Uchaguzi 2020 Ipo mifano hai kuwa Lissu atashinda Urais 2020, CCM tusijipe matumaini nawaambieni

on top to that kila kijana anapambania smartphone,hakika ccm ipo mbioni kufutika kwa haya maendeleo ya kitechnology
 

Lissu ashinde labda Mungu wa mbinguni aende likizo
 
Yani unafananisha ubunge wenye wapiga kura wasiozidi laki moja na uchaguzi wa urais unaohitaji wapiga kura zaidi ya milion 20?
 
Kilikuwa na huo uzoefu walipokuwepo watu ambao ni vichwa kama akina kinana, Nape na Januari lakini hii timu ya sasa hakuna jipya siasa za mazoea zimepitwa na wakati.
Hata wakati wa hao uliowataja mlikuwa mnasema hawana ishu tena mkasema kina Nape wapo upande wa Lowasa!

Tatizo mnaichukulia ccm kama vile chama cha vikoba
 
Kwa hiyo tume ya uchaguzi imekuwa huru automatically baada ya Lisu kuteuliwa na chama chake?😁!
 
Mahanhu nakufahamu vyema kabisa kuwa wewe ni CCM kindakindaki, nashukuru kwa kukuona hili. Lissu ni habari nyingine kabisa
 

Sisi tumechoka. Nafikiri ccm itakomaa tu kubaki madarakani. Ila mwaka huu tutegemee nchi za wenzetu wakiongozwa na Kenya kuja kulinda amani hapa. Ule mwisho wa kulialia umeisha. Tutauwasha moto kama ilivyokuwa Serbia kipindi cha Slobodan Milosevic. Watu wataishia kuburutwa mabarabarani.
 
We n CCM au chichi m?
 
mkuu umepiga spana sio za nchi hii watu kama nyie ndo mlitaliwa kuwa washauri wa ccm maana unapojua kuwa una hali ngumu ndo unakua mwanzo mzuri wa kujipanga kumkabili adui wako kitu ambacho wanaccm wengi wameshindwa kullikubali matokeo yake wanaendelea ku relax mkuu ,uchaguzi huu ni mgum kwelikweli na utakua mtam kweli kweli ccm wasipokua makin saa tatu hasubui watakua wamegalagazwa maana naona hata amasa ya watu kupiga kura ndani ya mda mfupi inazidi kuongezeka mwaafa
 
Ccm hawana akili na hawajitambui......

Wameishiwa pumzi...

Kutoka kupiga pushup hadharani mpaka kuozesha mama mzazi kwa jogoo na kula mahindi.....???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…