Ipo siku CHADEMA watamkumbuka Rais Samia na kuelewa dhamira yake ya kuwatumikia Watanzania kwa uzalendo na upendo

Mama Samia Hazuiliiki katika uchaguzi ujao, Mama Samia Ni Kama maji Usipoyanywa utayaoga tu
 
Mama Samia Hazuiliiki katika uchaguzi ujao, Mama Samia Ni Kama maji Usipoyanywa utayaoga tu
Aya bwana ,Kati ya SSH NA MUNGU nani mkubwa? Kati ya Serikali ya ccm na Mungu nani mkubwa?

Kati ya vyombo vya Dola na Mungu nani mkubwa?

Kati ya wafuasi wa ccm na Mungu nani mkubwa?

Jiandae dholuba kali chini ya jua inakuja juu ya ccm , sio mwanadam yeyote ataweza izuia , nasema hili KWa ujasili mkubwa Sasa maana najua wapi natoa huu ujasili, umeelewa Lucas , wambie Hali ilivyo viongozi wako na WENDA ukabarikiwa , thanks
 
Majitu mengine hayakustahili kuwepo Tanzania
 
Chadema? [emoji28][emoji28].How in hell have you managed to get them into this conversation.. Jamiiforums imekua ze komedi siku hizi..
Usiilaumu jf,laumu members wa jf ambao akili zao zimeshikwa na kutu ya njaa kama mleta mada.
 
Kwao hao machawa bila kuitaja cdm hawapewi posho
 
Jamaa unaandikaga maandishi mengi ila pointi moja.Badilika.
 
Upo huru nawe kuandika hayo ili Nasi tuone mchango wako na kuchangia maana mimi peke yangu siwezi kuandika kila kitu na kumridhisha kila mtu
Njaa imkupanda kichwani sasa ueamua kuramba miguu
 
unaandika bila utafiti wowote kisa umeandika? my friend labda ukawadanganye huko simiyu
jana nilikuhoji maswali ya kitafiti nikaona umekimbia...... nikajua ni zao la shule zetu/vyuo vyetu vya kata
Tangu lini waramba miguu wakawa na majibu kwenye mambo ya msingi?
 
Ujumbe mzuri sana hasa kwa hao waramba miguu
 
Mama yetu mpendwa mama Samia anataka watanzania wote tushiriki katika ujenzi wa Taifa letu,Hataki kuona mtu yoyote anabaki nyuma Wala kuachwa nyuma, anataka wote tujivunie Taifa letu na tujione Fahari kuzaliwa Tanzania
Yani tuone fahari kulala giza, maji hakuna, kubebeshwa mizigo ya tozo zisizo na idadi na kupanda kwa gharama za maisha mara dufu hivi ni vyva kuona fahari au kutumika kumwondoa madarakani mara moja?
 
Punguza ushamba wewe chawa
 
Una matatizo Fulani.
Huo uzalendo ni upi au huo unawapa kupambana asali pesa za misaada zinapigwa kila kukicha, Rushwa imerudi palepale, umeme wanakata kila Leo! Maji ndio hatusemi japo sifa kibao eti wametua kina mama ndio!
Maofisini utendaji umeshuka, Wizara ya Ardhi wamerudi kuwapiga wananchi ulitaka huduma ni pesa.

Mleta mada hivi unayaona au umepewa asali kuleta huu uzi???
 
Tangu lini waramba miguu wakawa na majibu kwenye mambo ya msingi?
jamaa ukimuuliza mambo ya msingi anakimbia mf. anasema wana simiyu wanamkubali
nikamuuliza
aliongea na wangapi?
aliwapataje?
wana umri gani na kiwango gani cha elimu? lengo la kuongea nao lilikuwa nini?
dodoso la maswali lipo wapi?
kakimbia
 
Kwao hao machawa bila kuitaja cdm hawapewi posho

Huyu jamaa ndio kama Yule Naibu waziri ambae akiona mzungu hata kama sio mtalii anasema thank you mama Samia Kwa royol tour hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…