Ipo timu ya Pro CCM ndani ya JF isiyoyumbishwa na muda, Rais Samia chapa kazi

Ipo timu ya Pro CCM ndani ya JF isiyoyumbishwa na muda, Rais Samia chapa kazi

Hii ni taarifa kwa wachumia tumbo wote na wafitini.

Ni muhimu tukawaelewesha kuwa timu yetu huwa haibadiliki na majira kwani ina one and only purpose.

Timu hii itasimama na CCM katika hali zote.

Timu hii hupewa majina mengi.

Timu hii inasimamia uzalendo.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Mm ni mmoja wa timu hii miaka yote
 
Back
Top Bottom