IPP Media tupeni Camera mnazotumia kushoot vipindi zimepitwa na wakati, nunueni Camera za 4K -6K, ubora wa vipindi vyenu unatia aibu

Kufanya maboresho ni kuajiri vijana. Hao, automatically wataleta mabadiliko

Hata shirikia la Posta Tanzania, linahitaji vijana tu ili libadilike na kufanya kazi kwa ufanisi na kwa kuendana na kasi ya maendeleo
 
Kufanya maboresho ni kuajiri vijana. Hao, automatically wataleta mabadiliko

Hata shirikia la Posta Tanzania, linahitaji vijana tu ili libadilike na kufanya kazi kwa ufanisi na kwa kuendana na kasi ya maendeleo
Ningekua pale Wazee wote nyumban wakatunze wajukuu mambo ya kutiana aibu nisingetaka kabisa, quality gani hizi kama za mazoba
 
Nawewe hakuna unachojua, haya wakiwa na hizo kamera wakarekodi matangazo yao, haya king'amuzi gani kitaweza kuyarusha kwa huo ubora unaoutaka?
AZAM ni utopolo kabisa bado wako HD,
DSTV ambao ni wakongwe wa hizi kazi bado wako FullHD halafu wewe unataka 4k ambayo hata ulaya matangazo ya TV 4k bado.

Hapo cha kufanya Azam waachane na HD halafu na hizi local TV zote matangazo yao yawe FullHD
 
Marekani siku nyingi sana wapo 4K
Asee ningekua na kazi humo ningefumua kila kitu hii ni aibu mikopo imejaa bank badala ya kukopa na kuboresha kampuni watu wanakua kama mazoba
 
Sema Tv yako itakuwa zile za chogo Mkuu๐Ÿ˜‚
 
๐Ÿ˜Œ๐Ÿ˜ŒMbona limekaa ki zamani zamani kama makamera ya DTV na TVT, Halina mvuto๐Ÿ™„
Nna video ya camera zao hizi mpya za juzi hapa hizo za 500m ila Siwez kupost hapa, ila muundo wa nje n huo huo kilichoongezeka kwenye hizi mpya n teknolojia ya ndani ila muundo wa nje ndo huo.
 
๐Ÿ˜Œ๐Ÿ˜ŒMbona limekaa ki zamani zamani kama makamera ya DTV na TVT, Halina mvuto๐Ÿ™„
Hizi camera ndo zinatumika kwenye mechi za Ulaya ila zao zipo more advanced, Ila muundo wa nje ndo huu huu. Kama ww n mpenzi wa mpira wa ulaya ukiwa makini utaziona.
 
Yaani Channel binafsi za YouTubers zina quality nzuri kuliko hizo zinazoruka Taifa zima.
 

๐Ÿค

Sasa angalia hy picha ya pili hapo utaona imeandikwa neno DIGISUPER 100 then angalia ile picha niliyoiweka Mm utaona ni DIGISUPER 76 nadhani hapo utaona kuna utofauti na ndo hapo napozungumzia teknolojia ya ndani ila muundo n ule ule/camera ni ile ile.

Video ambayo nimesema Siwez kuipost hapa ambayo ndio camera za azam hizi mpya za juzi hapa yenyewe ni Ultra HD DIGISUPER 90 zingatia neno ULTRA HD DIGISUPER ๐Ÿ˜‚ hii ultra HD sio HD hii tuliyozoea siku zote

Cc Fake P
 
Boss hayupo.
 
Asee ๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ