Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Heri ya Sikukuu ya Krismasi ndugu zangu?
Naona ipo haja ya kuwa na hotuba ya Rais kwa Taifa kabla ya kufunga mwaka 2020.
Hata akitoa Salamu za Mwaka Mpya nayo sio mbaya.
Hii itamuwezesha kufanya mambo makubwa mawili;
1. Kuwashukuru wananchi kwa kumchagua kwa awamu ya pili ( najua ameshafanya hili wakati wa ufunguzi wa Bunge lakini sio mbaya akifanya tena).
2. Kutoa muelekeo wa Serikali yake kwa mwaka 2021 katika mambo mbali mbali ikiwemo Uchumi, elimu, afya , ajira kwa vijana na mambo mengineyo.
Naamini wasaidizi wake watamkumbusha hili.
Baada ya kusema hayo machache.
Niwatakieni tena Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya.
Naona ipo haja ya kuwa na hotuba ya Rais kwa Taifa kabla ya kufunga mwaka 2020.
Hata akitoa Salamu za Mwaka Mpya nayo sio mbaya.
Hii itamuwezesha kufanya mambo makubwa mawili;
1. Kuwashukuru wananchi kwa kumchagua kwa awamu ya pili ( najua ameshafanya hili wakati wa ufunguzi wa Bunge lakini sio mbaya akifanya tena).
2. Kutoa muelekeo wa Serikali yake kwa mwaka 2021 katika mambo mbali mbali ikiwemo Uchumi, elimu, afya , ajira kwa vijana na mambo mengineyo.
Naamini wasaidizi wake watamkumbusha hili.
Baada ya kusema hayo machache.
Niwatakieni tena Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya.