IPP Media tupeni Camera mnazotumia kushoot vipindi zimepitwa na wakati, nunueni Camera za 4K -6K, ubora wa vipindi vyenu unatia aibu

IPP Media tupeni Camera mnazotumia kushoot vipindi zimepitwa na wakati, nunueni Camera za 4K -6K, ubora wa vipindi vyenu unatia aibu

Vipi kuhusu mishahara kucheleweshwa, halafu kingine najiuliza Mzee Mengi si aliacha asset nyingi, kama bonite sahivi inauza soda nyingi sana, si wachukue hela waboreshe itv

Nafikiri watoto wa mengi wanaona biashara ya tv bongo haina faida, so wanaacha kupeleka pesa huko Vincenzo Jr Mr Why
Yule mnyarwanda sio mtu mzuri.... Anaweza kwenda Tena mahakamani akashinda Kwa koneksheni halafu mmeshawekeza.....acha tukose wote
 
What if he is "Kilaza"?? Kwa hiyo mimi nisizungumze Russian nzuri mbele ya Delegation kutoka Ubalozi wa Russia hapa Tanzania kisa nitamu outshine my Master anayeyua Russian kwa kiwango cha chini??

Only a stupid master can put down his subordinates and refuse to learn from them..
Mkuu nimekuelewa sana, ila watu wenye mentality ya uswahili, ujamaa ni watu hatari sana, Tumia akili kuwakwepa na usipende wawe marafiki zako
 
IPP Media mnaomiliki ITV, EATV, CAPITAL TV na Radio One tupeni Camera mnazotumia kushoot vipindi zimepitwa na wakati, nunueni Camera za 4K -6K, ubora wa vipindi vyenu unatia aibu

Mmechelewa kwenda na wakati, mbona hamtaki kubadilika? Kama ni fedha za kununua Camera hazipo hata kukopa Bank haiwezekani? Mbona mna assets nyingi tu za kipata mikopo mikubwa?

Mnachotakiwa kufanya ni ubora wa Video za vipindi vyenu kuwa na 4K-6K pia mtafute na Graphics Designer mzuri atengeneze longo zenu kwa ubora wa 4K-6K acheni kufanya mambo kienyeji
Ongeza start tv,tv e
 
Ili kuendana na Kasi ya mabadiriko ya teknolojia pamoja na mazingira ya biashara ya kisasa, ili kuinusuru IPP inatakiwa kubadirisha uongozi wote, uza hisa na upishe wengine waendeshe biashara Kwa niaba yako huku wewe ukipata gawio tu

Vinginevyo hali yao itazidi kuwa mbaya, na watajikuta wanapoteza wateja wao wote
 
Star tv ndo hamna kitu kabisa hata tecno yangu inachukua video nzuri kuliko camera zao.diaro nae ushamba wa kisukuma bado haujamtoka tu pamoja na kukaaa mjini miaka mingi
 
Star tv ndo hamna kitu kabisa hata tecno yangu inachukua video nzuri kuliko camera zao.diaro nae ushamba wa kisukuma bado haujamtoka tu pamoja na kukaaa mjini miaka mingi
Wanatia aibu
 
Ili kuendana na Kasi ya mabadiriko ya teknolojia pamoja na mazingira ya biashara ya kisasa, ili kuinusuru IPP inatakiwa kubadirisha uongozi wote, uza hisa na upishe wengine waendeshe biashara Kwa niaba yako huku wewe ukipata gawio tu

Vinginevyo hali yao itazidi kuwa mbaya, na watajikuta wanapoteza wateja wao wote
IPP bila kuifumua yote mwisho wake utakua aibu
 
super brand Africa mashariki hii tuzo imedumu miaka na miaka sasa tuseme imetosha . IPP media inatakiwa kufanya reforms katika kuboresha na kumtumia ubunifu mwingine ili kuvutia watazamaji, imejisahau sana mnafikiri bado tupo katika zama za analogy. Haina ubishi watangazaji wote magwiji waliotokea Tanzania nyinyi ndio mmewapika ,hata wanasiasa wengi, ma celebrities kama wote ipp media ndio imewafanya wafike hapo walipo . IPP media ndio baba na mama kwa media zote Tanzania , jambo la msingi fanyeni maboresho , ili kuendana na soko la ushindani wa sasa .
 
Back
Top Bottom