Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama umeweza ku comment kweye uzi ambao hata hujasoma nani utumbo kati ya mimi na wewe?Tukisema mashabiki wa Yanga akili zao ndogo tunaambiwa tunawatukana. Huu uzi sijausoma ila hiyo heading ni utumbo mtupu
Kuna wakati heading tu inakuambia utumbo utakaousoma kwenye uzikama umeweza ku comment kweye uzi ambao hata hujasoma nani utumbo kati ya mimi na wewe?
Tena waliahidiwa Magari aina ya CHAI MAHARAGE na Azim dewj mfadhili wa simba kipindi kile.TATIZO mmeamza kushabikia mpira JUZI.
Mmeamza kushabikia mpira Baada ya kuingia Betting.
Instagram.
Facebook.
TikTok nk.
Sisi tulianza kufuatilia mpira zamani tunajua Simba AMECHEZA Fainali ya kombe la washindi CAFCC 1993.
AMECHEZA nusu Fainali ya CAFCL 1974.
ENDELEENI KUDANGANYWA NA YULE ALIYESEMA HAMNA AKILI ALAFU MMEMPOKEA.
Mkuu jibu hoja za mleta mada.AsikilizweTATIZO mmeamza kushabikia mpira JUZI.
Mmeamza kushabikia mpira Baada ya kuingia Betting.
Instagram.
Facebook.
TikTok nk.
Sisi tulianza kufuatilia mpira zamani tunajua Simba AMECHEZA Fainali ya kombe la washindi CAFCC 1993.
AMECHEZA nusu Fainali ya CAFCL 1974.
ENDELEENI KUDANGANYWA NA YULE ALIYESEMA HAMNA AKILI ALAFU MMEMPOKEA.
Ipo inakujaTusubiri hiyo siku
Okay shabiki la Team ya Robo..subirin wachukue ndoo wwnzenu nyie endeleeni kufa kiumeTena waliahidiwa Magari aina ya CHAI MAHARAGE na Azim dewj mfadhili wa simba kipindi kile.
Kama wangechukuwa ndoo..kila mchezaji angepewa gari ambazo ndy zilikuwa daladala kwa kipindi kile..
Nimegunduwa kwamba mashabiki wengi wa Yanga ni wale mashabiki OYAA OYAA ambao hawana wanalojuwa Zaidi ya kufata mkumbo.
Yanaruka na kukanyagana MkuuMkuu jibu hoja za mleta mada.Asikilizwe
Yanaruka na kukanyagana Mky
aan wanapanic kwa vitu vidogo sana sijui kwanini.
Historia haifutiki kwa unafiki......walipo Yanga hivi sasa Simba walishapita hapo, wao walifika fainali. Yanga hatujuwi hatma yao kwani wako nusu fainali. Tatizo la vijana waliozaliwa 2005 kama msemaji wa Yanga ni hili, wanaamini ya jana na hawasomi ili kujuwa zaidi.Yanga baada ya kuonekana anaenda semi final simba wakatoka huko waliko wakasema washawahi cheza fainal ya Confederation Cup inachekeshesha sana.
Hivi niulize nani anauzi au ana taarfa inayosema simba ishacheza Fainali iliyosemwa almost 2 months ago au hata mwez mmoja uliopita kama kuna taarfa inayosema simba ishawahicheza Confederation Cup Finali anionyeshe hapa.
Yani wamekaa wakaona Yanga kavunja mwiko kavuka Robo so hayana cha kujivunia tena yakaibua swala eti yashawahi cheza fainali ya hili kombe yani hili swala limeibuka juz tu ila mwez mmoja nyuma halikuepo na yalikua full kujivunia ashafika Robo.
Yani taarfa za makolo zipo kama ugunduzi wa madini hazijulikan zinaibuka tu shwaaa.
Nikawaza kama hawa wamekuja na hili ambalo mwez mmoja walikua hawalisemi coz walikua wanajua Yanga ni kama wao hawez vuka robo amevuka yameshindwa kujitetea yamekuja na issue eti yashawahi cheza fainal😂😂
Ipo siku Yanga akitwaa Caf Champions League kabla ya Simba yatasema yashawahi twaaa Nayo tuwen makini.
#🦁MACHIZI
Huko wenye akili ni wawili tu
Ulikua na Umri gani?Historia haifutiki kwa unafiki......walipo Yanga hivi sasa Simba walishapita hapo, wao walifika fainali. Yanga hatujuwi hatma yao kwani wako nusu fainali. Tatizo la vijana waliozaliwa 2005 kama msemaji wa Yanga ni hili, wanaamini ya jana na hawasomi ili kujuwa zaidi.
Kwa hiyo mmeishaingia nusu mara mbili kumbe mbona mlikua hamsem before younger kufikia hiyo hatuaTATIZO mmeamza kushabikia mpira JUZI.
Mmeamza kushabikia mpira Baada ya kuingia Betting.
Instagram.
Facebook.
TikTok nk.
Sisi tulianza kufuatilia mpira zamani tunajua Simba AMECHEZA Fainali ya kombe la washindi CAFCC 1993.
AMECHEZA nusu Fainali ya CAFCL 1974.
ENDELEENI KUDANGANYWA NA YULE ALIYESEMA HAMNA AKILI ALAFU MMEMPOKEA.
Miaka 18Ulikua na Umri gani?