Ipokee hii Orodha ya Wasanii 10 bora wa muda wote Duniani (Greatest Of All Time)

Ipokee hii Orodha ya Wasanii 10 bora wa muda wote Duniani (Greatest Of All Time)

kwenye Bongo Fleva wakali wa muda wote list yangu ni hii

#1 Prof Jay
#2 Jay Moe
#3 Jay Dee
#4 Sir Nature
#5 Ferooz
#6 Solo Thang
#7 Dully Sykes
#8 Mangwea
#9 Mwana Fa
#10 Afande Sele
List iko poa, ila napinga kwa Jay Moe, Solo Thang na Ferooz. Ni wasanii wakali, ila hawakua na mafanikio makubwa plus longevity ya kuwaweka hapo.

Kwa Jay Moe, weka Fid Q.

Kwa Ferooz weka Diamond.

Kwa Solo Thang weka Mr Blue.
 
N
View attachment 2628772
Ipokee Hii Orodha Ya Wasanii 10 Bora Wa Muda Wote (Greatest Of All Time) Kwa Mujibu Wa #Billboard Huku #RIHANNA Akipata Bahati Ya Kuwa Msanii Mwenye Umri Mdogo Kwenye List Hiyo.

1. #TheBeatles
2. #Madonna
3. #EltonJohn
4. #ElvisPresley
5. #MariahCarey
6. #StevieWonder
7. #JanetJackson
8. #MichaelJackson
9. #WhitneyHouston
10. #Rihanna

Vipi Kibongo Bongo Uanweza Kuipangaje List Ya Wasanii Bora Wa Muda Wote?

View attachment 2628772
Ipokee Hii Orodha Ya Wasanii 10 Bora Wa Muda Wote (Greatest Of All Time) Kwa Mujibu Wa #Billboard Huku #RIHANNA Akipata Bahati Ya Kuwa Msanii Mwenye Umri Mdogo Kwenye List Hiyo.

1. #TheBeatles
2. #Madonna
3. #EltonJohn
4. #ElvisPresley
5. #MariahCarey
6. #StevieWonder
7. #JanetJackson
8. #MichaelJackson
9. #WhitneyHouston
10. #Rihanna

Vipi Kibongo Bongo Uanweza Kuipangaje List Ya Wasanii Bora Wa Muda Wote?
Bila Bob Marley ni uzushi mtupu
 
1. Bob Marley hayupo
2. Celine dion hayupo
3. Kama umaweka band, westlife hawapo
4. Abba hawapo,

And who the hell is janet Jackson in tjat list?
 
List iko poa, ila napinga kwa Jay Moe, Solo Thang na Ferooz. Ni wasanii wakali, ila hawakua na mafanikio makubwa plus longevity ya kuwaweka hapo.

Kwa Jay Moe, weka Fid Q.

Kwa Ferooz weka Diamond.

Kwa Solo Thang weka Mr Blue.
😃😃🤓🤓
 
kwenye Bongo Fleva wakali wa muda wote list yangu ni hii

#1 Prof Jay
#2 Jay Moe
#3 Jay Dee
#4 Sir Nature
#5 Ferooz
#6 Solo Thang
#7 Dully Sykes
#8 Mangwea
#9 Mwana Fa
#10 Afande Sele
🤓😃

Ngoja nipange ya kwangu...
 
Itachukua karne kutokea msanii kama Michael Jackson pamoja na madhaifu yake
 
Back
Top Bottom