Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 4,740
- 7,179
Nimepatikana, crown nilicheki makala flani youtube niliona quality nzuri, sjajua huko kwenye tv🤣Acha bhangi!
Crown media ndo walewale picha kama kivuli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimepatikana, crown nilicheki makala flani youtube niliona quality nzuri, sjajua huko kwenye tv🤣Acha bhangi!
Crown media ndo walewale picha kama kivuli.
Yaani ata 480i tumewapendelea. Highest Quality yao ni 360 pixels.Naunga mkono hoja comrade
na watangazaji wao waache kuvaa yale mashati na tai kwa kuchomekea kama wametoka kishumundu leo. wajifunze tu kwa azam na wengine.IPP Media mnaomiliki ITV, EATV, CAPITAL TV na Radio One tupeni Camera mnazotumia kushoot vipindi zimepitwa na wakati, nunueni Camera za 4K -6K, ubora wa vipindi vyenu unatia aibu
Mmechelewa kwenda na wakati, mbona hamtaki kubadilika? Kama ni fedha za kununua Camera hazipo hata kukopa Bank haiwezekani? Mbona mna assets nyingi tu za kipata mikopo mikubwa?
Mnachotakiwa kufanya ni ubora wa Video za vipindi vyenu kuwa na 4K-6K pia mtafute na Graphics Designer mzuri atengeneze longo zenu kwa ubora wa 4K-6K acheni kufanya mambo kienyeji
Inasikitisha sanaYaani ata 480i tumewapendelea. Highest Quality yao ni 360 pixels.
View attachment 3181841
Kumbuka hii Video ya YT ndio same quality na wanayorusha kwenye TV.
Kusema kweli wanatia aibu.
😃😃Nimefanya kazi ITV Miezi 9 nikaacha kumejaa wazee wabishi sana kuanzia upande wa sound hadi IT na graphics wamejaa wazee wa kichaga tu miyeyusho sana hao
Bado wapo kizamani sanaHawa wazee wa kichaga sijui wana balaa gani kama mmepanda Bus za Kilimanjaro mmeona muonekano wa ndani, jamaa wabishi sana ITV Video quality kama ya 2005
kuna mzee mmoja alikua anavaa shati suruali na ile mikanda inapita mabegani sjamuona miaka ya hivi karibuniNimefanya kazi ITV Miezi 9 nikaacha kumejaa wazee wabishi sana kuanzia upande wa sound hadi IT na graphics wamejaa wazee wa kichaga tu miyeyusho sana hao
Nilikimbia mkuu wabishi sanaKama ni wazee wa kichaga kimbia wale ni wabishi sana hawafai kuambia 😂
Vipi kuhusu mishahara kucheleweshwa, halafu kingine najiuliza Mzee Mengi si aliacha asset nyingi, kama bonite sahivi inauza soda nyingi sana, si wachukue hela waboreshe itvNimefanya kazi ITV Miezi 9 nikaacha kumejaa wazee wabishi sana kuanzia upande wa sound hadi IT na graphics wamejaa wazee wa kichaga tu miyeyusho sana hao
Mzee masawe au 😃😀😀kuna mzee mmoja alikua anavaa shati suruali na ile mikanda inapita mabegani sjamuona miaka ya hivi karibuni
Mishahara wanalipa kwa wakati mkuu naona labda wameona upande ule hauna faida kwa ITV ila upande wa eatv kule yule mwanae wa kike anasimamia vizuri sanaVipi kuhusu mishahara kucheleweshwa, halafu kingine najiuliza Mzee Mengi si aliacha asset nyingi, kama bonite sahivi inauza soda nyingi sana, si wachukue hela waboreshe itv
Nafikiri watoto wa mengi wanaona biashara ya tv bongo haina faida, so wanaacha kupeleka pesa huko Vincenzo Jr Mr Why
Kumbe nawe unakukwaza mkuu.IPP Media mnaomiliki ITV, EATV, CAPITAL TV na Radio One tupeni Camera mnazotumia kushoot vipindi zimepitwa na wakati, nunueni Camera za 4K -6K, ubora wa vipindi vyenu unatia aibu.
Mmechelewa kwenda na wakati, mbona hamtaki kubadilika? Kama ni fedha za kununua Camera hazipo hata kukopa Bank haiwezekani? Mbona mna assets nyingi tu za kupata mikopo mikubwa?
Mnachotakiwa kufanya ubora wa Video vipindi vya vyenu kuwa na 4K-6K pia mtafute na Graphics Designer mzuri atengeneze longo zenu kwa ubora wa 4K-6K acheni kufanya mambo kienyeji.