Ipo siku tutajenga sanamu ya Hayati Magufuli na kufungua Maktaba yake ili vizazi vijifunze Uzalendo

Sawa kabisa ,
lkn kumbuka kua mchuma janga hula na WA kwao.
 
Wenyewe wanamuita shujaa wa Afrika
Hana ushujaa wowote bana.
Mtesi wa watu.
Katika Hali ya kawaida mtu mmoja huwezi kua kocha,golikipa,beki,mchezaji,refalii,mshika kibendera na mshangiliaji.

Nikikumbuka

Wapinzani nchi nzima walishindwa au kukosea kujaza fomu za uchaguzi,Tena wengine walishakua wabunge ama madiwani kabla,nachoka kabisa.

Wapinzani kutekwa wakirudisha fomu zao nachoka kabisa.

Wapinzani kushindwa ubunge nchi nzima nachoka kabisa.

Shujaa anawagawa raia wake na kupandikaiza chuki?

Nyerere aliwaunganisha watanganyika nchi nzima,aliwafanya wahaya wakafanyw kazi mtwara na wamakonde wakafanyw kazi Tanga,wasukuma wakafanye Kilimanjaro na wachaga Mara,alivunja ukabila na kiwafanya watanganyika wajione Kila mkoa ni wao.
Leo anakuja mtu anaanza kubagua watu wake anaowaongoza.
Mfano wabomolee watu wa Kimara lakini watu wa Mwanza usiwabomolee.
pia alowaagiza watu wake wasipeleke maendeleo Huku kwa sababu wamechagua mpinzani

Aisee Mimi ni msukuma lkn yule bwana wala hakunishawishi kabisa.
 
Nyie mamburula ndio hamuwezi kumkumbuka 🤣🤣🤣
Shilingi Ina pande mbili ndugu,
Kama wewe alikufaa,Kuna wengine walikufa.

Isifikiri ukimpenda wewe wote watampenda.
Ukimuona anafaa wengine wanamuona hafai.


Kwa kifupi aliharibu na ameshaharibu maisha ya wafanyakazi, wafanyabiashara na wakulima.

Kumbuka ukipandisha mishahara ya wafanyakazi kwa mujibu wa muundo na utaratibu wa kiutumishi kama ulivyowekwa na watangulizi wake ni kuinua maisha wa watanzania wote.
Kwa sababu mkulima na mfanya biashara watafaidi na maisha Yao yatakua Bora.

Sasa hivi katengeneza gepu kubwa mno la kipato atakacho enda kulipwa mfanyakazi aliekuwepo wakati wa Jiwe atakapo staafu.

Wafanyakazi wengi walitumikia nchi kwa uaminifu wakitegemea mishahara TU.huyu amistaafu atastaafu na mafao kidogo sana kwa sababu mshahara wake haukupanda kwa Mika mitano ya Jiwe.
Kumbuka wengi wetu hapa Tanzania ni watoto wa ama waalimu,manesi na watumishi wengine wa uma.

Mfanyakazi akipata mshahara anaenda kwa mfanyabiashara kununua magitaji,mfanyabiashara akiishiwa bidhaa anaenda kununua kwa mkulima hii inaitwa mzunguko wa pesa.
je huoni hapa maisha ya mtanzania yalivunjwa kwa akili za mtu mmoja TU?
Je huyo ni shujaa ama dharim?
 
Umeandika message ndefu nonsense
Kwa hiyo sasa hivi kuna unafuu gani wa maisha
Mimi mwenyewe ni mtumishi mbona sijaona cha maana labda kwa wabunge ndio kuna unafuu maana wameongezewa mshara wa maana kutoka milioni 12 hadi milion 16.5
Sisi watumishi tumeongezewa elfu 20 sasa huyo elfu ishirii nayo ni ya kutamba mmeongeza mshahara

Bora Kipindi cha Magufuli tuliona miradi mingi inafanyika sasa hivi sijaona mradi mpya wa maana mingine alivyofariki tu Magufuli na yenyewe imekufa mfano mradi wa mwendokasi mbezi kibaha hao watangulizi wake wangekuwa wamefanya la maana nchi isingekuwa maskini hadi leo.

Nyie mna chuki binafi sio za kujenga na maendeleo tunajua wengi wenu mnaomchukia mlikuwa wapiga dili,vyeti feki,wengine mnatumwa kumchafua hasa hapa Jf lakini kwa taarifa yenu na yanayoendelea sasa hivi wananchi tutaendelea kumkumbuka sisi na vizazi vijavyo mnahangaika sana🤣🤣🤣🤣
 
Binadamu huwezi kuwafurahisha watu wote lakini muhimu kuliko vyote kuhakikisha unachukia maovu na kutetea wanyonge.
Kwasasa je,wanyonge wanasaidiwa? au hata kupewa matumaini? Kama jibu ni ndiyo basi tunaelekea kwenye mafanikio.
Je,Mafisadi wezi wa Mali za Umma wanashughurikiwa ipasavyo?basi hata kukemewa tu inatosha.
Watumishi wanaibiwa hawalipwi stahiki zao matokeo yake wanatengeza mfumo wa kuwaibia wananchi wasio na hatia.
Inawezekana JPM alikuwa mbaya lakini kwa hali inayoendelea ni bora kuwa na mbaya kuliko kuwa na mzuri wa aina hii?
 
Bila Magufuli makao makuu dodoma kingebaki kuwa kitendawili daima!!! SGR ingebaki kuwa ndoto!! na bwawa la mwalimu Nyerere (Stigler's George hydroelectric power) lingebaki kuwa ndoto ya mchana daima!! Hii miradi yote ilikuwapo kwenye makaratasi lakini hakuna aliyekuwa na uthubutu wa kuianza!! Hapo ndipo wapinzani wa Magufuli wanapogeuka kuwa wapole ghafla!!
 
Magufuli angekuwepo saizi tungekuwa tunashuhudia ujenzi wa barabara ya njia 4 kuanzia mail Moja mpaka chalinze ama Morogoro.
 
Sasa mwenye vyeti feki ulitegemea nini
 
Huwezi kumkumbuka wewe peke yako malaya unaefumuliwa malinda. Ila wazalendo wanamkumbuka kila leo. Bandari isingeuzwe kifala namna hii shwaini mkubwa. Kavae bikini uendelee kuliwa
Bandari ipi imeuzwa wewe lofa toka Chato? Weka risiti hapa kuthibitisha
 
Yule mpuizi ajengewe sanamu eti shujaa alichoma nyavu zetu kwa kutuonea na alikuwa nauwa elimu yetu kafirisi mifuko yote kwa kweli mungu amlani kabisa mwizi yule
 
Yule mpuizi ajengewe sanamu eti shujaa alichoma nyavu zetu kwa kutuonea na alikuwa nauwa elimu yetu kafirisi mifuko yote kwa kweli mungu amlani kabisa mwizi yule
Wewe ndui jambazi la majini na makao makuu yenu pale Kirumba mtaa wa Ghana unathubutu kutoa maneno ya kufuru kwa jabali?
 
Huwezi kumkumbuka wewe peke yako malaya unaefumuliwa malinda. Ila wazalendo wanamkumbuka kila leo. Bandari isingeuzwe kifala namna hii shwaini mkubwa. Kavae bikini uendelee kuliwa
Mtoto wa malaya wewe, unachojuwa ni matusi tu uliyorithi kutoka kwa mama yako.
 
Mzilankende Mnyago
Chuma , Jiwe, Ngosha
Baba Jesca
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…