Ungejua kuchezea taifa ni nini ungewajuaSasa nani kachezea Taifa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungejua kuchezea taifa ni nini ungewajuaSasa nani kachezea Taifa?
Yes ni JAH kaamua kumchukua mja wake kwa mapendo yake, nasi zamu yetu yaja, usisahau hilo.Hakuna uyo Mimi hapana ata alivyoenda naona ni Mungu tu aliamua
Hizo ni propaganda za walioguswa angle zao na mpendwa Magufuli. Lazima walie na kulalama.Ungejua kuchezea taifa ni nini ungewajua
Ila mapungufu yakizidi mema, lazima chuki itamalaki...Kila binadamu ana mapungufu na madhaifu yake, tumsamehe kwa mambo hayo.
Ila hapo kwa bibi najua huwezi kamweeh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] hivi babuuh una nini wee? Ngoja nimpigie nimuulize vizuri,Ila mapungufu yakizidi mema, lazima chuki itamalaki...
Hapo kwa bibi kama huamini hebu mpigie simu umwambie anjiaribu. Ila uwe tayari kuchukua nafasi yake
We JIZI la vyeti umeamua kujifaragua kwa mahaba ya kuigiza!Ila mapungufu yakizidi mema, lazima chuki itamalaki...
Hapo kwa bibi kama huamini hebu mpigie simu umwambie anjiaribu. Ila uwe tayari kuchukua nafasi yake
Mimi huwa suchepukagi. Labda mara chache sana shetani akinizidi nguvu. Kama unabisha hebu twende PM tukapange pa kukutana tuongee kwa kina...[emoji23][emoji23][emoji23] hivi babuuh una nini wee? Ngoja nimpigie nimuulize vizuri,
Kwani wee huchepuki? [emoji23][emoji23]
Hata girlfriend wangu wa zamani alinikimbia akaenda kwa dingi yako ndo ukazaliwa...We JIZI la vyeti umeamua kujifaragua kwa mahaba ya kuigiza!
Umenikimbia eeeeh?
Hahahaaa....
Sasa kumbe huwa unazidiwa nguvu na shetani, bas na bibi pia huwa anaweza pitiwa. [emoji23][emoji23][emoji23]Mimi huwa suchepukagi. Labda mara chache sana shetani akinizidi nguvu. Kama unabisha hebu twende PM tukapange pa kukutana tuongee kwa kina...
Ila usimwambie bibi
Hapana yule nimemweka kwenye maombi... Akichepuka atakuwa kaamua. Dawa yake ni kumtema na kuoa dogodogo...Sasa kumbe huwa unazidiwa nguvu na shetani, bas na bibi pia huwa anaweza pitiwa. [emoji23][emoji23][emoji23]
Angalau JF, Twitter na Fb Kuna wanamtetea lakini mtaani....Lawama zipo jf na twitter. Mitaa imemiss ile mbaya.
Sasa matokeo ya huyo Machache umeyaona? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana yule nimemweka kwenye maombi... Akichepuka atakuwa kaamua. Dawa yake ni kumtema na kuoa dogodogo...
Lazima nifuate nyayo za wazee wemzangu kina mengi
huwezi kunipangia cha kufanya😕😕😕😕 ukajengee na makaburi ya ndugu zako kama una uwezo huoKwa ile roho hakika hatosahaulika, endelea kumlilia, nenda kagale gale kwenye kibanda umiza....
Kwahiyo wewe ndio unaetakiwa kunipangia kumkumbuka mtu, 😁😁 hebu endelea kuomboleza achana na mimi.... usiendelee kunidandia kama ulivoanza.huwezi kunipangia cha kufanya😕😕😕😕 ukajengee na makaburi ya ndugu zako kama una uwezo huo
Tulia wewe JIZI la vyeti.Hata girlfriend wangu wa zamani alinikimbia akaenda kwa dingi yako ndo ukazaliwa...
Kahaba hilo, achana nalo.huwezi kunipangia cha kufanya😕😕😕😕 ukajengee na makaburi ya ndugu zako kama una uwezo huo
Kwani lazima utushauri si umsamehe binafsiNdugu zangu Watanzania mimi ni kati ya watu waliomchukia sana Magufuli kwa sababu ya aina ya uongozi ila nimetafakari sana tumsamehe tumuombee.
Sababu zangu
Viongozi wengi hukosea awamu ya kwanza ila ya pili hujirekebisha pengine Magufuli angejirudi katika awamu ya pili ila Mungu hakumpa nafasi.
Hii nchi kweli kuna mambo tulizingua hivyo tulihitaji angalau mtu wa aina yake ila tulikosa speed governer na regulator.
Hapa nasemehe vipi kaka sana sana unataka kutonesha kidonda. [emoji22][emoji22]Watu wa kimara wabomoleeni tu hizo nyumba lkn watu wa Mwanza msiwabomolee hao ndio walionipigia kura nikawa rais.
Jamaa kwa kubagua alikua vizuri.
KabisaaaaaaLawama zipo jf na twitter. Mitaa imemiss ile mbaya.