Uchaguzi 2020 Ipo mifano hai kuwa Lissu atashinda Urais 2020, CCM tusijipe matumaini nawaambieni

Kawakatae wanyarwanda wenzako

πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚

vumilieni maaana mlikua mna moto sana kumbe wananchi hatuwataki, watu wanamtaka jpm
 
Wahamiaji haramu wote lazima tuwarudishe kwenu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

vumilieni maaana mlikua mna moto sana kumbe wananchi hatuwataki, watu wanamtaka jpm
 
Nasema hivi ni bora Nchi ingie kwenye machafuko kuliko kuwakabizi nchi wapinzani.

Naamini baada ya machafuko hii mikwara itafikia itaisha.
 
Wale vijakazi wa uvcmm mbona walishtukiwa mapema mpaka picha zao ziliwekwa mitandaoni nakuuliza tena wewe unaishi sayari gani mbona kama mgeni duniani.


izo info tulizijua mapema sana lakini wananchi walihojiwa baada ya hapo: si wamesema hawamtaki unalazimisha nn
 
Wanafikiri watapedwa kwa kujenga madaraja .....watanzania wanataka maendeleo ya watu si vitu.
Hahahahah Vijana wa ufipa bwana, Wewe jamaa kwenye uchaguzi uliopita si uliweka ahadi kwamba endapo Lowassa angeshindwa ungekuwa tayari kugeuzwa kinyume na maumbile , vipi ahadi hiyo uliitekeleza au ulishindwa.

Kwa ufupi ni bora Tanzania igeuke kuwa Libya kuliko kuwakabizi nchi wapinzani ...Yaani bora kuvunja miguu nyumbu 1,000,000 kuliko kuwakabizi Nchi hawa wapuuzi .
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haya ufipa guys endeleen kuota
 
Makelele anayopiga lisu ndio ashinde? Kweeli wapinzani mnasafari ndefu.
 
Jiandaeni kisaikolojia
Hakuna cha kujiandaa kisaikolojia ,tuanawasubiria yule Mbwa aliyetoka Ubeligiji awaingize barabarani tuwafyatue yaani tuwatembezee kipigo cha Mbwa mwizi.
 
Umenikumbusha wakati Mh Lissu akiwania kuwa M/Kiti wa Tanganyika Law Society (TLS) jinsi ccm ilivyohangaika kuhakikisha hashindi lkn matokeo yake hata wale Mawakili wa upande wa ccm walimpigia Mh Lissu kura na hivyo kuibuka mshindi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…