NGOSWE2
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 1,323
- 1,608
Si walisema kwa sasa tutakuwa tunaangalia full HD?Tatizo sio camera, tatizo ni wanarusha matangazo kwenye Standard Definition SD 480i.
Imagine, hafu mtu unaangalia kwenye TV ya 4K
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si walisema kwa sasa tutakuwa tunaangalia full HD?Tatizo sio camera, tatizo ni wanarusha matangazo kwenye Standard Definition SD 480i.
Imagine, hafu mtu unaangalia kwenye TV ya 4K
Ovyo kabisa.Picha chafu sana ndugu yangu kama za 2005
Sio kwamba ulikimbia mshahara ni kichekeshoNilikimbia mkuu wabishi sana
Hapana nilikimbia kwa sababu walinifanyia unafiki wazee waleSio kwamba ulikimbia mshahara ni kichekesho
Never outshine your MasterHapana nilikimbia kwa sababu walinifanyia unafiki wazee wale
Kuna baadhi ya watu wenye umri mkubwa ukifanya nao kazi unapojituma wanaanza kukuona unataka kuwafukuzisha kazi, mapema sana wanakuanzishia figisu. Mwishowe unatupa taulo na kuwaacha!Hapana nilikimbia kwa sababu walinifanyia unafiki wazee wale
rainfred masako "kipima joto wiki hii"Mzee masawe au 😃😀😀
Nilizani unasemea wale wa sound mkuurainfred masako "kipima joto wiki hii"
Mara ya mwisho nilimuona mwaka juzirainfred masako "kipima joto wiki hii"
Naunga mkono hoja mkuu inakatisha tamaa sanaKuna baadhi ya watu wenye umri mkubwa ukifanya nao kazi unapojituma wanaanza kukuona unataka kuwafukuzisha kazi, mapema sana wanakuanzishia figisu. Mwishowe unatupa taulo na kuwaacha!
Nilidhani ni ubovu wa macho yangu ndio maana sioni picha clearIPP Media mnaomiliki ITV, EATV, CAPITAL TV na Radio One tupeni Camera mnazotumia kushoot vipindi zimepitwa na wakati, nunueni Camera za 4K -6K, ubora wa vipindi vyenu unatia aibu
Mmechelewa kwenda na wakati, mbona hamtaki kubadilika? Kama ni fedha za kununua Camera hazipo hata kukopa Bank haiwezekani? Mbona mna assets nyingi tu za kipata mikopo mikubwa?
Mnachotakiwa kufanya ni ubora wa Video za vipindi vyenu kuwa na 4K-6K pia mtafute na Graphics Designer mzuri atengeneze longo zenu kwa ubora wa 4K-6K acheni kufanya mambo kienyeji
Wakati wa matangazoNa upande wa sauti ndo mbaya zaidi. Mfano wakati wa taarifa za habari, ni lazima ukae na remote maana unaweza kukuta sauti inaakuwa juu sana na mara inashuka. Hasa wakiweka matangazo Hali inakuwa mbaya sana
Hahahah.... Mkuu umekuwa🤣🤣... Kwamba wazee ni wabishi kwelikweli???🤣🤣Nimefanya kazi ITV Miezi 9 nikaacha kumejaa wazee wabishi sana kuanzia upande wa sound hadi IT na graphics wamejaa wazee wa kichaga tu miyeyusho sana hao
inerainfred masako "kipima joto wiki hii"
super brand NAMBARI wani East Africa 😂🤣🤣🤣🤣Inakera sana alafu wanaajiita super brand
simpati huyoKuna yule mwingine anaandikia mkono wa kushoto kipindi hicho hicho cha "Kipima Joto"..... Somebody CHUWA...🤣🤣
ine
hahahah ... Sawa mkurugenzisimpati huyo