Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Ingia uswazi pitisha dodoso utapata majibu.Wewe umetumia akili gani kuhitimisha hivyo? Utafiti gani umefanya na lini kuthibitisha? No research no right to speak!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingia uswazi pitisha dodoso utapata majibu.Wewe umetumia akili gani kuhitimisha hivyo? Utafiti gani umefanya na lini kuthibitisha? No research no right to speak!
Duuu,mambo ya kitaaluma na uswazi ?????!!!!! Ndo maana mna hamu ya kusikiliza pumba za pombe!Ingia uswazi pitisha dodoso utapata majibu.
Umetafuta uteuzi muda mrefu kwa kuunga mkono juhudi lakini bado hujapata, je uko tayari kumwandikia hiyo hotuba ili iwe na mvuto? Mara nyingi hotuba zake zinatia kichefuchefu hadi kutufanya tubadili Channel kwenye TV au Stesheni za Radio lakini ikiandikwa na wewe Mwanahabari nguli wengi watapenda kusikiliza maana toka ustaafu tunakosa andiko nzuri ingawa tutakosa usomaji mzuri akisoma. Unaweza fikiriwa kuwa Speech Writer wake!Naunga mkono hoja, this is obvious, kila tarehe 30/31 rais huwa analihutubia taifa na hotuba hiyo hutangazwa live.
P
haya bwanaNamba 2. Alisha toa muelekeo alipokuwa bungeni. Na hasa hasa alipokuwa akipita huko kkwenye kampeni nileteeni naniliiiiiii nireteeeeni naniliiiiiiii
Mke na watoto wangu.Wengi wenu? Wewe na akina nani?
eeeHeri ya Sikukuu ya Krismasi ndugu zangu?
Naona ipo haja ya kuwa na hotuba ya Rais kwa Taifa kabla ya kufunga mwaka 2020.
Hata akitoa Salamu za Mwaka Mpya nayo sio mbaya.
Hii itamuwezesha kufanya mambo makubwa mawili;
1. Kuwashukuru wananchi kwa kumchagua kwa awamu ya pili ( najua ameshafanya hili wakati wa ufunguzi wa Bunge lakini sio mbaya akifanya tena).
2. Kutoa muelekeo wa Serikali yake kwa mwaka 2021 katika mambo mbali mbali ikiwemo Uchumi, elimu, afya , ajira kwa vijana na mambo mengineyo.
Naamini wasaidizi wake watamkumbusha hili.
Baada ya kusema hayo machache.
Niwatakieni tena Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya.
waliofuatilia bungeni hawafiki 20% lkn kwa mwaka mpya watafika 90%Namba 2. Alisha toa muelekeo alipokuwa bungeni. Na hasa hasa alipokuwa akipita huko kkwenye kampeni nileteeni naniliiiiiii nireteeeeni naniliiiiiiii
Mahakama zipi, hayo majengo ya mahakama yanayosimamiwa na Makada wa ccm?Hivi kama mnaona kuna uvunjifu wa katiba mnasubiri nini kwenda mahakamani?
Spika anajitetea anasema alipewa majina na Nec na yeye kazi yake ni kuapisha tu. Mbona hamtaki ukweli ujulikane nani alipeleka majina Nec?
Hapana, zaidi ya 150%, maana hata wananchi wa Africa mashariki pamoja na marais wao wanangoja hiyo hotuba.waliofuatilia bungeni hawafiki 20% lkn kwa mwaka mpya watafika 90%
Anao waandishi wazuri lkn toka mwanzo alishasema hapendi hotuba za kuandikiwa ,siku hiyo ilikuwa ni siku ya sheriaUmetafuta uteuzi muda mrefu kwa kuunga mkono juhudi lakini bado hujapata, je uko tayari kumwandikia hiyo hotuba
ili iwe na mvuto? Mara nyingi hotuba zake hutufanya tubadili Channel kwenye TV au Stesheni za Radio lakini ikiandikwa na wewe Mwanahabari nguli wengi watapenda kusikiliza maana toka ustaafu tunakosa andiko nzuri ingawa tutakosa usomaji mzuri na haiba. Unaweza fikiriwa kuwa Speech Writer wake!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani tuanze kufokewa tena!! Anyamaze tuuu
1. Toa heshima panapostahili. Wakurugenzi katika halmashauri ndo waliomchagua na kuhakikisha Mhe. Magufuli anakuwa Rais. Kama ni shukran zinapaswa ziende huko na alishawashukuru (wao pamoja na polisi,wakuu wa wilaya, mikoa n.k) kwa kusema hatachagua wapya.Heri ya Sikukuu ya Krismasi ndugu zangu?
Naona ipo haja ya kuwa na hotuba ya Rais kwa Taifa kabla ya kufunga mwaka 2020.
Hata akitoa Salamu za Mwaka Mpya nayo sio mbaya.
Hii itamuwezesha kufanya mambo makubwa mawili;
1. Kuwashukuru wananchi kwa kumchagua kwa awamu ya pili ( najua ameshafanya hili wakati wa ufunguzi wa Bunge lakini sio mbaya akifanya tena).
2. Kutoa muelekeo wa Serikali yake kwa mwaka 2021 katika mambo mbali mbali ikiwemo Uchumi, elimu, afya , ajira kwa vijana na mambo mengineyo.
Naamini wasaidizi wake watamkumbusha hili.
Baada ya kusema hayo machache.
Niwatakieni tena Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya.
Heri ya Sikukuu ya Krismasi ndugu zangu?
Naona ipo haja ya kuwa na hotuba ya Rais kwa Taifa kabla ya kufunga mwaka 2020.
Hata akitoa Salamu za Mwaka Mpya nayo sio mbaya.
Hii itamuwezesha kufanya mambo makubwa mawili;
1. Kuwashukuru wananchi kwa kumchagua kwa awamu ya pili ( najua ameshafanya hili wakati wa ufunguzi wa Bunge lakini sio mbaya akifanya tena).
2. Kutoa muelekeo wa Serikali yake kwa mwaka 2021 katika mambo mbali mbali ikiwemo Uchumi, elimu, afya , ajira kwa vijana na mambo mengineyo.
Naamini wasaidizi wake watamkumbusha hili.
Baada ya kusema hayo machache.
Niwatakieni tena Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya.
Hana hiyo akili huyo kichaa.Heri ya Sikukuu ya Krismasi ndugu zangu?
Naona ipo haja ya kuwa na hotuba ya Rais kwa Taifa kabla ya kufunga mwaka 2020.
Hata akitoa Salamu za Mwaka Mpya nayo sio mbaya.
Hii itamuwezesha kufanya mambo makubwa mawili;
1. Kuwashukuru wananchi kwa kumchagua kwa awamu ya pili ( najua ameshafanya hili wakati wa ufunguzi wa Bunge lakini sio mbaya akifanya tena).
2. Kutoa muelekeo wa Serikali yake kwa mwaka 2021 katika mambo mbali mbali ikiwemo Uchumi, elimu, afya , ajira kwa vijana na mambo mengineyo.
Naamini wasaidizi wake watamkumbusha hili.
Baada ya kusema hayo machache.
Niwatakieni tena Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya.
Ukihitaji hotuba atakachoropoka tusianze kushika vichwa, mwana kulifind.....Heri ya Sikukuu ya Krismasi ndugu zangu?
Naona ipo haja ya kuwa na hotuba ya Rais kwa Taifa kabla ya kufunga mwaka 2020.
Hata akitoa Salamu za Mwaka Mpya nayo sio mbaya.
Hii itamuwezesha kufanya mambo makubwa mawili;
1. Kuwashukuru wananchi kwa kumchagua kwa awamu ya pili ( najua ameshafanya hili wakati wa ufunguzi wa Bunge lakini sio mbaya akifanya tena).
2. Kutoa muelekeo wa Serikali yake kwa mwaka 2021 katika mambo mbali mbali ikiwemo Uchumi, elimu, afya , ajira kwa vijana na mambo mengineyo.
Naamini wasaidizi wake watamkumbusha hili.
Baada ya kusema hayo machache.
Niwatakieni tena Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya.
Tulishajua anachotaka kuongea maana hotuba zake huwa ni zile zile. Aache tu maana hatakuwa na jipya la kuongea ya kusema tumechezewa sana, tumechelewa sana na tutembee kifua mbeleee.!Heri ya Sikukuu ya Krismasi ndugu zangu?
Naona ipo haja ya kuwa na hotuba ya Rais kwa Taifa kabla ya kufunga mwaka 2020.
Hata akitoa Salamu za Mwaka Mpya nayo sio mbaya.
Hii itamuwezesha kufanya mambo makubwa mawili;
1. Kuwashukuru wananchi kwa kumchagua kwa awamu ya pili ( najua ameshafanya hili wakati wa ufunguzi wa Bunge lakini sio mbaya akifanya tena).
2. Kutoa muelekeo wa Serikali yake kwa mwaka 2021 katika mambo mbali mbali ikiwemo Uchumi, elimu, afya , ajira kwa vijana na mambo mengineyo.
Naamini wasaidizi wake watamkumbusha hili.
Baada ya kusema hayo machache.
Niwatakieni tena Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya.