stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
Kawakatae wanyarwanda wenzako
π π π π π π π π π π π
vumilieni maaana mlikua mna moto sana kumbe wananchi hatuwataki, watu wanamtaka jpm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawakatae wanyarwanda wenzako
Lazima tutawarudisha kwenu mkapambane na Gachachakwahio saaahv mmeamua kutumia gia ya rwanda tutaelewana tu baaada ya uchaguzi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
vumilieni maaana mlikua mna moto sana kumbe wananchi hatuwataki, watu wanamtaka jpm
asante kwa uandishi mrefuuuuuuuuuuuuuuuu sana: maoni ya wananchi haya apa
izi ngonjera za jamii forum ziishe sasa mnaandika sana
Nasema hivi ni bora Nchi ingie kwenye machafuko kuliko kuwakabizi nchi wapinzani.Sisi tumechoka. Nafikiri ccm itakomaa tu kubaki madarakani. Ila mwaka huu tutegemee nchi za wenzetu wakiongozwa na Kenya kuja kulinda amani hapa. Ule mwisho wa kulialia umeisha. Tutauwasha moto kama ilivyokuwa Serbia kipindi cha Slobodan Milosevic. Watu wataishia kuburutwa mabarabarani.
Wale vijakazi wa uvcmm mbona walishtukiwa mapema mpaka picha zao ziliwekwa mitandaoni nakuuliza tena wewe unaishi sayari gani mbona kama mgeni duniani.
Akili zako bado huZIjui km hao walikuwa wanachama wa CCM
Ndoto hizoSioni namna Magufuli atamshinda Lissu mwaka huu
Hahahahah Vijana wa ufipa bwana, Wewe jamaa kwenye uchaguzi uliopita si uliweka ahadi kwamba endapo Lowassa angeshindwa ungekuwa tayari kugeuzwa kinyume na maumbile , vipi ahadi hiyo uliitekeleza au ulishindwa.Wanafikiri watapedwa kwa kujenga madaraja .....watanzania wanataka maendeleo ya watu si vitu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haya ufipa guys endeleen kuotaWasalaam wajumbe wa jukwaa hili!
Naomba kudeclear kabisa kua mimi ni Mwanaccm toka 1997, nachozingumzwa hapa naomba nisipelekwe ufipani.
Ninachoshangaa na wanaccm wenzangu kujawa hopes kua tunaweza kushinda uchaguzi huu kwa urahisi hivyo, naomba ni waambieni kwa ushahidi huu kua Lissu ni kisiki kizito mara 10 ya Dr Slaa wa 2010 au LOWASSA wa 2015.
KWANINI LISSU ANAWEZA KUSHINDA?
Nikikumbuka na ya kuyafikiria haya ninashauri kabisa CCM tusibweteke na kujisahau.
1.Mwaka 2010 Tundu Lissu aliwahi kushinda ubunge katikati ya ngome ya CCM mkoa wa Singida na kujinyakulia Jimbo la Singida mashariki huku akiwa na madiwani 3 tu kati ya 17. Awamu iliyofuata 2015 alishinda tena na kuchukua kata 16 za madiwani akipoteza 1 tu.
2. Kuna wabunge wa CHADEMA wenye kauli kali sana za kujiamini na zisizoogopa mtu kama vile Mbowe, John Mnyika, John Heche,Godbless Lema na Halima Mdee, tujiulize kama kweli watanzania hawapendi kauli kali kwanini wabunge hawa mpaka leo hawajawahi kushindwa kwenye majimbo yao?
Kama watanzania wanapenda kauli za ukali basi Lisu anaweza kutoboa na lazima tufahamu kua ukali wa Lissu na Dr Mafufuli ni tofauti kidogo, Lissu anazidi kidogo ukali na Ukali wake ni unaambatana na sequences zenye facts za kisheria na hivi ni mtaalam wa sheria.
3. Kwanini hatuelewi kuwa Lissu ni mwanasheria mbozi, huu ushindi wa mezani wa kupita bila kupingwa tunajua atawashauri na kuwasomesha nini wagombea wa ubunge na udiwani?
Badala ya sisi kuweka mapingamizi basi tutakuta wao wametujazia mapingamizi.
Mkitaka kulijua hili muulizeni kuja jamaa moja anaitwa Wilson Nkhambaku mwaka 2010 alipohama CCM na kujiunga CHADEMA jimbo la Singida Magharibi baada ya kuonewa kwenye kura za maoni ccm, tulikimbilia kumwekea pingamizi lakini alichokifanya Lissu tunakijua mpaka huyo jamaa kupewa nafasi ya kugombea?
4.Niwaambieni kua Tundu Lissu ni zaidi ya jeuri kwenye mikakati ya uchaguzi, huyu ndiye aliyewashauri CHADEMA wenzake kua muda umeenda waachane na kulia na tume huru ya uchaguzi, aliwaambia "Tutashinda kwa tume hii hii pamoja na mapungufu yake".
Je, kuna nini hapo?
5.Jimbo la Singida Mashariki ni moja ya majimbo mengi Tanzania ambalo madiwani wake wote ni CHADEMA, Pamoja na jimbo kuchukuliwa Lissu akiwa ICU na kupewa Jamaa yetu moja wa CCM aitwaye Miraji Mtaturu lakini hakuna diwani hata mmoja aliyeunga mkono juhudi, tunajua Lissu aliwaambia nini?
Tukubali tuukatae ni lazima tuelewe kua uchaguzi huu wa mwaka huu siyo wa kawaida.
Sawa kumbe kwako it is a big newssi ndo maaana mwandishi akahoji watu mbali mbali na wote msimamo wao ni hatuwataki
Hawa siyo wananchi, ni wachumia tumbo wa uvccm wanaolipwa kutumika kwa propaganda
Sawa kumbe kwako it is a big news
If you do no know wahere you are going any road will take tou therethen muache kelele
Akili zako bado huZIjui km hao walikuwa wanachama wa CCM
Hakuna cha kujiandaa kisaikolojia ,tuanawasubiria yule Mbwa aliyetoka Ubeligiji awaingize barabarani tuwafyatue yaani tuwatembezee kipigo cha Mbwa mwizi.Jiandaeni kisaikolojia
kama hujawahi kuona watu wanafanya kampeni uku wanazomewa ndo cdm sasa mwaka huu, wananchi hatuwataki
Umenikumbusha wakati Mh Lissu akiwania kuwa M/Kiti wa Tanganyika Law Society (TLS) jinsi ccm ilivyohangaika kuhakikisha hashindi lkn matokeo yake hata wale Mawakili wa upande wa ccm walimpigia Mh Lissu kura na hivyo kuibuka mshindi.Wasalaam wajumbe wa jukwaa hili!
Naomba kudeclear kabisa kua mimi ni Mwanaccm toka 1997, nachozingumzwa hapa naomba nisipelekwe ufipani.
Ninachoshangaa na wanaccm wenzangu kujawa hopes kua tunaweza kushinda uchaguzi huu kwa urahisi hivyo, naomba ni waambieni kwa ushahidi huu kua Lissu ni kisiki kizito mara 10 ya Dr Slaa wa 2010 au LOWASSA wa 2015.
KWANINI LISSU ANAWEZA KUSHINDA?
Nikikumbuka na ya kuyafikiria haya ninashauri kabisa CCM tusibweteke na kujisahau.
1.Mwaka 2010 Tundu Lissu aliwahi kushinda ubunge katikati ya ngome ya CCM mkoa wa Singida na kujinyakulia Jimbo la Singida mashariki huku akiwa na madiwani 3 tu kati ya 17. Awamu iliyofuata 2015 alishinda tena na kuchukua kata 16 za madiwani akipoteza 1 tu.
2. Kuna wabunge wa CHADEMA wenye kauli kali sana za kujiamini na zisizoogopa mtu kama vile Mbowe, John Mnyika, John Heche,Godbless Lema na Halima Mdee, tujiulize kama kweli watanzania hawapendi kauli kali kwanini wabunge hawa mpaka leo hawajawahi kushindwa kwenye majimbo yao?
Kama watanzania wanapenda kauli za ukali basi Lisu anaweza kutoboa na lazima tufahamu kua ukali wa Lissu na Dr Mafufuli ni tofauti kidogo, Lissu anazidi kidogo ukali na Ukali wake ni unaambatana na sequences zenye facts za kisheria na hivi ni mtaalam wa sheria.
3. Kwanini hatuelewi kuwa Lissu ni mwanasheria mbozi, huu ushindi wa mezani wa kupita bila kupingwa tunajua atawashauri na kuwasomesha nini wagombea wa ubunge na udiwani?
Badala ya sisi kuweka mapingamizi basi tutakuta wao wametujazia mapingamizi.
Mkitaka kulijua hili muulizeni kuja jamaa moja anaitwa Wilson Nkhambaku mwaka 2010 alipohama CCM na kujiunga CHADEMA jimbo la Singida Magharibi baada ya kuonewa kwenye kura za maoni ccm, tulikimbilia kumwekea pingamizi lakini alichokifanya Lissu tunakijua mpaka huyo jamaa kupewa nafasi ya kugombea?
4.Niwaambieni kua Tundu Lissu ni zaidi ya jeuri kwenye mikakati ya uchaguzi, huyu ndiye aliyewashauri CHADEMA wenzake kua muda umeenda waachane na kulia na tume huru ya uchaguzi, aliwaambia "Tutashinda kwa tume hii hii pamoja na mapungufu yake".
Je, kuna nini hapo?
5.Jimbo la Singida Mashariki ni moja ya majimbo mengi Tanzania ambalo madiwani wake wote ni CHADEMA, Pamoja na jimbo kuchukuliwa Lissu akiwa ICU na kupewa Jamaa yetu moja wa CCM aitwaye Miraji Mtaturu lakini hakuna diwani hata mmoja aliyeunga mkono juhudi, tunajua Lissu aliwaambia nini?
Tukubali tuukatae ni lazima tuelewe kua uchaguzi huu wa mwaka huu siyo wa kawaida.
Ndoto hizo