the sweetest meat is PORK...
Lamb over goat???? Mmh uongoo
 
Porcupine (Nungunungu)

images (15).jpeg

Turkey (Bata Mzinga)
Male_north_american_turkey_supersaturated.jpg


Aadvark (Muhanga)


images (14).jpeg


Tafuta hizo nyama utakuja kunishukuru.
 
Salam!

Wale wazee wa misosi ipi top 3 yako ya nyama tamu. Ya kwangu hii hapa:

1. Kuku
Asee huyu ndege hadi leo binafsi naona nyama yake haina mpinzani yani hana mbadala yani nyama iwe mchemsho rosti choma au ya kukaanga nitamu zote nadhani sote tunafahamu jinsi supu ya kuku ilivyo tamu

2. Ng'ombe
Akitoka kuku anafata ng'ombe huyu myama nae yupo vizuri lakini huyu utamu wa nyama yake una depend na maufundi ya mpishi. laini na yeye nyama yake iwe mchemsho rosti choma au ya kukaanga nitamu zote

3 Kitimoto
Kwangu huyu namba yake inashika namba 3 kwasababu tu nyama yake inanoga tu kwa rosti na kukaanga lakini mchemsho wake hahaha hapana asee

Hiyo ndo top 3 yangu ya nyama tamu Je, ya kwako ni ipi?

NB: Kuku anautamu wa asili tu yeye haitaji ata ufundi wa mpishi.

Sijui kama kuna nyama tamu kama ya muhanga na fungo
 
Salam!

Wale wazee wa misosi ipi top 3 yako ya nyama tamu. Ya kwangu hii hapa:

1. Kuku
Asee huyu ndege hadi leo binafsi naona nyama yake haina mpinzani yani hana mbadala yani nyama iwe mchemsho rosti choma au ya kukaanga nitamu zote nadhani sote tunafahamu jinsi supu ya kuku ilivyo tamu

2. Ng'ombe
Akitoka kuku anafata ng'ombe huyu myama nae yupo vizuri lakini huyu utamu wa nyama yake una depend na maufundi ya mpishi. laini na yeye nyama yake iwe mchemsho rosti choma au ya kukaanga nitamu zote

3 Kitimoto
Kwangu huyu namba yake inashika namba 3 kwasababu tu nyama yake inanoga tu kwa rosti na kukaanga lakini mchemsho wake hahaha hapana asee

Hiyo ndo top 3 yangu ya nyama tamu Je, ya kwako ni ipi?

NB: Kuku anautamu wa asili tu yeye haitaji ata ufundi wa mpishi.
1: Njiwa choma
2: digidigi
3: mbuzi choma
 
Back
Top Bottom