Ipo siku Lissu atadondoka na kuumia vibaya sana kwenye Meza anazoandaliwa na CHADEMA atumie kama "Jukwaa"

Lucas Mwashambwa acha kuchungulia madirishani nyumba za jirani zako, utajipunguzia heshima ya ndoa.
 
Hebu nikuulize swali,usalama wa jukwaa na yule RC anaesema watu wametumwa kummaliza wamepewa milioni 6 kipi kina tija?

Kumbuka huyu bwana alikataa jukwaa zuri akakimbilia kuhutubia juu ya gari akiwa mwenezi.

Unazima mtoto kwa jirani kwako kunaungua
 
Nimewapeni tahadhali ili msije anza kuomba michango
Ungeenda ofisi ya CDM makao makuu kwa maandamano kukabidhi taarifa ya onyo/kuonea huruma.
NB;Muda huo wa huruma ungeutumia kukuna kisogo na pua huku unatafuta majibu ya hoja na maswali yake yanaoyojitokeza aongeapo.Mambo ya majukwaa achia seremala.Anaweza kuhutubia akiwa hadi amelala ili mradi asikike na ujumbe tarajiwa uwafikie walengwa.
 
Lissu akiwa na mkutano eneo lako, familia yako inakula chakula kwenye mkeka, meza inabebwa kupelekwa mkutanoni
 
Hakuna hoja anayotoa Lissu inayohitaji majibu kutoka serikalini .zaidi CHADEMA ndio mnatakiwa mjibu tuhuma anazokituhumu chama kutumia rushwa katika uchaguzi
 
Hebu nikuulize swali,usalama wa jukwaa na yule RC anaesema watu wametumwa kummaliza wamepewa milioni 6 kipi kina tija?

Kumbuka huyu bwana alikataa jukwaa zuri akakimbilia kuhutubia juu ya gari akiwa mwenezi.

Unazima mtoto kwa jirani kwako kunaungua
Umejibu vitu visivyoendana kabisaa.
 
Hakuna hoja anayotoa Lissu inayohitaji majibu kutoka serikalini .zaidi CHADEMA ndio mnatakiwa mjibu tuhuma anazokituhumu chama kutumia rushwa katika uchaguzi
Sasa kama hata uwezo wa kung'amua hoja au maswali hauna,nitakusaidiaje?Hayo ya wanaCHADEMA na tuhuma zao,watajibu wao.Mimi siyo mCHADEMA.
 
Ikitokea utakuwepo mkono wa chawa mmoja maarufu kama muuza hili wazo lenye mashaka🫠
 
Chadema kilisha kufa 2015 hiki kinachoendelea ni process tu za kuzika chama chao
 
Ach
Acha ulozi wewe!
 
Kamshindwa Lissu mwenyewe,kahamia kwenye miundo ya vijukwaa.Mara ijayo atahamia kwenye miwani na aina yake ya unyoaji wa nywele.
Endeleeni kuleta mzaha ila siku yakitokea msije anza kusema mmehujumiwa .maana ninyi nafahamu namna alivyo wavivu wa kutumia akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…