toka jpm amekufa huyu mzee,mshana,na wengine wameambujizwa ule ujinga wa duggai.halafu yeye akapona.
Habari za mchana mkuu, umepata lunch kweli??
Unaweza kunipa hii qoute ad verbatium..., sababu sidhani kama mtu mwenye ubongo anaweza kupayuka hayo maneno let alone kio
Mimi nataka mkuu wa kuzimu amuongezee kuni nyingi kwenye moto maana kaua watu wengi huyo jangili unayemteteaNdugu zangu Watanzania mimi ni kati ya watu waliomchukia sana Magufuli kwa sababu ya aina ya uongozi ila nimetafakari sana tumsamehe tumuombee.
Sababu zangu
Viongozi wengi hukosea awamu ya kwanza ila ya pili hujirekebisha pengine Magufuli angejirudi katika awamu ya pili ila Mungu hakumpa nafasi.
Hii nchi kweli kuna mambo tulizingua hivyo tulihitaji angalau mtu wa aina yake ila tulikosa speed governer na regulator.
Leo umekunya kweli??? Samahani lakn.Nikuulize wewe unaeshindwa kusimamia hoja unaishia kutukana.Hasira zako za maisha peleka huko,usiletee watu usiowafahamu.Mtu mzima unatukanaje pengine ni Mke/Mume wa mtu na watoto.Punguza Utoto
Leo umekunya kweli??? Samahani lakn.
Usijitoe ufahamu kwa kuniita ufipa, Hapa hoja ni kama kuna umuhimu wa kumwombea mwendazake katili...Ngoja Ufipa wenzio waone hii Comment yako,utatengwa.
We jizi bado unalia lia tu huachi kutukanana na waliokufa?Usijitoe ufahamu kwa kuniita ufipa, Hapa hoja ni kama kuna umuhimu wa kumwombea mwendazake katili...
Je kuna sababu yoyote ya kumwombea dikteta?
Gambo ni mwenzenu sasa nafsi inamsuta.kwahiyo Gambo ndiyo Role Model wako? Akili za Bavicha bwana.
magu alikuwa rais mshamba sana.We jizi bado unalia lia tu huachi kutukanana na waliokufa?
Magufuli alikutimua kwa vyeti feki nini?
Let his followers also go and rot together.Magufuli amekufa hakika hali ni nzuri Sana. Hakuna kikundi cha WASIOJULIKANA kilichokuwa kinateka na kuua watu. Nafasi za kazi 9000 zimetangazwa vijana wetu watajiriwa. Wawekezaji wanakuja wanaleta mtaji na ajira zitatengenezwa. Vyama vya upinzani vinafanya mikutano ya ndani.
MWENDAZAKE should continue to Rot In Hell
Yako mengi sana yamefanyika ndani ya siku 100. NANI KAMA MAMA?
wapuuzi sana hawa watu nilikuwa nawaheshimu sana kumbe ni watu wa hovyo.Na nyie wasukuma mko bize kutetea legacy yake? Mkuki kwa nguruwe?
aliondoka na mavi yake. In his voiceDuh ivi aliacha kitabu chake kweli?
Hakushindwa kuwadhibiti bali ali encourage tabia za kikatiri kwa ku reward wakatili. Mrisho gambo alipandishwa cheo kuwa mkuu wa mkoa baada ya kufanya kazi nzuri ya Jiwe( kunyanyasa wapinzani), hivyo hivyo kwa Ali Hapi na akina Muro. Godwin Gondwe baada ya kuhujumu habari za wapinzani akiwa ITV akapewa ukuu wa wilaya Handeni. Kwa hiyo unaweza kuona jinsi alivyokuwa akifurahishwa na vitendo hivyo.Magufuli Mwenyewe alishindwa kuwathibiti hawa watu .... walikuepo watu wengi walioonea watu wametesa watu wengi...sio hao alina Sabaya tu...Kwenye Utumishi wa Umma watu walizushiwa Ni chadema na kunyanyaswa sana....
wapuuzi sana hawa watu nilikuwa nawaheshimu sana kumbe ni watu wa hovyo.
Usijitoe ufahamu kwa kuniita ufipa, Hapa hoja ni kama kuna umuhimu wa kumwombea mwendazake katili...
Je kuna sababu yoyote ya kumwombea dikteta?
hata sasa mna wabunge nchi zima. Kwani kuna kilichooungua au kuongezeka?Uzuri 2025 utakuja kuzungusha mikono kutuomba kura,ndiyo utajua kiwango cha upuuzi wetu.
Na huyo "MANGI" aka TRAMP, kama sikosei, ndiye aliyekuwa "mpiga kura wake" wa mwisho kumwagia maneno ya shombo!"asietaka kutoa hela abaki na mav* yake nyumbani"