SMART GHOST
JF-Expert Member
- Feb 3, 2020
- 2,657
- 10,356
List iko poa, ila napinga kwa Jay Moe, Solo Thang na Ferooz. Ni wasanii wakali, ila hawakua na mafanikio makubwa plus longevity ya kuwaweka hapo.kwenye Bongo Fleva wakali wa muda wote list yangu ni hii
#1 Prof Jay
#2 Jay Moe
#3 Jay Dee
#4 Sir Nature
#5 Ferooz
#6 Solo Thang
#7 Dully Sykes
#8 Mangwea
#9 Mwana Fa
#10 Afande Sele
View attachment 2628772
Ipokee Hii Orodha Ya Wasanii 10 Bora Wa Muda Wote (Greatest Of All Time) Kwa Mujibu Wa #Billboard Huku #RIHANNA Akipata Bahati Ya Kuwa Msanii Mwenye Umri Mdogo Kwenye List Hiyo.
1. #TheBeatles
2. #Madonna
3. #EltonJohn
4. #ElvisPresley
5. #MariahCarey
6. #StevieWonder
7. #JanetJackson
8. #MichaelJackson
9. #WhitneyHouston
10. #Rihanna
Vipi Kibongo Bongo Uanweza Kuipangaje List Ya Wasanii Bora Wa Muda Wote?
Bila Bob Marley ni uzushi mtupuView attachment 2628772
Ipokee Hii Orodha Ya Wasanii 10 Bora Wa Muda Wote (Greatest Of All Time) Kwa Mujibu Wa #Billboard Huku #RIHANNA Akipata Bahati Ya Kuwa Msanii Mwenye Umri Mdogo Kwenye List Hiyo.
1. #TheBeatles
2. #Madonna
3. #EltonJohn
4. #ElvisPresley
5. #MariahCarey
6. #StevieWonder
7. #JanetJackson
8. #MichaelJackson
9. #WhitneyHouston
10. #Rihanna
Vipi Kibongo Bongo Uanweza Kuipangaje List Ya Wasanii Bora Wa Muda Wote?
Billibord mkuu...N
Bila Bob Marley ni uzushi mtupu
Billibord mkuu1. Bob Marley hayupo
2. Celine dion hayupo
3. Kama umaweka band, westlife hawapo
4. Abba hawapo,
And who the hell is janet Jackson in tjat list?
Billibord mkuuList haina hata Eminem, wako na akili kweli?
๐๐๐ค๐คList iko poa, ila napinga kwa Jay Moe, Solo Thang na Ferooz. Ni wasanii wakali, ila hawakua na mafanikio makubwa plus longevity ya kuwaweka hapo.
Kwa Jay Moe, weka Fid Q.
Kwa Ferooz weka Diamond.
Kwa Solo Thang weka Mr Blue.
๐คRihanna hapo weka Rude Boy
๐ค๐kwenye Bongo Fleva wakali wa muda wote list yangu ni hii
#1 Prof Jay
#2 Jay Moe
#3 Jay Dee
#4 Sir Nature
#5 Ferooz
#6 Solo Thang
#7 Dully Sykes
#8 Mangwea
#9 Mwana Fa
#10 Afande Sele
Naisubiri [emoji3][emoji851][emoji2]
Ngoja nipange ya kwangu...
NALIA NGWENA yupo wapi hapo!!
According to billboardWapi 2pac na Bob Marley?
๐๐๐Yupo anaelezea mambo ya kareti, kuvunja mbavu wakabaji na mambo ya bulombora jkt
Wametumia vigezo gani?Billboards NDIO wamepanga...
Mkuu kama Kuna ambao hawastaili tuwachomoee๐๐๐๐Wametumia vigezo gani?
Infact wakisema Msanii wa Music no1 Duniani ni YeyeItachukua karne kutokea msanii kama Michael Jackson pamoja na madhaifu yake