baadhi ya watu wanaomjua in person wanasema ni muongo muongo, kuna sehem mbowe aligusia pia jamaa ni muongo so nkaunganisha dotsKwamba LISU ni Muongo? Na umepata hizi taarifa kutoka kwa watu wake karibu? Au sijakuelewa Mkuu!
Na wewe umethibitisha vipi hao waliokupa hizo taarifa kama si waongo?
Hukusu FAM kuwa Busara nakuunga mkono Mkuu
Ngoja tuone 21.01.2025baadhi ya watu wanaomjua in person wanasema ni muongo muongo, kuna sehem mbowe aligusia pia jamaa ni muongo so nkaunganisha dots
Inakuuma sana kwa Mtanzania mwenzako kusafiri abroad mna roho mbaya sana.kwahio we mchawi lissu akikimbia akawaacha solemba itakuaje
Wajanja wako Diaspora unajifananisha na wewe unaeishi kwa shemeji yako Kiomboi.jobless young youths waliosmua kutupa karata yao kwa Lisu km mkombozi wao akipata nafasi baada ya ccccccm kuwapuuza.
Mimi sio mwana chadema ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na lissu husema kwamba lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana
Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,
Pia kuna tabia ya lissu ya kukimbia amsterdam sjaelewa kama wanaomuunga mkono lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
ila lissu hua anawakimbia anaenda nje ya nchi
Mbowe must goMimi sio mwana chadema ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na lissu husema kwamba lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana
Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,
Pia kuna tabia ya lissu ya kukimbia amsterdam sjaelewa kama wanaomuunga mkono lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
Hauna taarifa wewe hizi ulizoandika ni porojo tu PumbaaNmeongelea kwa taarifa ndogo nlizonazo, kuhusu mbowe sina taarifa zake sana za karibu ila if thats the case mnachaguaje mt muongo?
Hahahaaa kwamba chama kife ila Lissu ndio mnamtaka. AiseeNi bora chama kikafa ,tunamtaka lissu
Heading isomeke too late sio very late.Mimi sio mwana chadema ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na lissu husema kwamba lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana
Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,
Pia kuna tabia ya lissu ya kukimbia amsterdam sjaelewa kama wanaomuunga mkono lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
Chadema itamkumbuka Mbowe kwa Rushwa ya ngono kwa viti maalum itamkumbuka kwa wizi wake wa pesa za chama kisha kuzitakatisha kwa visingizio kuwa alikikopesha chama madeni hewa, atakumbukwa kwa kumteketeza wangwe, zito, atakumbukwa kwa kuunda kamati za Roho mbaya kama alivyounda kamati ya Roho mbaya ya sasa chini ya mdee, Boniface , wenje, wewe na wengine wenzenu kwa ajili ya kumdhoofisha LisuMimi sio mwana chadema ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na lissu husema kwamba lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana
Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,
Pia kuna tabia ya lissu ya kukimbia amsterdam sjaelewa kama wanaomuunga mkono lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
Mbowe ni mwizi kama wezi wengineHahahaaa kwamba chama kife ila Lissu ndio mnamtaka. Aisee
Mbowe atakumbukwa kwa mengi ya hovyo ukitaka kujua uchafu wa mbowe kamuulize Dr SlaaHeading isomeke too late sio very late.
doesn't sound good, though maana inaeleweka!!ππ
Mbowe atakumbukwa kwa ya hovyo mengi aliyofanyaUkikaa madarakani 20+ unachokwa hata uwe nabii.