kante mp2025
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 631
- 1,192
Wapokwe leseni ya kujitangaza kama Super Brand wanazidiwa hadi na TBC nowdays
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule mnyarwanda sio mtu mzuri.... Anaweza kwenda Tena mahakamani akashinda Kwa koneksheni halafu mmeshawekeza.....acha tukose woteVipi kuhusu mishahara kucheleweshwa, halafu kingine najiuliza Mzee Mengi si aliacha asset nyingi, kama bonite sahivi inauza soda nyingi sana, si wachukue hela waboreshe itv
Nafikiri watoto wa mengi wanaona biashara ya tv bongo haina faida, so wanaacha kupeleka pesa huko Vincenzo Jr Mr Why
But who is behind this super branding. Wababaisha tu hao.Inakera sana alafu wanaajiita super brand
Wababaishaji haswa kuna vitu hawavifanyii maboresho sijui shida ni nini. Kwa media kubwa kama IPP ilitakiwa iwe mfano wa kuigwa kimabadiliko.But who is behind this super branding. Wababaisha tu hao.
Labda nambari wani kwa vivuli pichani😂super brand NAMBARI wani East Africa 😂🤣🤣🤣🤣
Hiyo Camera na lens ya zaidi ya 500Mil ipo kama nyumba au🤔Gari la kufanyia production ya mpira ina zaidi ya camera 20 sasa jiulize hapo imetumika sh ngapi na hapo kuna lens + camera ni zaidi ya 500m
Mkuu nimekuelewa sana, ila watu wenye mentality ya uswahili, ujamaa ni watu hatari sana, Tumia akili kuwakwepa na usipende wawe marafiki zakoWhat if he is "Kilaza"?? Kwa hiyo mimi nisizungumze Russian nzuri mbele ya Delegation kutoka Ubalozi wa Russia hapa Tanzania kisa nitamu outshine my Master anayeyua Russian kwa kiwango cha chini??
Only a stupid master can put down his subordinates and refuse to learn from them..
Poa mkuu nimekusoma sana..Mkuu nimekuelewa sana, ila watu wenye mentality ya uswahili, ujamaa ni watu hatari sana, Tumia akili kuwakwepa na usipende wawe marafiki zako
Ongeza start tv,tv eIPP Media mnaomiliki ITV, EATV, CAPITAL TV na Radio One tupeni Camera mnazotumia kushoot vipindi zimepitwa na wakati, nunueni Camera za 4K -6K, ubora wa vipindi vyenu unatia aibu
Mmechelewa kwenda na wakati, mbona hamtaki kubadilika? Kama ni fedha za kununua Camera hazipo hata kukopa Bank haiwezekani? Mbona mna assets nyingi tu za kipata mikopo mikubwa?
Mnachotakiwa kufanya ni ubora wa Video za vipindi vyenu kuwa na 4K-6K pia mtafute na Graphics Designer mzuri atengeneze longo zenu kwa ubora wa 4K-6K acheni kufanya mambo kienyeji
IPP bila kuifumua yote mwisho wake utakua aibuIli kuendana na Kasi ya mabadiriko ya teknolojia pamoja na mazingira ya biashara ya kisasa, ili kuinusuru IPP inatakiwa kubadirisha uongozi wote, uza hisa na upishe wengine waendeshe biashara Kwa niaba yako huku wewe ukipata gawio tu
Vinginevyo hali yao itazidi kuwa mbaya, na watajikuta wanapoteza wateja wao wote
Hakika, wengine tumebaki kutazama taarifa zao za habari tu Kwa kuwa tuliizoeaIPP bila kuifumua yote mwisho wake utakua aibu
Goodbye. Tutaonana tena December 22, 2026.Mkongwe