Ipo haja ya Hotuba ya Rais kabla ya kufunga mwaka 2020

Ipo haja ya Hotuba ya Rais kabla ya kufunga mwaka 2020

Heri ya Sikukuu ya Krismasi ndugu zangu?

Naona ipo haja ya kuwa na hotuba ya Rais kwa Taifa kabla ya kufunga mwaka 2020.

Hata akitoa Salamu za Mwaka Mpya nayo sio mbaya.

Hii itamuwezesha kufanya mambo makubwa mawili;

1. Kuwashukuru wananchi kwa kumchagua kwa awamu ya pili ( najua ameshafanya hili wakati wa ufunguzi wa Bunge lakini sio mbaya akifanya tena).

2. Kutoa muelekeo wa Serikali yake kwa mwaka 2021 katika mambo mbali mbali ikiwemo Uchumi, elimu, afya , ajira kwa vijana na mambo mengineyo.

Naamini wasaidizi wake watamkumbusha hili.

Baada ya kusema hayo machache.

Niwatakieni tena Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya.
Nani ana mda wa kumsikiliza mwizi
 
Heri ya Sikukuu ya Krismasi ndugu zangu?

Naona ipo haja ya kuwa na hotuba ya Rais kwa Taifa kabla ya kufunga mwaka 2020.

Hata akitoa Salamu za Mwaka Mpya nayo sio mbaya.

Hii itamuwezesha kufanya mambo makubwa mawili;

1. Kuwashukuru wananchi kwa kumchagua kwa awamu ya pili ( najua ameshafanya hili wakati wa ufunguzi wa Bunge lakini sio mbaya akifanya tena).

2. Kutoa muelekeo wa Serikali yake kwa mwaka 2021 katika mambo mbali mbali ikiwemo Uchumi, elimu, afya , ajira kwa vijana na mambo mengineyo.

Naamini wasaidizi wake watamkumbusha hili.

Baada ya kusema hayo machache.

Niwatakieni tena Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya.
Hakuan haja na wala asijipe umhimu maana Watanzania tunaweza kuishi bila Hotuba wala kutakiwa heri ya Krismasi na mwaka npya kutoka kwake!
 
Acheni uwendawazimu .
Ni mwananchi gani aliyemchagua Rais ambaye kaleta hali ngumu kwa kila kundi?
Je, ni watumishi wa umma waliofanyiwa uhuni kwa miaka 6 ndio waliomchagua?
Je, ni wananchi wakulima walioteseka na soko la mazao yao kwa miaka 5 ndio waliomchagua?
Je, ni wafanyabiashara waliofuatwa na TRA walioambatana na askari wenye silaha ndio waliomchagua ?
Je, ni vijana waliokosa ajira serikalini na kwenye sekta binafsi ndio waliomchagua, huku serikali ikijitapa kumwaga ajira 5+8 milions?
 
Ameshatoa salamu za krismasi
Masharti ya ukimbizi hayamruhusu kuongelea siasa
Kwa kauli yake mwenyewe atatoa hotuba kesho kutwa. Hayo masharti ya ukimbizi mliyaweka hapo Lumumba.
 
Heri ya Sikukuu ya Krismasi ndugu zangu?

Naona ipo haja ya kuwa na hotuba ya Rais kwa Taifa kabla ya kufunga mwaka 2020.

Hata akitoa Salamu za Mwaka Mpya nayo sio mbaya.

Hii itamuwezesha kufanya mambo makubwa mawili;

1. Kuwashukuru wananchi kwa kumchagua kwa awamu ya pili ( najua ameshafanya hili wakati wa ufunguzi wa Bunge lakini sio mbaya akifanya tena).

2. Kutoa muelekeo wa Serikali yake kwa mwaka 2021 katika mambo mbali mbali ikiwemo Uchumi, elimu, afya , ajira kwa vijana na mambo mengineyo.

Naamini wasaidizi wake watamkumbusha hili.

Baada ya kusema hayo machache.

Niwatakieni tena Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya.

Ashakuru wananchi kwa kumchagua? Ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.

Hata akihutubia hana jipya bali itakuwa marudio kwa yale yale anayoongea kila mara. Labda awahutubie wanaccm, maana wao ndio wanaamini bado ana jipya.
 
Pole Sana kwa kuibiwa mkuu ila hujasema umeibiwa nini.

Hivi muda wa kukata rufaa kwa wale wabunge 19 si umeshapita??

Ngoja tusubiri sarakasi zenu maana sioni namna hao 19 wataondoka Bungeni, Chama kitawasamehe tu na maisha yataendelea, sema kinachotafutwa hapa ni timing tu ya kufanyika hilo.

Yaani hao wabunge hata wazeekee Bungeni hakuna mwenye tatizo, ila sio kama wanachama wa cdm. Hiyo itazidi kudhihirisha kuwa awamu hii haikuwahi kuheshimu katiba, hiyo itatoa mwanya kwa wengine siku za mbeleni kutokuheshimu hiyo katiba dhid yao. Ifahamike kuna sehemu katika katiba inataka baadhi ya watu wasishitakiwe, wajue kifungu hicho itakuwa sio lazima kitekelezwe maana wataambiwa pia wao hawakuheshimu katiba.
 
Ameshatoa salamu za krismasi
Masharti ya ukimbizi hayamruhusu kuongelea siasa

Yule Mjinga aliwajaza ujinga na nyie mkajaa wazima wazima. Anaongelea siasa muda na wakati wowote atakao.
 
Heri ya Sikukuu ya Krismasi ndugu zangu?

Naona ipo haja ya kuwa na hotuba ya Rais kwa Taifa kabla ya kufunga mwaka 2020.

Hata akitoa Salamu za Mwaka Mpya nayo sio mbaya.

Hii itamuwezesha kufanya mambo makubwa mawili;

1. Kuwashukuru wananchi kwa kumchagua kwa awamu ya pili ( najua ameshafanya hili wakati wa ufunguzi wa Bunge lakini sio mbaya akifanya tena).

2. Kutoa muelekeo wa Serikali yake kwa mwaka 2021 katika mambo mbali mbali ikiwemo Uchumi, elimu, afya , ajira kwa vijana na mambo mengineyo.

Naamini wasaidizi wake watamkumbusha hili.

Baada ya kusema hayo machache.

Niwatakieni tena Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya.
Rais yupi( huyu mropokaji?) ,na alichaguliwa na nani,una hakika alichaguliwa na "wananchi? Awashukuru NEC na TISS/POLICCM!
 
Heri ya Sikukuu ya Krismasi ndugu zangu?

Naona ipo haja ya kuwa na hotuba ya Rais kwa Taifa kabla ya kufunga mwaka 2020.

Hata akitoa Salamu za Mwaka Mpya nayo sio mbaya.

Hii itamuwezesha kufanya mambo makubwa mawili;

1. Kuwashukuru wananchi kwa kumchagua kwa awamu ya pili ( najua ameshafanya hili wakati wa ufunguzi wa Bunge lakini sio mbaya akifanya tena).

2. Kutoa muelekeo wa Serikali yake kwa mwaka 2021 katika mambo mbali mbali ikiwemo Uchumi, elimu, afya , ajira kwa vijana na mambo mengineyo.

Naamini wasaidizi wake watamkumbusha hili.

Baada ya kusema hayo machache.

Niwatakieni tena Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya.
Mimi nadhani niongezee nyama pia kama idara ya ikulu wangempa nafasi pia atoe dira na mipango ya serikali 2021. Ingependeza nakuleta furaha.
 
Yaani hao wabunge hata wazeekee Bungeni hakuna mwenye tatizo, ila sio kama wanachama wa cdm. Hiyo itazidi kudhihirisha kuwa awamu hii haikuwahi kuheshimu katiba, hiyo itatoa mwanya kwa wengine siku za mbeleni kutokuheshimu hiyo katiba dhid yao. Ifahamike kuna sehemu katika katiba inataka baadhi ya watu wasishitakiwe, wajue kifungu hicho itakuwa sio lazima kitekelezwe maana wataambiwa pia wao hawakuheshimu katiba.
Hivi kama mnaona kuna uvunjifu wa katiba mnasubiri nini kwenda mahakamani?

Spika anajitetea anasema alipewa majina na Nec na yeye kazi yake ni kuapisha tu. Mbona hamtaki ukweli ujulikane nani alipeleka majina Nec?
 
Na watu kama mimi na wengine! Au unajiona wewe ni "mtu zaidi" ya wengine???
Watz tupo mil 60, mnaweza mkawa elfu mbili hamtaki kusikiliza hotuba. Zaidi ya mil 59 wanashauku ya kusikiliza. Tumia akili
 
Watz tupo mil 60, mnaweza mkawa elfu mbili hamtaki kusikiliza hotuba. Zaidi ya mil 59 wanashauku ya kusikiliza. Tumia akili
Wewe umetumia akili gani kuhitimisha hivyo? Utafiti gani umefanya na lini kuthibitisha? No research no right to speak!
 
Back
Top Bottom