Ipo haja ya Hotuba ya Rais kabla ya kufunga mwaka 2020

Ipo haja ya Hotuba ya Rais kabla ya kufunga mwaka 2020

Hana jipya zaidi ya porojo zilezile za madaraja,barabara na utopolo wa uchimi wa kati
 
Kama hotuba zenyewe zinahusu wanawake weupe na jogoo wa laki, bora tupotezee tu. Mwaka 2020 ulikuwa mchungu mno. Ukiongea, wananchi wanafumba jicho moja kukuangalia.
 
Utasikia bungeni wakati wa bajeti,wewe kunywa mtori tu nyama utazikuta chini.
Hiyo itakua ni muelekeo wa mhula wake wote (5 years).

Sasa tunasubiri kusikia kwa mwakani serikali imepanga kutufanyia nini sisi wananchi.

Sio vibaya tukafahamu na tukaulizana maendeleo yake.
 
Hana Jipya.

Yeye asubirie tu muda wake uishe asepe.

Kama atakatalia madarakani tujue la kufanya.

Hakuna Mtanzania mwenye matumaini naye tena, wengi wameamua kusubiria amalize asepe. Na siku hazigandi
Hivi salam za Christmas amezitoa kwetu watanzania? Mana tumezoea
 
Well ingawa hili halikufanyika,

Bado mwaka ni mbichi

Kuna nafasi ya kuzungumza na wananchi.

Kimya kingi kina mshindo mkuu.
 
Well ingawa hili halikufanyika,

Bado mwaka ni mbichi

Kuna nafasi ya kuzungumza na wananchi.

Kimya kingi kina mshindo mkuu.
Dah mzee wa Longido. Utasubiri sana kama unavyosubiri kwa hamu barabara ya lami kutoka Sanya juu had Longido.

Mpe hi mama yoyooo
 
Back
Top Bottom