Ipo siku Yanga ikitwaa CAFCL Simba watasema washatwaa pia hilo kombe, tuweni nao makini

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Yanga baada ya kuonekana anaenda semi final simba wakatoka huko waliko wakasema washawahi cheza fainal ya Confederation Cup inachekeshesha sana.

Hivi niulize nani anauzi au ana taarfa inayosema simba ishacheza Fainali iliyosemwa almost 2 months ago au hata mwezi mmoja uliopita kama kuna taarfa inayosema simba ishawahicheza Confederation Cup Finali anionyeshe hapa.

Yani wamekaa wakaona Yanga kavunja mwiko kavuka Robo so hayana cha kujivunia tena yakaibua swala eti yashawahi cheza fainali ya hili kombe yani hili swala limeibuka juz tu ila mwez mmoja nyuma halikuepo na yalikua full kujivunia ashafika Robo.

Yani taarfa za makolo zipo kama ugunduzi wa madini hazijulikan zinaibuka tu shwaaa. Nikawaza kama hawa wamekuja na hili ambalo mwez mmoja walikua hawalisemi coz walikua wanajua Yanga ni kama wao hawezi vuka robo amevuka yameshindwa kujitetea yamekuja na issue eti yashawahi cheza fainal๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ipo siku Yanga akitwaa Caf Champions League kabla ya Simba yatasema yashawahi twaaa Nayo tuwen makini.
 
TATIZO mmeamza kushabikia mpira JUZI.

Mmeamza kushabikia mpira Baada ya kuingia Betting.
Instagram.
Facebook.
TikTok nk.

Sisi tulianza kufuatilia mpira zamani tunajua Simba AMECHEZA Fainali ya kombe la washindi CAFCC 1993.

AMECHEZA nusu Fainali ya CAFCL 1974.

ENDELEENI KUDANGANYWA NA YULE ALIYESEMA HAMNA AKILI ALAFU MMEMPOKEA.
 
Kibuuuuuu....
Pole sana Simba baba lao

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Huu upotoshaji umeshajibiwa kwenye ule uzi mwingine,naona Bado unaendelee na upotoshaji wako
 
Hayo yote mbona mlikua hamsemi.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Taarfa zenu mnapewa na kijana wa Morogoro halaf mnajiona mnajua eti mmeanza zaman kushabikia mpira.
#๐ŸฆCHIZI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ