Ndio, kura zote kwa Samia.Nakuuliza tena kwa hiyo sasa hivi huna haja tena na Mgombea kutoka Ufipani kura zote kwa Samia ambaye ni CCM siyo?
Jizi kuu tushalizika. Kama imekuuma, kunywa sumu nawe tukuzike.We jizi bado unalia lia tu huachi kutukanana na waliokufa?
Magufuli alikutimua kwa vyeti feki nini?
Hata wale wafuasi wa rais wa mbeya nao wako humo?Mimi sio msukuma ila nilipenda uongozi wa JPM na watanzania kasoro wakaskazini walipenda uongozi wa JPM.
Imebidi nikufuatilie...Siyo wewe ulitoa mapendekezo ya watu ambao wanatakiwa kuongoza?Jizi kuu tushalizika. Kama imekuuma, kunywa sumu nawe tukuzike.
Niliomba waongoze kwa miezi mitano. Bahati mbaya niliyeomba awe Rais hajawa. Badala yake tukampa kichaa niliyetaka awe waziri mkuu... kwa miezi mitano tuImebidi nikufuatilie...Siyo wewe ulitoa mapendekezo ya watu ambao wanatakiwa kuongoza?
Daah huoni aibu bwashe!
Yoooop, yeeeebabaaa.Madhara ya kutokulelewa na Wazazi haya.
Vp hujaenda kumpa hi mwendazake kwenye ule uzio wa mabati??Madhara ya kutokulelewa na Wazazi haya.
aliondoka na mavi yake. In his voice
Kwani mkuu, waliopo JF na Twitter wanaishi mbinguni ?! Na sio mitaani ?!Lawama zipo jf na twitter. Mitaa imemiss ile mbaya.
Ilitakiwa CCM ndio watuombe msamaha kwa niaba ya Jiwe kutokana na Mateso aliyotufanyia mtu wao,sio sisi tumsamehe Yeye wakati ametuachia makovu.Yule mtu!!! Kwakweli ccm hapo walituweza watanzania....
Yeye mbona Ana PHD feki Lakini sisi tukamuacha tu.Bila shaka wewe ulikua cheti feki maana ndio wanaongoza kwa kumchukia magufuli. Cheti feki ni wajinga wanaofikiri wana akili. Sasa tumuombee magufuli kwani kakosea nini? Fisadi na watumbuliwa wana aheri kwa kumchukia magufuli kwani wanajua wao wamefanya nini. Mijitu kama wewe ni waovu sana. Nyie ni watu wabinafsi yaani mtu kafanya mambo mazuri afrika na dunia wameona jinsi nchi imeendelea halafu vilaza wachache wanajidai kuleta upambavu wao. Pumbavu sana
Shida ni kwamba maono ya Magufuli alikuwa anataka kuyatekeleza kwa watu wapumbavu.
Yani kosa la Magufuli ni kujaribu kuwazindua watu wajinga wajitambue
Acha uongo. Umemmisi wewe na familia yako tu.Lawama zipo jf na twitter. Mitaa imemiss ile mbaya.
Kwanza hujui kuandika,hafadhali ndio nini?.Pili, acha kumsifia jambazi Magufuli.Hafadhali umeliona hili mkuu...watu wanafikiria degree walizosomeshwa kwa mitaala ya kizungu ndio wamemaliza mchezo..kumbe wamefungwa kisaikolojia kila analolisema mzungu ndio la maana mtu mweusi akienda against eti mshamba...kumbe wao ndio ignorant watumwa wakutupwa...
Tusubirie tu muda ni dawa nzuri sana.
Post mojaSana, nilisoma post moja kule instagramu acha kabisa,watu wanamkumbuka sana,
Humu kuna mamluki,wapo kwa kazi maalumu ya kufifisha upendo tulionao kwa hayati .
Utajuaje wakati wewe ni half cast wa ubelgiji na canadaKwanza hujui kuandika,hafadhali ndio nini?.Pili, acha kumsifia jambazi Magufuli.
Niliomba waongoze kwa miezi mitano. Bahati mbaya niliyeomba awe Rais hajawa. Badala yake tukampa kichaa niliyetaka awe waziri mkuu... kwa miezi mitano tu
Mashallaaaah"Huyu jogoo uliyenipa, uje Chato nikupe mama yangu umuoe"